CHELSEA SIMBA 7
Member
- Oct 27, 2017
- 57
- 84
Tupeni utaratibu ili tuijue kweli. Watu tuna nia kwel ya kuwa wanajeshiBaba yanadanganyana sana, yanafikiri JW ya sasa ni sawa na polisi.
Tupeni utaratibu ili tuijue kweli. Watu tuna nia kwel ya kuwa wanajeshiBaba yanadanganyana sana, yanafikiri JW ya sasa ni sawa na polisi.
Mi muhangaikaji tu kitaa, bali nilipitia jkt muda mrefu sanaTupeni utaratibu ili tuijue kweli. Watu tuna nia kwel ya kuwa wanajeshi
Kwahyo unataka kubisha kuwa form six hapewi nyota?Nani kakwambia? Endelea kubaki na ujima wako kichwani
Ndio, hakuna, hiyo ilikuwa zamaniKwahyo unataka kubisha kuwa form six hapewi nyota?
Ebu achana na kudanganya vijana... ukitoka na gamba lako la form six aliyefaulu vzuri.. ni kama kijana mwenye diploma.. unalamba u "luten usu" nyota moja hyooNdio, hakuna, hiyo ilikuwa zamani
Jeshi gani???Au hao form 6 waliotoka JKT mujibu wanaokwenda kusoma military science miaka 3??Nyota hazigawiwi bure ila unapiga kozi kwa form 6 wa Siku hizi ngumu hiyo ilikuwa zamani aiseeKwahyo unataka kubisha kuwa form six hapewi nyota?
JWTZ, vijana wanaenda kwa mujibu, mwshowe wanapata nafas za kubaki jeshin... kufumba na kufumbua wanarud na nyota mojaJeshi gani???Au hao form 6 waliotoka JKT mujibu wanaokwenda kusoma military science miaka 3??
Mkuu form six leaver ni ngumu sema diploma & degree napo lazima uhenyeke vya kutoshaEbu achana na kudanganya vijana... ukitoka na gamba lako la form six aliyefaulu vzuri.. ni kama kijana mwenye diploma.. unalamba u "luten usu" nyota moja hyoo
Kumbuka kuwa wale ni kundi maalumu siyo kila form 6 anasifa za wale wengi wao wamesoma masomo ya sayansiJWTZ, vijana wanaenda kwa mujibu, mwshowe wanapata nafas za kubaki jeshin... kufumba na kufumbua wanarud na nyota moja
Mkuu, kama kweli umesota miaka mitatu unasoma degree... na ukaelewa kwanin umeenda kusoma hiko ulichosoma...Yaani nimesota 3 yrs shule afu niende jkt miaka 2 aaah
Wewe ndio uache kujidanganya huko, hiyo ilikuwa zamani chini ya 2006Ebu achana na kudanganya vijana... ukitoka na gamba lako la form six aliyefaulu vzuri.. ni kama kijana mwenye diploma.. unalamba u "luten usu" nyota moja hyoo
Labda nyota ya punda kubeba mizigoJWTZ, vijana wanaenda kwa mujibu, mwshowe wanapata nafas za kubaki jeshin... kufumba na kufumbua wanarud na nyota moja
Form six leaver nimewashuhudia wengi tuu.. tena ni watu wangu wa karibu,Mkuu form six leaver ni ngumu sema diploma & degree napo lazima uhenyeke vya kutosha
Umedanganywa kijana... mi namjua dogo kamaliza form six 2014... akabaki jeshin... kakaa mda kidogo akarudi na nyota...Wewe ndio uache kujidanganya huko, hiyo ilikuwa zamani chini ya 2006
Hakuna form six anaechukua nyota jeshini kwasasa, unaingia kama wengine kawaida then bora uwe na diploma au degree ndio unaweza kufanyiwa selection ya kwenda cadet tena hiyo baada ya kupiga recruit course kama wengineForm six leaver nimewashuhudia wengi tuu.. tena ni watu wangu wa karibu,
Unaposema lazima uhenyeke, mi sidhan kama kuna mtu hasiyejua kuwa maisha ya jeshin ni kuenyeka... mwanzon unaenyeka kimwili... baadae unaenyeka kifikra... kwahyo kuenyeka ni kitu cha kawaida mnoo.
Nimedanganywa mimi? huyo dogo unasema kakaa muda kidogo? Ok kma muda kidogo, unajua baada ya kuajirowa alijiendeleza vp kielimu? Kadet kaenda mwaka gani baada ya hapo? Usijidanganye wewe!Umedanganywa kijana... mi namjua dogo kamaliza form six 2014... akabaki jeshin... kakaa mda kidogo akarudi na nyota...
Sijui huyo aliyekulisha upupu wa chin ya 2006 alikuwa na nia gan...
Ni kweli alibakari, kule hata ukiwa na degree.... kupata nyota ni bahati...Nimedanganywa mimi? huyo dogo unasema kakaa muda kidogo? Ok kma muda kidogo, unajua baada ya kuajirowa alijiendeleza vp kielimu? Kadet kaenda mwaka gani baada ya hapo? Usijidanganye wewe!
Na kama ulikuwa hujui form six wengi huwa hawajioneshi kuwa form six bali wanaingia kwa kupitia cheti cha form four, baada ya depo wengi huwa wanasomea certificate hata za short course then hutafuta diploma ndani ya miaka miwili, baada ya hapo ndio hupata nafasi ya kuteuliwa kwenda cadet.Umedanganywa kijana... mi namjua dogo kamaliza form six 2014... akabaki jeshin... kakaa mda kidogo akarudi na nyota...
Sijui huyo aliyekulisha upupu wa chin ya 2006 alikuwa na nia gan...
Tupeni utaratibu ili tuijue kweli. Watu tuna nia kwel ya kuwa wanajeshi
Sifa za kwenda cadet, elimu ni kuanzia ngazi ya diploma sio form six.Ni kweli alibakari, kule hata ukiwa na degree.... kupata nyota ni bahati...
Jeshi lina wasomi mno... kiasi kwamba form six sio kituu.