JWTZ kwanini hawatangazi ajira kwa graduates?

Hapo umeeleweka vizuri sana! Ila kama ulipitia JKT tayari na wakati huo hukuhitaji kujiunga na jeshi maana yake ni kuwa jeshi halipo moyoni mwako ila unaona kama sehemu ya ajira tu!
kaka wapo vjana wengi wanaokuwa na uhtaji haxa kubaki xema wanadai hadi jeshi Lowe na uhtaji..tena na hapo mnaambia nenden tutawapigia cm ndo imetoka...mm ni mhanga nalpenda jeshi hadi naumwa...ndo wito wangu ila.....?!!!!
 
Mkuu tupo wote katika hili ila kwa sasa order ya kupokea barua imekwisha kwa watu wote madaktari na wahandisi basi naona tuwe tu na subira mkuu watatuita mambo yatakapokuwa teari
mwaka jana au juzi kama sijasahau kuna wahandisi walikua wanasema wamefatwa vyuoni humu kama walienda kozi basi sidhani kama kunauhitaji huo kwasasa.
 
inawezekana jeshi lina wasomi kwa sasa. Maafisa waliopo wanatosha. Wanatakiwa wapiganaji...std 7, form four and the like. Hata hivyo nina uhakika ukiwa engineer, daktari...jeshi halikuachi.
Hao unaosema wapiganaji nao siku hz degrees, diploma za kumwaga, we ukimuona jamaa kijana ila amevaa lisaa lao lile mkononi ujue degree iko kichwani
 
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv

Kwa uandishi wako huu,utasubiria sana kujiunga na Jwtz... Kama mdau alivyokudokeza hapo juu,nenda kwanza Jkt,kalime mbaazi na dengu,baada ya hapo ndo waweza pata nafasi zakujiunga na majeshi yetu sio Jwtz pekee... Na pia hii yakuchukua graduate moja kwa moja,ilifanyika mara ya mwisho mwaka 2008 na 2009.... Wengine hawa wote lazima wapiti kwanza huko JKT
 
walichukuliwa graduates wa mwaka gani au randomly?
Waliochukuliwa ni Graduates wa 2016, UDSM (sio wote ni wa textile Engineer).

Vyuo vingine mfano Ardhi University ( walihitaji Environmental Engineer, QS, Civil Engineer) lakini hakuna aliyeitwa mpaka leo hii...
 
Back
Top Bottom