sevenup
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 2,548
- 2,448
Kama hawa sijui hapa Kenya tunaeza waita ajeBoss hakuna mtu ambaye huwa ame'kaukiwa' na 'kurarukiwa' kama mfanyakazi wa umma Tz. Magwanda ya JWTZ na jeshi la polisi huwa yameisha yameparapara, wengind hawana boots wanavaa gumboot za mvua. Alafu sura ndio usiseme, yaani jamaa huwa wamekata tamaa kama mabushmen wakiwinda nungunungu.