Timtim
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 608
- 125
Wengi wametoa hoja, matusi, kejeli etc. Mahakama ya kadhi hatohukumiwa mlevi, mwizi, mzinzi, au yeyote asiyekuwa muisilamu. Mahakama hii ni kwa ajili ya maswala yanayomuhusu muisilamu na imani yake maelekezo ya dini yake na itikadi zake katika ndoa, talaka, mirathi na wasia.
Ama maswala ya jinai yote hata wizi, kubaka, ugaidi, biashara haramu, na matatizo mengineo yote yatatawaliwa na sheria iloyopo ama inayotumika nchini. Mahakama ya kadhi haingilii maswala ya wanaogombana au kudaiana madamu sheria ya nchi ipo.
Sasa mimi nashangaa kuona mtu asiyekuwa muisilamu anatowa hoja juu ya kisichomuhusu. Mahakama ya kadhi haimuhitaji asiyekuwa muisilamu kumfafanuliya ya uisilamu maana hayo hayamuhusu kamwe.
Iwapo wakristo wanazo hukumu zao wenyewe zinazotakiwa na dini yao basi kwanini nao wanyimwe haki yao hiyo ya kuabudu?
Yote yaamuliwe ila hukumu ya muumba isichezewe. Tusijifanye ni watu wazuri wa kuongea sanaaaa wakati utumbo mtupu.
Uhuru wa kuabudu uheshimiwe popote pale.
Ama maswala ya jinai yote hata wizi, kubaka, ugaidi, biashara haramu, na matatizo mengineo yote yatatawaliwa na sheria iloyopo ama inayotumika nchini. Mahakama ya kadhi haingilii maswala ya wanaogombana au kudaiana madamu sheria ya nchi ipo.
Sasa mimi nashangaa kuona mtu asiyekuwa muisilamu anatowa hoja juu ya kisichomuhusu. Mahakama ya kadhi haimuhitaji asiyekuwa muisilamu kumfafanuliya ya uisilamu maana hayo hayamuhusu kamwe.
Iwapo wakristo wanazo hukumu zao wenyewe zinazotakiwa na dini yao basi kwanini nao wanyimwe haki yao hiyo ya kuabudu?
Yote yaamuliwe ila hukumu ya muumba isichezewe. Tusijifanye ni watu wazuri wa kuongea sanaaaa wakati utumbo mtupu.
Uhuru wa kuabudu uheshimiwe popote pale.