Tatu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2006
- 1,100
- 313
Ni kwa nini Ngeleja, Werema na Pinda walikurupuka na kusema Dowans lazima walipwe? Kuna mkono wao hapo au kuna mkono wa mkubwa wao fulani ambaye wanamuabudu kama Mungu wao.
Hakuna kufanya kazi kwa mazoea tena. Kama vichwa vyao vimejaa uyoga that's too bad. Watanzania tumeamka.
Hakuna kufanya kazi kwa mazoea tena. Kama vichwa vyao vimejaa uyoga that's too bad. Watanzania tumeamka.