Justine Kalikawe

Justine Kalikawe

Moja ya mashahiri katika nyimbo zake anazungumzia..

"Hata wanaoishi kwenye jumba la ufalme , wana matatizo ya kwao."

Shahiri jingine katika nyimbo zake anasema...

"Ukiwa mama wa kambo usiwe kaa la moto ,uliunguza nyumba watoto wakashindwa kuishi na baba yao"

Hakika nyimbo zake zilikuwa na ujumbe mzuri tu wenye kufundisha na kuburudisha jamii.
 
Nilikuwa na Album yake huyu jamaa.........Ningekuwa na mabawa ningeruka kama ndege , Kuna binadamu wengine wana roho ya korosho , Panapofuka moshi ujue kuna moto chini , Tatizo la wamachinga polisi na wamachinga ...
kama zile familia zinazo vurugika
wanaokuwa hawana masimamo wanaanza kuhangaika
ukiwa mama mwenye nyumba usiwe mkaa wa moto
utaunguza nyumba watoto wakose kuishi na baba yao
ukiwa mama wa kambo usiwe mkaa wa moto....

kuna ule mwingine wa haki
 
Nilisikia pia kitu km hicho, pale nje kidogo na BK kuna hotel moja kubwa sana( jina kapuni), wajuvi wa mambo wanasema aliwahi kuonekana kwenye hiyo hotel baada ya kifo chake.....sina uhakika na haya maana siwez kudhibitisha.
ZIlivuma sana eti alionekana kwenye hotel ya Walk Guard enzi hizo
 
Nilisikia pia kitu km hicho, pale nje kidogo na BK kuna hotel moja kubwa sana( jina kapuni), wajuvi wa mambo wanasema aliwahi kuonekana kwenye hiyo hotel baada ya kifo chake.....sina uhakika na haya maana siwez kudhibitisha.
Aah wapi!alikata moto na kaburi lake lipo.Kama unabisha nenda ukafukue
 
Back
Top Bottom