Justine Kalikawe

Justine Kalikawe

Wimbo wa mv bukoba mbona umetoka zaid ya miaka mitano kabla ya kifo!!?..jamaa aliamini mitishamba kama tiba badala ya sp..plasmodiam wakafanya yao
 
Nilisikia pia kitu km hicho, pale nje kidogo na BK kuna hotel moja kubwa sana( jina kapuni), wajuvi wa mambo wanasema aliwahi kuonekana kwenye hiyo hotel baada ya kifo chake.....sina uhakika na haya maana siwez kudhibitisha.
Ukiwa unatoka Bukoba mjini kuelekea vijijini kwa kufuata barabara ya Maruku. Upande wa kulia baada ya kona moja hivi iliyo mlimani.

Wenyeji zaidi wa maeneo hayo watatusaidia,maana nami niliambiwa tu.
 
Ukiwa unatoka Bukoba mjini kuelekea vijijini kwa kufuata barabara ya Maruku. Upande wa kulia baada ya kona moja hivi iliyo mlimani.

Wenyeji zaidi wa maeneo hayo watatusaidia,maana nami niliambiwa tu.
Mshana jr pitia hapa utupe mawili matatu...inavyosemekana lakini hakuna mwenye uhakika eti Ras K alionekana maeneo fulani baada ya kifo chake au ni dhana tu..
 
Miaka ya elfu mbili mwanzoni nikiwa nasoma Rugambwa girls,nilimuona alikuwa kaisha balaa,nyumbani kwao ilikuwa siyo mbali na shuleni kwetu.Nasikia alikuwa ana virus vinavyosababisha Ukimwi.Any way namkumbuka kwa wimbo wake "Kuna wanadamu wengine wana roho za korosho,hawapendi kuwaona wenzao wakifanikiwa maishani.
 
Ukiwa unatoka Bukoba mjini kuelekea vijijini kwa kufuata barabara ya Maruku. Upande wa kulia baada ya kona moja hivi iliyo mlimani.

Wenyeji zaidi wa maeneo hayo watatusaidia,maana nami niliambiwa tu.
Mmmmh, sasa kidogo utaje hiyo hotel but inasadikika hivyo.....aidha kwenye famili ya ndugu wa huyu mwenye hiyo hotel inasadikika wana mambo ya ajabu sanaa....kama.hayo......
 
"NINGEKUWA NA MABAWA NINGERUKA KAMA NDEGE LAKINI MIMI BINADAMU NIMUEMBWA KUTEMBEA ARDHINI" HUYO NDIYO JUSTIN KALIKAWE KATIKA UBORA WAKE AKIWA NA "TWEYAMBE BAND". UKITAKA KUSIKILIZA UJUMBE MZURI, SAUTI NZURI NA MIDUNDO MIZURI YA REGE TAFUTA NYIMBO ZAKE WE MWENYEWE UTAFURAHI. KWA UPANDE WANGU HUYU NDIO MWANAMUZIKI BORA KULIKO WOTE WA REGE KWA WANAMUZIKI WA REGE WA KITANZANIA NA ANAYEMFUATIA NI INNOCENT GALINOMA MMILIKI WA "LESS EXODUS" BAND
 
Miaka ya elfu mbili mwanzoni nikiwa nasoma Rugambwa girls,nilimuona alikuwa kaisha balaa,nyumbani kwao ilikuwa siyo mbali na shuleni kwetuNasikia. alikuwa ana virus vinavyosababisha Ukimwi.Any way namkumbuka kwa wimbo wake "Kuna wanadamu wengine wana roho za korosho,hawapendi kuwaona wenzao wakifanikiwa maishani.
Aisee!
 
Innocent Nganyagwa yuko nchini. Familia yao inaishi Keko Juu. Innocent Galinoma ni mtoto wa marehemu Stephen Galinoma aliyewahi kuwa mbunge wa Kalenga. Innocent anaishi na kufanya kazi zake nje ya nchi. Ni wasanii tofauti.
Shukrani mkuu.
Inno Nganyangwa ndo niikuwa namjua tangu utoto wangu maana nilikuwa naakaa keko na nilikuwa namuona sana nikiwa naenda shule
 
Mmmmh, sasa kidogo utaje hiyo hotel but inasadikika hivyo.....aidha kwenye famili ya ndugu wa huyu mwenye hiyo hotel inasadikika wana mambo ya ajabu sanaa....kama.hayo......
Penye mafanikio hapakosi mambo kamahayo ya fitinana vitisho. Huenda ilikuwa njia ya kuharibu biashara ya mtu.

Ni kama ilivyo story za kiwanda fulani Jijini Tanga. Ni nani aliyethibitisha yanayosemwa?
 
R.I .P br. Bado tunakukumbuka ku pitia sanaa yako ya muziki
 
Miaka ya elfu mbili mwanzoni nikiwa nasoma Rugambwa girls,nilimuona alikuwa kaisha balaa,nyumbani kwao ilikuwa siyo mbali na shuleni kwetu.Nasikia alikuwa ana virus vinavyosababisha Ukimwi.Any way namkumbuka kwa wimbo wake "Kuna wanadamu wengine wana roho za korosho,hawapendi kuwaona wenzao wakifanikiwa maishani.
Huna uhakika kwamba Justin Kalikawe alikuwa na virusi bus ukimwi. Kesi ya ukiukaji wa haki za wengine kwa kutumia mitandao inakuhusu.
 
Mod fanya kazi ya kuban watu kama Victoire. Wanaoharibu sifa za watu.
 
Back
Top Bottom