Iwe Justin, kuonesha ni mwanaume, ukiongeza e mwishoni basi ni mwanamke.
Gangwe aliyekataa kumeza Dawa imani yake ilimponza... Majani majani majani tu
Kiukweli, alikuwa mkali sana, huyu jamaa.Nilikuwa na Album yake huyu jamaa.........Ningekuwa na mabawa ningeruka kama ndege , Kuna binadamu wengine wana roho ya korosho , Panapofuka moshi ujue kuna moto chini , Tatizo la wamachinga polisi na wamachinga ...
You're so curious, brother.Robert Nesta Marley: 1945 - 1981 (36 years)
Justin Kalikawe: 1967- 2003 (36 years).
What a coincidence!
Nasikia walmfanya msikule bhad anaish uyu
Hakika.Huyu ndiye gwiji wa raggae ya kiswahili,pumzika kwa amani.
Nalog off
Nilisikia pia kitu km hicho, pale nje kidogo na BK kuna hotel moja kubwa sana( jina kapuni), wajuvi wa mambo wanasema aliwahi kuonekana kwenye hiyo hotel baada ya kifo chake.....sina uhakika na haya maana siwez kudhibitisha.Nasikia walmfanya msikule bhad anaish uyu
Vipi mkuu kuhusu nyimbo zake?? Tunaweza zipata??Nilisikia pia kitu km hicho, pale nje kidogo na BK kuna hotel moja kubwa sana( jina kapuni), wajuvi wa mambo wanasema aliwahi kuonekana kwenye hiyo hotel baada ya kifo chake.....sina uhakika na haya maana siwez kudhibitisha.