Hata Mimi sijuiMkuu, maana yake ni nini?
Ndiija owaitu= Nitakuja nyumbani/kwetu= I will come/be back home. Anasema akisha ng'oa shina la mgomba na kumpanda mche mwingine, atarudi nyumbani, anasema; asisemwesemwe na kumtia nuksi, achwe afanye kazi, ndo furaha ya kila mtu, atarudi nyumbani(akisha fikia malengo/mafanikio/matunda).Rip the Legend. Kalikawe alikuwa Noma Sana huyu Jamaa.
Nakumbuka wimbo wake was kihaya anasema " Ndiija Ndiija luomaitu"
unaweza weka hapa?
Ningekua na mabawa inaitwaje??naicheki siipatiNilikuwa na Album yake huyu jamaa.........Ningekuwa na mabawa ningeruka kama ndege , Kuna binadamu wengine wana roho ya korosho , Panapofuka moshi ujue kuna moto chini , Tatizo la wamachinga polisi na wamachinga ...
Hii inapatikana shida kuna albamu ilikuwa inaitwa UsimdharauNi
Ningekua na mabawa inaitwaje??naicheki siipati