TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,898
- 11,292
Wanajamii,
Moja ya matatizo makubwa sana yaliyokua yanatusumbua hata wakazi wa mijini ni upatikanaji wa maji...
Matatizo yali-range from mifumo, sources, usafi wa maji, mfumo wa malipo na hata namna ya kusimamia matumizi ya maji nk
For the first time, this year silisikii hili kuwa tatizo.... hasa mijini; na hata kwa vijijini naona muamko mkubwa sana wa watu au sekta binafsi kubeba majukumu
Je, haya tunayoyaona ni juhudi za prof, au ni juhudi za mfumo uliojengwa kwa muda sasa??... Majibu yatasaidia sana kuangalia na sekt anyingine
Ta
Moja ya matatizo makubwa sana yaliyokua yanatusumbua hata wakazi wa mijini ni upatikanaji wa maji...
Matatizo yali-range from mifumo, sources, usafi wa maji, mfumo wa malipo na hata namna ya kusimamia matumizi ya maji nk
For the first time, this year silisikii hili kuwa tatizo.... hasa mijini; na hata kwa vijijini naona muamko mkubwa sana wa watu au sekta binafsi kubeba majukumu
Je, haya tunayoyaona ni juhudi za prof, au ni juhudi za mfumo uliojengwa kwa muda sasa??... Majibu yatasaidia sana kuangalia na sekt anyingine
Ta