wOrM....labda tulikuwa wote..yaliyotusibu 2000! Ila mimi naamini FREE MONEY IS NEVER ENOUGH..Wengi tumesoma mlimani na we have first hand experience. ..sasa hivi wanapewa 3600 kwa siku....Tatizo hili ni la wanafunzi na serikali. As mwanakijiji said..majibu marahisi kwa maswali magumu. Kwanza wanafunzi bado wana mentality na elimu ya bure hatuwezi kuwalaumu ndivyo Nyerere alivyotukuza kwa kuamini kwamba tunaweza kuwa na sera za kuwakomboa wote! (JK na EL mlisoma bure na sisi tusome bure) wanasahau kwamba enzi hizo wanafunzi walikuwa less than 1000! waliokuwa wanaitegemea serikali. Leo Vyuo vyote vya elimu ya juu kuanzia UD mpaka Tengeru, Uyole, Nyegezi, Kairuki et al, vinaitegemea serikali iwalipie 100% (mkopo).
Sasa jiulize, hiyo hiyo serikali inabidi itoe elimu ya msingi bure kwa raia wote! na wana mpango wa kuweka elimu ya sekondari ya bure! Undoubtedly this is a very huge commitment ambayo serikali kama ya Tz HAIWEZI (LEAVE ASIDE COUNTER ARGUMENTS ON THIS KWAMBA TUNA RASILIMALI, SO WE NEED KUWEKA VIPAUMBELE). TUNAJUA WOTE SERIKALI VIPAUMBELE VYAKE. Tuna matatizo mengi. Where I come from hatuna hata dispensary ya kijiji, na Iam sure tuko wengi humu! sasa sijui kipi kifanyike, but I can assure you this project ya kuwapa watu mikopo ya 100% is not self sustaining! at all! Maybe we should moot ideas to invite private sector kusaidia kutoa mikopo! Do you think ingekuwa ni mikopo ya benki wanafunzi wangeandamana? i doubt..this tells you more of the whole issue!
Tatizo la serikali imejenga false hopes kwa watanzania kwamba inaweza ikafanya wanayotaka raia either through actions or ommissions, na sana sana wamefanya hivi kwa ajili ya kuscore political credits! Serikali haina muundo madhubuti wa kudeal na hili swala...tunafanya mambo kisiasa sana. I can assure hakuna chi ya maskini kama sisi.. inayoweza kuwapa mikopo hundred % watu wake kupata elimu ya juu. Forget. what we need ni kuweka sera ambazo zinaeleweka tuache maamuzi ya ad hoc basis
Swala la mikopo ni issue kubwa, I agree watu inabidi wsome, lakini vile vile Watz tuwe proactive katika maisha. Ulimwengu wa leo bwana elimu ni personal gratifications. Ndo maana kazi inatangazwa Dar mtu anatoka Peru anakuja kuwa consultant ofisi ya Raisi bongo! Swala la umaskini wa nchi yetu ndo watu wanalitumia, lakini jee, huu umaskini utaisha lini? unless we accept this to be a perpertual reason to justify continued governenment intervention in finanching education!
Kila la kheri my Alma maters at UD!