Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

Ninaposikia taarifa kama hizi huwa zinanifurahisha sana! Kama CHADEMA wanazani kukubalika wanamuziki ktk sanaa ndo kukubalika katika ulingo wa siasa, basi watakuwa wanapotea njia! Yaani Juma Nature agombee Ubunge Temeke na kisha mtarajie kushinda kwavile tu Nature anakubalika TMK ktk ulingo wa sanaa?! You're not serious.....nimekaa sana na hawa wasanii wa bongo flavor especially kutoka old wanaume family....they don't have what it take in politics....sio wanaharakati wala wapiganaji kama mnavtofikiria! Kwa taarifa yenu, mpiganaji pekee kutoka Wanaume (Old Wanaume) ni Kakaman, na ndio maana hakuweza kudumu na kundi coz' yule dogo kwanza kuzinguliwa hapendi na ndio maana alikuwa mbwa na paka na Said Fella coz' Fella na Fella alifanya jitihada zote kumpteza, na alifanikiwa! Mara kumi mtu angeniambia Mheshimiwa Temba, lakini Nature! You're not serious! Lakini kwa bahati mbaya, Temba yupo kwenye mikono ya Fella; na Fella anakula kupitia CCM, so Temba kuwa mpiganaji kupitia CHADEMA ni labda ajiengue Wanaume!!

CHADEMA ningewashauri waache kujaribu kutumia umaarufu wa wasanii wa kizazi kipya, hautawafikisha popote! Naona mnafanya mistake ambazo mlizifanya kwa Nakaaya; mlipoona ameimba nyimbo Mr, Politician na kuzungumzia jinsi Mr. Politician alivyo hovyo hovyo, mkazani Nakaaya nae ni Politician! Tofautisheni wana-Bongo Flavor wengine na mtu kama Sugu! Mtu anayeifahamu Bongo Flavor tangu enzi za akina Salehe Jabir, wakati Sugu anajiita Too Proud, enzi za KU na akina Adil, anafahamu kwamba Mr. II tangu wakati huo alikuwa ni mpiganaji na mwanaharakati hata kupitia kwenye nyimbo zake! Kwa watu tuliokuwa na Bongo Flavor, huku tukitembea na mabuti over size tukijilinganisha na Naughty By Nature, tunafahamu hata Professor Jay doesn't have what it take to be mwanaharakati!
 
Ninaposikia taarifa kama hizi huwa zinanifurahisha sana! Kama CHADEMA wanazani kukubalika wanamuziki ktk sanaa ndo kukubalika katika ulingo wa siasa, basi watakuwa wanapotea njia! Yaani Juma Nature agombee Ubunge Temeke na kisha mtarajie kushinda kwavile tu Nature anakubalika TMK ktk ulingo wa sanaa?! You're not serious.....nimekaa sana na hawa wasanii wa bongo flavor especially kutoka old wanaume family....they don't have what it take in politics....sio wanaharakati wala wapiganaji kama mnavtofikiria! Kwa taarifa yenu, mpiganaji pekee kutoka Wanaume (Old Wanaume) ni Kakaman, na ndio maana hakuweza kudumu na kundi coz' yule dogo kwanza kuzinguliwa hapendi na ndio maana alikuwa mbwa na paka na Said Fella coz' Fella na Fella alifanya jitihada zote kumpteza, na alifanikiwa! Mara kumi mtu angeniambia Mheshimiwa Temba, lakini Nature! You're not serious! Lakini kwa bahati mbaya, Temba yupo kwenye mikono ya Fella; na Fella anakula kupitia CCM, so Temba kuwa mpiganaji kupitia CHADEMA ni labda ajiengue Wanaume!!

CHADEMA ningewashauri waache kujaribu kutumia umaarufu wa wasanii wa kizazi kipya, hautawafikisha popote! Naona mnafanya mistake ambazo mlizifanya kwa Nakaaya; mlipoona ameimba nyimbo Mr, Politician na kuzungumzia jinsi Mr. Politician alivyo hovyo hovyo, mkazani Nakaaya nae ni Politician! Tofautisheni wana-Bongo Flavor wengine na mtu kama Sugu! Mtu anayeifahamu Bongo Flavor tangu enzi za akina Salehe Jabir, wakati Sugu anajiita Too Proud, enzi za KU na akina Adil, anafahamu kwamba Mr. II tangu wakati huo alikuwa ni mpiganaji na mwanaharakati hata kupitia kwenye nyimbo zake! Kwa watu tuliokuwa na Bongo Flavor, huku tukitembea na mabuti over size tukijilinganisha na Naughty By Nature, tunafahamu hata Professor Jay doesn't have what it take to be mwanaharakati!

what if si CDM wanwatafuta..ni mziki wa SUGU umewafanya wamgeuze role model wao fasta?Na kwanini CDm wawakatae wakija?Waliokataliwa ni viongozi wa CCM,ndio deadline yao imekwisha.Utapata wapi uhalali wa kuwasema CDM kihivi?By the way hakuna kinacho cost zaidi ya faida ktk mikutano.Na nyimbo zao kubeba uhamasishaji.
 
Hahahaha wanamfuata DJ MBOWE

Mwenyekiti DJ na wabunge wake ni wasanii kama vile Sugu,juma nature,Afande Sele

Naililia Nchi yangu Tanzani maana CCM ni Genge la wahuni,majambazi wapiga dili za 10% na CDM ndio hao vilaza na wavuta bange ndio wanataka kuongoza nchi.

Nchi hii kweli imelaaniwa.
 
Hahahaha wanamfuata DJ MBOWE

Mwenyekiti DJ na wabunge wake ni wasanii kama vile Sugu,juma nature,Afande Sele

Naililia Nchi yangu Tanzani maana CCM ni Genge la wahuni,majambazi wapiga dili za 10% na CDM ndio hao vilaza na wavuta bange ndio wanataka kuongoza nchi.

Nchi hii kweli imelaaniwa.

Akili ya aina yako ndio inafanya nchi kuonekana imelaaniwa.
Wasanii ni sehemu muhimu katika jamii,na si wavuta bangi.
Kuwepo baadhi wanao vuta haku justify generalization uliyo ifanya.
 
ngoja anaye ajiunge ili chama kitimie kwa kuwa naviongozi wavuta unga na wauzaji.
 
Akili ya aina yako ndio inafanya nchi kuonekana imelaaniwa.
Wasanii ni sehemu muhimu katika jamii,na si wavuta bangi.
Kuwepo baadhi wanao vuta haku justify generalization uliyo ifanya.

Mkuu umefikiria vizuri au ushabiki wa kisiasa umekuua mpaka akili?

Ok najua wanasiasa wanatfuta njia ya kwenda Ikulu hata kwa michezo michafu ambayo inakuja kuigharimu nchi baadae,angalia athari za mtandao uliomuingiza Kikwete Ikulu unavyoimaliza CCM,sina maana CCM kabla ya Kikwete walikuwa wasafi,hapana hawa ni wezi na genge la wahuni tokea zamani lakini ule umoja wao ulificha matakataka yao na madudu yao mengi.

CDM kama wanaona hao wahuni wanaokimbilia Chama chao ndio mtaji wao,na ndio wagombea wao Ubunge 2015,bila ya shaka Tanzania ni Nchi iliyolaaniwa.
 
what if si CDM wanwatafuta..ni mziki wa SUGU umewafanya wamgeuze role model wao fasta?Na kwanini CDm wawakatae wakija?Waliokataliwa ni viongozi wa CCM,ndio deadline yao imekwisha.Utapata wapi uhalali wa kuwasema CDM kihivi?By the way hakuna kinacho cost zaidi ya faida ktk mikutano.Na nyimbo zao kubeba uhamasishaji.
Mr. II hawezi kuwa role mode wa Professor J wala Nature.....hawa watatu, wapo tofauti kimtazamo! Narudia, Sugu alionesha dalili za uanaharakati from the begining na sio J wala Nature! Mr. II na Professor J wanafanana kitu kimoja; wote walikuwa wanaharakati katika "kuleta mabadiliko (kimuziki) katika muziki wa kizazi kipya" lakini linapokuja suala la harakati za kupinga dhuluma; hapo Professor J na Mr. II ni watu wawili tofauti! Tangu zamani Mr. II alikuwa anaonekana kabisa kwamba hakuwa comfortable na system lakini sio kwa Professor J wala Nature!
Wanaweza kumuona role model wao sio kwa kuhamasika na kutamani ku-deliver kile ambacho kinakuwa delivered na Mr. II bali wanaweza kuwa Role Model wao just kwa kutamani Political Position, especially kwa Professor J!

Aidha, inawezekana wanakuja wenyewe, lakini nanyi mnawashabikia kana kwamba wana political influence!! Kuna mdau kasema eti Nature anataka kugombea ubunge Temeke; kama si masihara kwenye siasa tuite nini! Kwa ninavyomuona Professor J ana-fit zaid kwenye siasa za CCM kuliko CHADEMA sawa na ambavyo Julius Mtatiro anavyoweza ku-fit kwenye siasa za CHADEMA kuliko CUF lakini ameamua ku-opt CUF just for political position kuliko ideology na ndivyo ilivyo kwa upande wa Professor J! Sitashangaa, kesho na kesho kutwa, Lady Jay dee nae nikasikia anajiunga CHADEMA nanyi mtampigia makofi na vigelele na kumuita Mwanaharakati!

Madai kwamba waliokataliwa ni wa CCM, ningependekeza madai hayo kawapatie watoto wasiozijua siasa za CCM na CHADEMA; kwangu naweza kushawishika kwamba ni jua ndiyo inalizunguka dunia kuliko madai kwamba CHADEMA imefunga milango kwa watu wa CCM!
 
Mungu huinua hata mawe so wale wanasemaga mara chama kina jasho lao, sijui damu yao sasa waanze kujitafakari....

Karibu Kamanda Sir.Nature.
 
Ninaposikia taarifa kama hizi huwa zinanifurahisha sana! Kama CHADEMA wanazani kukubalika wanamuziki ktk sanaa ndo kukubalika katika ulingo wa siasa, basi watakuwa wanapotea njia! Yaani Juma Nature agombee Ubunge Temeke na kisha mtarajie kushinda kwavile tu Nature anakubalika TMK ktk ulingo wa sanaa?! You're not serious.....nimekaa sana na hawa wasanii wa bongo flavor especially kutoka old wanaume family....they don't have what it take in politics....sio wanaharakati wala wapiganaji kama mnavtofikiria! Kwa taarifa yenu, mpiganaji pekee kutoka Wanaume (Old Wanaume) ni Kakaman, na ndio maana hakuweza kudumu na kundi coz' yule dogo kwanza kuzinguliwa hapendi na ndio maana alikuwa mbwa na paka na Said Fella coz' Fella na Fella alifanya jitihada zote kumpteza, na alifanikiwa! Mara kumi mtu angeniambia Mheshimiwa Temba, lakini Nature! You're not serious! Lakini kwa bahati mbaya, Temba yupo kwenye mikono ya Fella; na Fella anakula kupitia CCM, so Temba kuwa mpiganaji kupitia CHADEMA ni labda ajiengue Wanaume!!

CHADEMA ningewashauri waache kujaribu kutumia umaarufu wa wasanii wa kizazi kipya, hautawafikisha popote! Naona mnafanya mistake ambazo mlizifanya kwa Nakaaya; mlipoona ameimba nyimbo Mr, Politician na kuzungumzia jinsi Mr. Politician alivyo hovyo hovyo, mkazani Nakaaya nae ni Politician! Tofautisheni wana-Bongo Flavor wengine na mtu kama Sugu! Mtu anayeifahamu Bongo Flavor tangu enzi za akina Salehe Jabir, wakati Sugu anajiita Too Proud, enzi za KU na akina Adil, anafahamu kwamba Mr. II tangu wakati huo alikuwa ni mpiganaji na mwanaharakati hata kupitia kwenye nyimbo zake! Kwa watu tuliokuwa na Bongo Flavor, huku tukitembea na mabuti over size tukijilinganisha na Naughty By Nature, tunafahamu hata Professor Jay doesn't have what it take to be mwanaharakati!

Mkuu ni haki yake kikatiba.
 
Ha ha ha kafa kimziki, siasa na nature wapi na wapi yeye mwambie pombe na bangi 2! Acha atafute mboga kwani wameona kwenye siasa ndio kuna na mahela ............msanii alie bumaaaaaa
 
Back
Top Bottom