Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

Mr. II hawezi kuwa role mode wa Professor J wala Nature.....hawa watatu, wapo tofauti kimtazamo! Narudia, Sugu alionesha dalili za uanaharakati from the begining na sio J wala Nature! Mr. II na Professor J wanafanana kitu kimoja; wote walikuwa wanaharakati katika "kuleta mabadiliko (kimuziki) katika muziki wa kizazi kipya" lakini linapokuja suala la harakati za kupinga dhuluma; hapo Professor J na Mr. II ni watu wawili tofauti! Tangu zamani Mr. II alikuwa anaonekana kabisa kwamba hakuwa comfortable na system lakini sio kwa Professor J wala Nature! Wanaweza kumuona role model wao sio kwa kuhamasika na kutamani ku-deliver kile ambacho kinakuwa delivered na Mr. II bali wanaweza kuwa Role Model wao just kwa kutamani Political Position, especially kwa Professor J!
Kurudia kwako ni kawaida wala huhitaji niweka attention.Huwa wewe hujibaraguza kwanza halafu unajongea machinjioni...naona umekubali kuwa Two anaweza kuwa Role model wao ktk siasa na mambo mengi tuu ya harakati amabyo wao wenyewe ndio wapo kt position ya kujieleza(kukataa) kuliko wewe. Utajidanganya sana kwa vile walianza kipindi cha kufanana ila ktk music ,sanaa na michezo si ajabu mzee akafuata nyayo za kijana.Messi ana wachezaji wengi tuu wanaomfuatili kila hatua kuanzai bongo hadi ulaya, mike jackson,alikuja tengenezewa wimbo bora na R-kelly, Sharo alikuwa manager na co worker wa Mzee majuto. Naomba isiwe ngumu tena ,uendelee kurudia rudia tena.
Aidha, inawezekana wanakuja wenyewe, lakini nanyi mnawashabikia kana kwamba wana political influence!! Kuna mdau kasema eti Nature anataka kugombea ubunge Temeke; kama si masihara kwenye siasa tuite nini! Kwa ninavyomuona Professor J ana-fit zaid kwenye siasa za CCM kuliko CHADEMA sawa na ambavyo Julius Mtatiro anavyoweza ku-fit kwenye siasa za CHADEMA kuliko CUF lakini ameamua ku-opt CUF just for political position kuliko ideology na ndivyo ilivyo kwa upande wa Professor J! Sitashangaa, kesho na kesho kutwa, Lady Jay dee nae nikasikia anajiunga CHADEMA nanyi mtampigia makofi na vigelele na kumuita Mwanaharakati!
Ukishakubali wanakuja wenyewe, halafu CDm ina warecruit na kuwafanya weapon of mass destructions kwa magamba.Whats your point.Kushangilia?Hata ronaldo akija man U kuna watu walishangilia ingawa alitoka mchangani portugal.Na he was worth it. Hayo ya Mtatiro ni matatizo yako tuu kifikra,na suggestions za kichonganishi.Nani alijua kuwa Sitta nape ni wa hovyo hivyo hadi waliposogea ktk anga za CDM wakawavua nguo.CDM wanaona vyema ndio maana CUF wamemchukua Safari, Mtatiro anaweza fit alipo kuliko un avyodhani.
Madai kwamba waliokataliwa ni wa CCM, ningependekeza madai hayo kawapatie watoto wasiozijua siasa za CCM na CHADEMA; kwangu naweza kushawishika kwamba ni jua ndiyo inalizunguka dunia kuliko madai kwamba CHADEMA imefunga milango kwa watu wa CCM!
Hata wewe unaweza kuwa mtoto sana kifikra...Umejuaje watakaokuja baadaye si mamluki na hivyo hawakuwahi kuwa wana CCM?Hujawahi sikia mwanamke anamwambai mumewe hakuwahi mpenda?Sasa kama mamlui wametumwa kwa kazi maalumu, utawaiata wana CCM?just because wana kadi na wanalipa michango kwa hela ya CCM wenyewe? Kwa vile hujui unachoongea nikusamehe bure.Hata nikikuambia kuwa kuna uwekano Jua nalo kuna scenarionalo linakuwa linazunguka dunia unaweza ruka juu ya keyboard kwa vile maisha yako yanazunguka ktk "common sense pekee".kama walimu wako ambao hadi leo wanaamini kuna 3states of matter.
 
Mkuu ni haki yake kikatiba.
I strongly agree with you....my point is, never rely on these people, hawaaminiki hawa! Hawa hata huko kwenye soko la muziki wanatafunana wenyewe kwa wenyewe.....!
 
I strongly agree with you....my point is, never rely on these people, hawaaminiki hawa! Hawa hata huko kwenye soko la muziki wanatafunana wenyewe kwa wenyewe.....!

Vipi kuhusu wewe hapa ktk hii role yako ya ushauri, au wassira kwa zitto,au JK kwa ZZK?mpo reliable?Jipe jibu linalostahili.
 
Kurudia kwako ni kawaida wala huhitaji niweka attention.Huwa wewe hujibaraguza kwanza halafu unajongea machinjioni...naona umekubali kuwa Two anaweza kuwa Role model wao ktk siasa na mambo mengi tuu ya harakati amabyo wao wenyewe ndio wapo kt position ya kujieleza(kukataa) kuliko wewe. Utajidanganya sana kwa vile walianza kipindi cha kufanana ila ktk music ,sanaa na michezo si ajabu mzee akafuata nyayo za kijana.Messi ana wachezaji wengi tuu wanaomfuatili kila hatua kuanzai bongo hadi ulaya, mike jackson,alikuja tengenezewa wimbo bora na R-kelly, Sharo alikuwa manager na co worker wa Mzee majuto. Naomba isiwe ngumu tena ,uendelee kurudia rudia tena.
We mtu una kichwa kizito sana kuelewa!!! Nimekuambiwa Mr. II hawawezi kuwa Role Model wao kwa kutamani kile ambacho kinakuwa delivered na Mr. II bali anaweza kuwa Role Model wao kwa kutamani political position!....hivi huoni kuna tofauti kati ya kutamani ku-deliver na kutamani ku-acquire?! Yaani ikiwa hata vitu vidogo kama hivi unashindwa kuvielewa, sijui una uwezo wa kuelewa kitu gani! Wapi nimesema anaweza kuwa Role Model wao ktk siasa na mambo mengi tuu ya harakati?! Kwanza wala huonekani kama muziki wenyewe unaufahamu..... angalia mifano uliyotoa isivyo-make any sense!
Ukishakubali wanakuja wenyewe, halafu CDm ina warecruit na kuwafanya weapon of mass destructions kwa magamba.Whats your point.Kushangilia?Hata ronaldo akija man U kuna watu walishangilia ingawa alitoka mchangani portugal.Na he was worth it. Hayo ya Mtatiro ni matatizo yako tuu kifikra,na suggestions za kichonganishi.Nani alijua kuwa Sitta nape ni wa hovyo hivyo hadi waliposogea ktk anga za CDM wakawavua nguo.CDM wanaona vyema ndio maana CUF wamemchukua Safari, Mtatiro anaweza fit alipo kuliko un avyodhani.
Angalia unavyoendelea kutoa mifano isiyo na kichwa wala miguu! Eti Ronaldo alipokuja Man U alishangiliwa ingawaje alitoka mchangani Ureno! Hivi unamjua Ronaldo wewe?! Ronaldo yupi ambae alienda Man U akitokea mchangani Ureno? Unamzungumia Cristiano Ronaldo au mwingine? Kama ndiye, yeye alitokea Sporting Lisbon! Hivi Sporting Lisbon ni timu ya mchangani?! Umekurupuka tena na mifano ile ile ya hovyo hovyo! Eti Sitta mlimvua nguo! Nani asiyejua kwamba CHADEMA ilimwomba Sitta agombee Urais kupitia CDM lakini akawatolea nje! Au ulitaka kusema CCJ?
Hata wewe unaweza kuwa mtoto sana kifikra...Umejuaje watakaokuja baadaye si mamluki na hivyo hawakuwahi kuwa wana CCM?Hujawahi sikia mwanamke anamwambai mumewe hakuwahi mpenda?Sasa kama mamlui wametumwa kwa kazi maalumu, utawaiata wana CCM?just because wana kadi na wanalipa michango kwa hela ya CCM wenyewe? Kwa vile hujui unachoongea nikusamehe bure.Hata nikikuambia kuwa kuna uwekano Jua nalo kuna scenarionalo linakuwa linazunguka dunia unaweza ruka juu ya keyboard kwa vile maisha yako yanazunguka ktk "common sense pekee".kama walimu wako ambao hadi leo wanaamini kuna 3states of matter.
Kumbe Products za Mulugo hazikuanza leo! Hivi unafahamu maana ya ku-quote wewe?! Hivi ambacho uli-quote na hayo maelezo yako vinafanana?! Eti najuaje "watakaokuja baadaye si mamluki na hivyo hawakuwahi kuwa wana CCM" Watakaokuja baadae akina nani? Nimewataja wapi hao watakaokuja baadae ambao nina uhakika gani kama hawajawahi kuwa CCM?
 
Akili ya aina yako ndio inafanya nchi kuonekana imelaaniwa.
Wasanii ni sehemu muhimu katika jamii,na si wavuta bangi.
Kuwepo baadhi wanao vuta haku justify generalization uliyo ifanya.

So far..nchi za Caribbean wanavuta sana, lakini wanapanga maendeleo bungeni.

tragedy of the commons
 
Ashibe naye muuza unga? au naye ana hisa dalbit? au naye fisadi? au naye anaisha palace kwa wanyang'anyi !Princess oh sory prince usiye na haya!

ha ha ha ni mtoto wa chief eeh!!
 
Naamini sana Mawazo ya Sir Nature katika nyanja nzima ya human development. Achana na masuala ya bange ila kama unavuta nao ni sawa!
 
Baada ya prof. jay kujiunga na CHADEMA.
Taarifa zilizopo ni kuwa msanii mwingine maarufu,
Juma Kasim (Juma Nature) naye yuko mbioni kufanya hivyo.
Karibu sana Nature!
Vijana sasa wanabadilika kwa kasi..hadi 2015!
CHADEMA itakuwa sehemu nzuri sana...

Source: Juma Nature mwenyewe..

Niwazo zuri sana. ILA CHADEMA muwe makini na wimbi hili la wanamuziki kujiunga kwa kasi kwenye kambi yenu. Ni wazo langu tu.
 
Baada ya prof. jay kujiunga na CHADEMA.
Taarifa zilizopo ni kuwa msanii mwingine maarufu,
Juma Kasim (Juma Nature) naye yuko mbioni kufanya hivyo.
Karibu sana Nature!
Vijana sasa wanabadilika kwa kasi..hadi 2015!
CHADEMA itakuwa sehemu nzuri sana...

Source: Juma Nature mwenyewe..

Juma Nature ni GAMBA Original, hawezi kujiunga na CHADEMA!!
 
Back
Top Bottom