Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

kumekuwako na taarifa kutoka makao makuu ya chamdema zinazodai kuwa mwanamuziki maarufu wa kizazi kipya juma kassim maarufu kama juma nature au sir nature anajiandaa kujiunga na cdm muda si mrefu ikiwa ni sehemu ya maandalizi yake ya awali ya kugombea ubunge wa jimbo la temeke kupitia cdm.taarifa hizo zinaeleza kuwa mpango huo unaratibiwa kwa pamoja na mbunge wa mbeya mini mh.joseph mbilinyi na hata mapokezi ya jospeh haule nin sehemu ya awali ya mpango kamambe wa kuwanasa wasanii wengi wa kizazi kipya ili kujiimarisha zaidi kwa vijana ambao ndio hasa wapiga kura.afisa mmoja wa cdm makao makuu ameweza kuthibitisha kuwa mpango huo unaratibiwa kwa karibu na viongozi wa kamati kuu ya chama hicho hususani mwenyekiti mbowe anayedaiwa kuwa mwasisi wa mpoango huo wa "usajili" wa kisiasa.kuna orodha ndefu ya wasanii wanaowindwa kwa udi na uvumba kutoka tasnia zote na orodha hiyo itaendelea kupanuka na kukua kutokana na upepo wa umaarufu wasanii waliopo kwenye orodha na wengine watakao endelea kupata umaarufu kuelekea 2015.mrisho mpoto nae anaandaliwa kadi ya chadema.tusubiri.
 
baada ya prof. Jay kujiunga na chadema.
Taarifa zilizopo ni kuwa msanii mwingine maarufu,
juma kasim (juma nature) naye yuko mbioni kufanya hivyo.
Karibu sana nature!
Vijana sasa wanabadilika kwa kasi..hadi 2015!
Chadema itakuwa sehemu nzuri sana...

Source: Juma nature mwenyewe..

taarifa nzuri hiyo kamanda natuere j.karibu kwenye mapano.
 
Kikwete aliahidi kuwapatia bongo flavor artists studio ya nguvu na ya kisasa
 
Alishwapa ila tuu ilitekwa nyara na maharamia wanoitwa flavour unity inayomilikiwa na ruge mutahaba.
 
..mie sio mwelewa wa viwango vya elimu za hao wanatasnia ya nyimbo za bandari ya salama..tunakoelekea endapo mtu ana shahada (BA, MA, MBA, Phd, Phd+ =professor) bado anashindwa kuyapa ufumbuzi matatizo ya Tz, ni wakati mwafaka hata mkulima/mfugaji wa kule naliendele/tandahimba, r'chuga kusahau jembe na kuwania kuingia mjengoni..

ni muda gani mwanacha mpya anatakiwa akae kwenye chama ndipo aruhusiwe kugommbea uongozi wa ngazi fulani?
 
mmh hii ndo tanzania before i die nitashuhudia mengi.
I wonder bunge la mwaka 2016 litakuwaje maana wanaotangaza nia ya kugombea ni wa aina yake.
Diva, afande sele, steve nyerere, mange kimambi, sitoshangaa nikisikia wema, inawezekana hata diamond akataka, now juma nature, and bado wengine wengi tu
 
juma kwa temeke anakubalika sana na karibia dar kwa ujumla akisimama na mtemvu au yule wa kigamboni watanywea kwa kiroboto well come nature.
 
mmh hii ndo tanzania before i die nitashuhudia mengi.
I wonder bunge la mwaka 2016 litakuwaje maana wanaotangaza nia ya kugombea ni wa aina yake.
Diva, afande sele, steve nyerere, mange kimambi, sitoshangaa nikisikia wema, inawezekana hata diamond akataka, now juma nature, and bado wengine wengi tu

nikukumbushe pia kuwa jackline walper naye ametangaza nia ya kugombea ubunge.ni chama gani tusubiri.
 
Good movie...nafikiri tutakuwa na timu nzuri jukwaani, hapa namsubiri Mwana FA ili tuimbe ule wimbo...NI JUKUMU LETU...KWA TAIFA LETU...!!! Patanoga kweli!!!
 
Juzi nilimsikia afande Sele akisema naye yupo mbioni kujiunga CDM.Alisema,kama prof. J atakuwa mikumi yeye atakua moro town..
 
Hii habari ya kupiga simu inaweza kuwa kweli kwani huyu mzee ni bogas sana, hakui kiakili. Wenzake wanasoma na kuandika mambo makubwa yeye anakumbilia kufanya urafiki na watoto wa bongo fleva! Bado kila nikikumbuka alipoapishwa akakimbilia club ya Real Madrid eti kuwaalika Tz nampuuza sana huyu babu!

Kwa nini unamtukana mkuu wa nchi?
 
Back
Top Bottom