Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

Sir Juma Kasim Nature aka Kiroboto. tuthibitishie mkuu.
 
as long as juma nature ni mtanzania, then ana haki kikatiba kujiungj na chama chochote cha siasa kwa utashi wake mradi asivunje sheria za nchi. km akijiunga na cdm huo ni uamuzi wake na lazima tuuheshimu. km kweli karibu sana kijana kwenye chama cha ukombozi wa mtz.
 
as long as juma nature ni mtanzania, then ana haki kikatiba kujiungj na chama chochote cha siasa kwa utashi wake mradi asivunje sheria za nchi. km akijiunga na cdm huo ni uamuzi wake na lazima tuuheshimu. km kweli karibu sana kijana kwenye chama cha ukombozi wa mtz.

vyema sana..na ni kweli chadema ni chama cha ukombozi..
 
Baada ya prof. jay kujiunga na CHADEMA.
Taarifa zilizopo ni kuwa msanii mwingine maarufu,
Juma Kasim (Juma Nature) naye yuko mbioni kufanya hivyo.
Karibu sana Nature!
Vijana sasa wanabadilika kwa kasi..hadi 2015!
CHADEMA itakuwa sehemu nzuri sana...

Source: Juma Nature mwenyewe..

Isije ikawa wewe ndiye Juma Nature mwenyewe umeleta bandiko hapa kutaka kuwarusha roho CCM ili uvute mkwanja wa haraka haraka watakaokupa kukuzuia usijiunge Chadema.

Kama ni kweli unajiunga Chadema, ni uamuzi wa busara na wenye mstakabali mwema katika maisha yako na ya vijana kama weye!!
 
Maana yake ni kwamba idadi ya vijana wanaotambua changamoto za maendeleo inaongezeka. Woga ndo ushawatoka na wapiga kura vijana watakuwa wengi uchaguzi ujao. Safari moja huanzisha nyingine.
 
Nadhani ni mojawapo ya wasanii wasiokuwa ktk magazeti ya udaku ,wakishikana na madada poa,wakijitambulisha kama freemasons na ujinga mwingine, km akina diamond, etc...

Ni wasanii vijana wengi watajiona wana bahati kuwaona ktk mikutano in their neighborhoods,vijana watajiona kuwa wanaweza kuenda kwa vile wanaongea na kuwaona watu waliopitia impossible routes to their dreams.
 
Hii habari ya kupiga simu inaweza kuwa kweli kwani huyu mzee ni bogas sana, hakui kiakili. Wenzake wanasoma na kuandika mambo makubwa yeye anakumbilia kufanya urafiki na watoto wa bongo fleva! Bado kila nikikumbuka alipoapishwa akakimbilia club ya Real Madrid eti kuwaalika Tz nampuuza sana huyu babu!

huyo ndio dr. fastjet
 
Baada ya prof. jay kujiunga na CHADEMA.
Taarifa zilizopo ni kuwa msanii mwingine maarufu,
Juma Kasim (Juma Nature) naye yuko mbioni kufanya hivyo.
Karibu sana Nature!
Vijana sasa wanabadilika kwa kasi..hadi 2015!
CHADEMA itakuwa sehemu nzuri sana...

Source: Juma Nature mwenyewe..

bado Kingwendu!
 
Baada ya prof. jay kujiunga na CHADEMA.
Taarifa zilizopo ni kuwa msanii mwingine maarufu,
Juma Kasim (Juma Nature) naye yuko mbioni kufanya hivyo.
Karibu sana Nature!
Vijana sasa wanabadilika kwa kasi..hadi 2015!
CHADEMA itakuwa sehemu nzuri sana...

Source: Juma Nature mwenyewe..
we uko upande gani chadema ama ccm
 
Mleteni na Mambo jemeniiii. Hawa wakiingia mtaani kupiga kampeni kura kibao zinapatikana. Ni watu muhimu sana. Obama alipata kura nyingi sana zilizoletwa na wasanii maarufu
 
njooni jamani hii ni kazi ya ukombozi .sio mchezo.acha upambe acha njaa anagalia taifa linakwenda wapi.kwani ukifumbia macho leo ,tatizo bado lipo utalitatua kesho
 
Back
Top Bottom