Historia ya Jumbe Mwinjuma Digosi, Sheikh Suleiman Takadir na Julius Nyerere 1954

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,921
30,264
HISTORIA YA JUMBE MWINJUMA DIGOSI, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA JULIUS NYERERE 1954
Inawezekana Jumbe Mwinjuma Digosi alikuwa umri huu wa sasa alionao mwanae Zakaria huyu Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo.

Naukumbuka uchaguzi wa Zakaria Digosi Jangwani kwani Kariakoo iliwaka moto kwa ushindani uliowapambanisha wana mji wenyewe wazaliwa wa Kariakoo ambao wazee wao walikuwa watu maarufu na pia wana mji.

Zakaria alikuwa anagombea kiti alichokuwa amekikalia Abdallah Faraj.

Wote hawa wawili wana watu wengi nyuma yao na wote wamekulia Kariakoo na wanajuana vyema.
Kariakoo haijapata kupoteza haiba yake katika siasa toka enzi za kupigania uhuru wa Tanganyika.

Kariakoo iliwaka moto wakati wa kampeni lakini mwishowe Zakaria Digosi alishinda.

Baba yake Zakaria, Mzee Mwinjuma Digosi alikuwa Jumbe katika serikali ya Muingereza.

Alikuwa na nyumba Mtaa wa Nyamwezi na nyumba hii alimpangisha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU.

Sheikh Takadir akiendesha biashara yake ya mnada kwenye nyumba hiyo.

Hapa katika huu mnada pakawa sehemu muhimu sana wana TANU wakikutana kwa biashara, mazungumzo ya siasa na kuhamasishana.

Julius Nyerere akawa hapungui kwenye barza hii.

Mnada wa Sheikh Suleiman Takadir ukawa maarufu watu wakifurika pale kwa kuuza na kununua na kwa mazungumzo.

Ukiwa humjui Nyerere unataka kumuona fika.

Rafiki yangu marehemu Mzee Kassanda anasema yeye mara ya kwanza kumtia Nyerere machoni ilikuwa pale mnadani kwa Sheikh Suleiman Takadir.

Waingereza wakamlalamikia Jumbe Digosi kuwa nyumba yake ni moja ya ngome za TANU na Julius
Nyerere anafika sana hapo kumwaga sumu.

Waingereza wakamkumbusha Jumbe Digosi kuwa yeye ni mtumishi wa Serikali ya Malkia hawezi kuwaweka wapinzani wa serikali katika nyumba yake.

Hakika huu ulikuwa mtihani mkubwa kwa Jumbe Digosi.

Vipi atamfukuza kwenye nyumba yake Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU?
Jumbe Digosi alitoa notisi kwa Sheikh Suleiman Takadir ahame nyumbani kwake akapange kwengine.

Sheikh Suleiman Takadir alihama pale Mtaa wa Nyamwezi akahamia Mtaa wa Msimbazi.
Ukoloni hakika ulikuwa na changamoto zake.

Leo mwanae Zakaria na watu wa Kariakoo wamewakumbuka wazee hawa.

PICHA: Zakaria Mwinjuma Digosi Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo kulia akiwa na Naibu Spika Mussa Zungu katika khitma ya kuwarehemu wapigania uhuru wa Tanganyika.

May be an image of 3 people and text

All reactions:
14Kheri Chomba, Kamalu Khalid and 12 others
 
HISTORIA YA JUMBE MWINJUMA DIGOSI, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA JULIUS NYERERE 1954
Inawezekana Jumbe Mwinjuma Digosi alikuwa umri huu wa sasa alionao mwanae Zakaria huyu Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo.

Naukumbuka uchaguzi wa Zakaria Digosi Jangwani kwani Kariakoo iliwaka moto kwa ushindani uliowapambanisha wana mji wenyewe wazaliwa wa Kariakoo ambao wazee wao walikuwa watu maarufu na pia wana mji.

Zakaria alikuwa anagombea kiti alichokuwa amekikalia Abdallah Faraj.

Wote hawa wawili wana watu wengi nyuma yao na wote wamekulia Kariakoo na wanajuana vyema.
Kariakoo haijapata kupoteza haiba yake katika siasa toka enzi za kupigania uhuru wa Tanganyika.

Kariakoo iliwaka moto wakati wa kampeni lakini mwishowe Zakaria Digosi alishinda.

Baba yake Zakaria, Mzee Mwinjuma Digosi alikuwa Jumbe katika serikali ya Muingereza.

Alikuwa na nyumba Mtaa wa Nyamwezi na nyumba hii alimpangisha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU.

Sheikh Takadir akiendesha biashara yake ya mnada kwenye nyumba hiyo.

Hapa katika huu mnada pakawa sehemu muhimu sana wana TANU wakikutana kwa biashara, mazungumzo ya siasa na kuhamasishana.

Julius Nyerere akawa hapungui kwenye barza hii.

Mnada wa Sheikh Suleiman Takadir ukawa maarufu watu wakifurika pale kwa kuuza na kununua na kwa mazungumzo.

Ukiwa humjui Nyerere unataka kumuona fika.

Rafiki yangu marehemu Mzee Kassanda anasema yeye mara ya kwanza kumtia Nyerere machoni ilikuwa pale mnadani kwa Sheikh Suleiman Takadir.

Waingereza wakamlalamikia Jumbe Digosi kuwa nyumba yake ni moja ya ngome za TANU na Julius
Nyerere anafika sana hapo kumwaga sumu.

Waingereza wakamkumbusha Jumbe Digosi kuwa yeye ni mtumishi wa Serikali ya Malkia hawezi kuwaweka wapinzani wa serikali katika nyumba yake.

Hakika huu ulikuwa mtihani mkubwa kwa Jumbe Digosi.

Vipi atamfukuza kwenye nyumba yake Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU?
Jumbe Digosi alitoa notisi kwa Sheikh Suleiman Takadir ahame nyumbani kwake akapange kwengine.

Sheikh Suleiman Takadir alihama pale Mtaa wa Nyamwezi akahamia Mtaa wa Msimbazi.
Ukoloni hakika ulikuwa na changamoto zake.

Leo mwanae Zakaria na watu wa Kariakoo wamewakumbuka wazee hawa.

PICHA: Zakaria Mwinjuma Digosi Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo kulia akiwa na Naibu Spika Mussa Zungu katika khitma ya kuwarehemu wapigania uhuru wa Tanganyika.

May be an image of 3 people and text

All reactions:
14Kheri Chomba, Kamalu Khalid and 12 others

inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun. Allah awarehem wazee na ndugu zetu waliotangulia aturehem nasi tulio njiani. Amiin.

Ma shhaa Allah umenipeleka mitaa yangu leo.

Digosi kazeeka, in shaa Allah tukijaaliwa kuonana nae ntacheka sana. Sijaonana nae miaka mingi sana, Inapata 30.

Nadhani mara ya mwisho kuonana nae akikaa mtaa wa Swahili opposite na PAN.
.
 
¹p


inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun. Allah awarehem wazee na ndugu zetu waliotangulia aturehem nasi tulio njiani. Amiin.

Ma shhaa Allah umenipeleka mitaa yangu leo.

Digosi kazeeka, in shaa Allah tukijaaliwa kuonana nae ntacheka sana. Sijaonana nae miaka mingi sana, Inapata 30.

Nadhani mara ya mwisho kuonana nae akikaa mtaa wa Swahili opposite na PAN.
.
Maalim,
Ahsante.
 
¹p


inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun. Allah awarehem wazee na ndugu zetu waliotangulia aturehem nasi tulio njiani. Amiin.

Ma shhaa Allah umenipeleka mitaa yangu leo.

Digosi kazeeka, in shaa Allah tukijaaliwa kuonana nae ntacheka sana. Sijaonana nae miaka mingi sana, Inapata 30.

Nadhani mara ya mwisho kuonana nae akikaa mtaa wa Swahili opposite na PAN.
.
Aliwahi kuwa mumeo wa utotoni mpaka useme kuwa utacheka sana?
 
Aliwahi kuwa mumeo wa utotoni mpaka useme kuwa utacheka sana?
Hao unaowaona kwenye picha wote ni watoto wa Kariakoo na tunajuwana kuanzia wazazi mpaka sisi. Si Zungu hapo si Digosi.

AlhamduliLlah kuowana Karikakoo mbona halali na wengi tumeoleana sana.

Hilo wala lisikupe shida. Kariakoo ni njema sana.
 
Hao unaowaona kwenye picha wote ni watoto wa Kariakoo na tunajuwana kuanzia wazazi mpaka sisi. Si Zungu hapo si Digosi.

AlhamduliLlah kuowana Karikakoo mbona halali na wengi tumeoleana sana.

Hilo wala lisikupe shida. Kariakoo ni njema sana.
Unajua maana ya mume wa utotoni?
 
HISTORIA YA JUMBE MWINJUMA DIGOSI, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA JULIUS NYERERE 1954
Inawezekana Jumbe Mwinjuma Digosi alikuwa umri huu wa sasa alionao mwanae Zakaria huyu Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo.

Naukumbuka uchaguzi wa Zakaria Digosi Jangwani kwani Kariakoo iliwaka moto kwa ushindani uliowapambanisha wana mji wenyewe wazaliwa wa Kariakoo ambao wazee wao walikuwa watu maarufu na pia wana mji.

Zakaria alikuwa anagombea kiti alichokuwa amekikalia Abdallah Faraj.

Wote hawa wawili wana watu wengi nyuma yao na wote wamekulia Kariakoo na wanajuana vyema.
Kariakoo haijapata kupoteza haiba yake katika siasa toka enzi za kupigania uhuru wa Tanganyika.

Kariakoo iliwaka moto wakati wa kampeni lakini mwishowe Zakaria Digosi alishinda.

Baba yake Zakaria, Mzee Mwinjuma Digosi alikuwa Jumbe katika serikali ya Muingereza.

Alikuwa na nyumba Mtaa wa Nyamwezi na nyumba hii alimpangisha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU.

Sheikh Takadir akiendesha biashara yake ya mnada kwenye nyumba hiyo.

Hapa katika huu mnada pakawa sehemu muhimu sana wana TANU wakikutana kwa biashara, mazungumzo ya siasa na kuhamasishana.

Julius Nyerere akawa hapungui kwenye barza hii.

Mnada wa Sheikh Suleiman Takadir ukawa maarufu watu wakifurika pale kwa kuuza na kununua na kwa mazungumzo.

Ukiwa humjui Nyerere unataka kumuona fika.

Rafiki yangu marehemu Mzee Kassanda anasema yeye mara ya kwanza kumtia Nyerere machoni ilikuwa pale mnadani kwa Sheikh Suleiman Takadir.

Waingereza wakamlalamikia Jumbe Digosi kuwa nyumba yake ni moja ya ngome za TANU na Julius
Nyerere anafika sana hapo kumwaga sumu.

Waingereza wakamkumbusha Jumbe Digosi kuwa yeye ni mtumishi wa Serikali ya Malkia hawezi kuwaweka wapinzani wa serikali katika nyumba yake.

Hakika huu ulikuwa mtihani mkubwa kwa Jumbe Digosi.

Vipi atamfukuza kwenye nyumba yake Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU?
Jumbe Digosi alitoa notisi kwa Sheikh Suleiman Takadir ahame nyumbani kwake akapange kwengine.

Sheikh Suleiman Takadir alihama pale Mtaa wa Nyamwezi akahamia Mtaa wa Msimbazi.
Ukoloni hakika ulikuwa na changamoto zake.

Leo mwanae Zakaria na watu wa Kariakoo wamewakumbuka wazee hawa.

PICHA: Zakaria Mwinjuma Digosi Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo kulia akiwa na Naibu Spika Mussa Zungu katika khitma ya kuwarehemu wapigania uhuru wa Tanganyika.

May be an image of 3 people and text

All reactions:
14Kheri Chomba, Kamalu Khalid and 12 others
Asante Kwa historian nzuri
 
HISTORIA YA JUMBE MWINJUMA DIGOSI, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA JULIUS NYERERE 1954
Inawezekana Jumbe Mwinjuma Digosi alikuwa umri huu wa sasa alionao mwanae Zakaria huyu Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo.

Naukumbuka uchaguzi wa Zakaria Digosi Jangwani kwani Kariakoo iliwaka moto kwa ushindani uliowapambanisha wana mji wenyewe wazaliwa wa Kariakoo ambao wazee wao walikuwa watu maarufu na pia wana mji.

Zakaria alikuwa anagombea kiti alichokuwa amekikalia Abdallah Faraj.

Wote hawa wawili wana watu wengi nyuma yao na wote wamekulia Kariakoo na wanajuana vyema.
Kariakoo haijapata kupoteza haiba yake katika siasa toka enzi za kupigania uhuru wa Tanganyika.

Kariakoo iliwaka moto wakati wa kampeni lakini mwishowe Zakaria Digosi alishinda.

Baba yake Zakaria, Mzee Mwinjuma Digosi alikuwa Jumbe katika serikali ya Muingereza.

Alikuwa na nyumba Mtaa wa Nyamwezi na nyumba hii alimpangisha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU.

Sheikh Takadir akiendesha biashara yake ya mnada kwenye nyumba hiyo.

Hapa katika huu mnada pakawa sehemu muhimu sana wana TANU wakikutana kwa biashara, mazungumzo ya siasa na kuhamasishana.

Julius Nyerere akawa hapungui kwenye barza hii.

Mnada wa Sheikh Suleiman Takadir ukawa maarufu watu wakifurika pale kwa kuuza na kununua na kwa mazungumzo.

Ukiwa humjui Nyerere unataka kumuona fika.

Rafiki yangu marehemu Mzee Kassanda anasema yeye mara ya kwanza kumtia Nyerere machoni ilikuwa pale mnadani kwa Sheikh Suleiman Takadir.

Waingereza wakamlalamikia Jumbe Digosi kuwa nyumba yake ni moja ya ngome za TANU na Julius
Nyerere anafika sana hapo kumwaga sumu.

Waingereza wakamkumbusha Jumbe Digosi kuwa yeye ni mtumishi wa Serikali ya Malkia hawezi kuwaweka wapinzani wa serikali katika nyumba yake.

Hakika huu ulikuwa mtihani mkubwa kwa Jumbe Digosi.

Vipi atamfukuza kwenye nyumba yake Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU?
Jumbe Digosi alitoa notisi kwa Sheikh Suleiman Takadir ahame nyumbani kwake akapange kwengine.

Sheikh Suleiman Takadir alihama pale Mtaa wa Nyamwezi akahamia Mtaa wa Msimbazi.
Ukoloni hakika ulikuwa na changamoto zake.

Leo mwanae Zakaria na watu wa Kariakoo wamewakumbuka wazee hawa.

PICHA: Zakaria Mwinjuma Digosi Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo kulia akiwa na Naibu Spika Mussa Zungu katika khitma ya kuwarehemu wapigania uhuru wa Tanganyika.

May be an image of 3 people and text

All reactions:
14Kheri Chomba, Kamalu Khalid and 12 others
Hongera kwa kuweka kumbukumbu na historia sawa.
 
HISTORIA YA JUMBE MWINJUMA DIGOSI, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA JULIUS NYERERE 1954
Inawezekana Jumbe Mwinjuma Digosi alikuwa umri huu wa sasa alionao mwanae Zakaria huyu Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo.

Naukumbuka uchaguzi wa Zakaria Digosi Jangwani kwani Kariakoo iliwaka moto kwa ushindani uliowapambanisha wana mji wenyewe wazaliwa wa Kariakoo ambao wazee wao walikuwa watu maarufu na pia wana mji.

Zakaria alikuwa anagombea kiti alichokuwa amekikalia Abdallah Faraj.

Wote hawa wawili wana watu wengi nyuma yao na wote wamekulia Kariakoo na wanajuana vyema.
Kariakoo haijapata kupoteza haiba yake katika siasa toka enzi za kupigania uhuru wa Tanganyika.

Kariakoo iliwaka moto wakati wa kampeni lakini mwishowe Zakaria Digosi alishinda.

Baba yake Zakaria, Mzee Mwinjuma Digosi alikuwa Jumbe katika serikali ya Muingereza.

Alikuwa na nyumba Mtaa wa Nyamwezi na nyumba hii alimpangisha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU.

Sheikh Takadir akiendesha biashara yake ya mnada kwenye nyumba hiyo.

Hapa katika huu mnada pakawa sehemu muhimu sana wana TANU wakikutana kwa biashara, mazungumzo ya siasa na kuhamasishana.

Julius Nyerere akawa hapungui kwenye barza hii.

Mnada wa Sheikh Suleiman Takadir ukawa maarufu watu wakifurika pale kwa kuuza na kununua na kwa mazungumzo.

Ukiwa humjui Nyerere unataka kumuona fika.

Rafiki yangu marehemu Mzee Kassanda anasema yeye mara ya kwanza kumtia Nyerere machoni ilikuwa pale mnadani kwa Sheikh Suleiman Takadir.

Waingereza wakamlalamikia Jumbe Digosi kuwa nyumba yake ni moja ya ngome za TANU na Julius
Nyerere anafika sana hapo kumwaga sumu.

Waingereza wakamkumbusha Jumbe Digosi kuwa yeye ni mtumishi wa Serikali ya Malkia hawezi kuwaweka wapinzani wa serikali katika nyumba yake.

Hakika huu ulikuwa mtihani mkubwa kwa Jumbe Digosi.

Vipi atamfukuza kwenye nyumba yake Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU?
Jumbe Digosi alitoa notisi kwa Sheikh Suleiman Takadir ahame nyumbani kwake akapange kwengine.

Sheikh Suleiman Takadir alihama pale Mtaa wa Nyamwezi akahamia Mtaa wa Msimbazi.
Ukoloni hakika ulikuwa na changamoto zake.

Leo mwanae Zakaria na watu wa Kariakoo wamewakumbuka wazee hawa.

PICHA: Zakaria Mwinjuma Digosi Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo kulia akiwa na Naibu Spika Mussa Zungu katika khitma ya kuwarehemu wapigania uhuru wa Tanganyika.

May be an image of 3 people and text

All reactions:
14Kheri Chomba, Kamalu Khalid and 12 others
Ongera sana Mohamed, naona una andika vitu vingi hasa vya Dar na pwani. Siku nyingine tunaomba utuletee uhusiano wa Nyerere na Mzee Mbowe kule Kilimanjaro, jinsi wamissionari wakatoliki walivyosaidia katika harakati za kutafuta Uhuru na pia historia ya watu mbalimbali toka bara wenye mchango mkubwa kwenye hizi harakati. Itapendeza sana.
 
Ongera sana Mohamed, naona una andika vitu vingi hasa vya Dar na pwani. Siku nyingine tunaomba utuletee uhusiano wa Nyerere na Mzee Mbowe kule Kilimanjaro, jinsi wamissionari wakatoliki walivyosaidia katika harakati za kutafuta Uhuru na pia historia ya watu mbalimbali toka bara wenye mchango mkubwa kwenye hizi harakati. Itapendeza sana.
Mbussi,
Nimeandika kitabu: "Rajabu Ibrahim Kirama...: (2021).

Soma kitabu hiki ni historia ya.miaka 200 nyuma ya Uchaggani.
 
Hao unaowaona kwenye picha wote ni watoto wa Kariakoo na tunajuwana kuanzia wazazi mpaka sisi. Si Zungu hapo si Digosi.

AlhamduliLlah kuowana Karikakoo mbona halali na wengi tumeoleana sana.

Hilo wala lisikupe shida. Kariakoo ni njema sana.
Faiza mutoto ya kariakoo

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom