jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nawasikitikia sana hawa vijana kwa kushindwa kuchanga karata zao vyema kwani wangeweza kwa umri walionao kuwa sehemu ya baraza la mawaziri.
Tatizo lao walishindwa kuchanga karata zao vyema na sasa mbongo zao zimesimama kufikiria maendeleo ya nchi.
Zitto na Julius Mtatiro ni wasomi wanasiasa wazuri kutoka UDSM na walikuwa na fursa ya kuchagua upande sahihi kisiasa ili waweze kufikia hatua nzuri za kiuongozi badala yake uzwazwa au majivuni viliwatawala katika maamuzi yao.
Naamini iko siku watajifunza na kuelewa ni maamuzi yapi ya kisiasa ni sahihi kwayo.
Wako vijana wengi nyuma yao ambao walichanga karata zao vyema na sasa wamewazidi katika vyeo vya kisiasa.
Naamini bado hawajachelewa na watajirekebisha na hatimaye kuhamia chama kubwa la Ukombozi barani Afrika.
UPDATES:
Tarehe 11 August 2018...ndugu Julius Mtatiro atangaza kuhamia CCM.
Tatizo lao walishindwa kuchanga karata zao vyema na sasa mbongo zao zimesimama kufikiria maendeleo ya nchi.
Zitto na Julius Mtatiro ni wasomi wanasiasa wazuri kutoka UDSM na walikuwa na fursa ya kuchagua upande sahihi kisiasa ili waweze kufikia hatua nzuri za kiuongozi badala yake uzwazwa au majivuni viliwatawala katika maamuzi yao.
Naamini iko siku watajifunza na kuelewa ni maamuzi yapi ya kisiasa ni sahihi kwayo.
Wako vijana wengi nyuma yao ambao walichanga karata zao vyema na sasa wamewazidi katika vyeo vya kisiasa.
Naamini bado hawajachelewa na watajirekebisha na hatimaye kuhamia chama kubwa la Ukombozi barani Afrika.
UPDATES:
Tarehe 11 August 2018...ndugu Julius Mtatiro atangaza kuhamia CCM.