Wewe unafikiri kulitumikia taifa lazima uwe na cheo cha kisiasa mbona wengine tunalitumikia bila vyeo vya kisiasa, je wanajeshi wana vyeo vya kisiasa ina maana hawalitumikii taifa?Wameangalia maslahi ya Taifa kwa jicho chongo na hivyo kupoteza fursa adimu ya kulitumikia Taifa.