Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,870
vitu vingine hata huitaji kujiuliza maswali dada angu.Nyie kina nani?no research no right to speak.
vitu vingine hata huitaji kujiuliza maswali dada angu.Nyie kina nani?no research no right to speak.
Usimwamini mfanya siasa wa aina yeyote!Your name tells all. Labda yule mwingine not my boy Julius
Hakikisha yule dogo janja hajawawekea camera wala vinasa sauti.watatu wako karatu hapa
Bado kuna maisha nje ya CCM!Nawasikitikia sana hawa vijana kwa kushindwa kuchanga karata zao vyema kwani wangeweza kwa umri walionao kuwa sehemu ya baraza la mawaziri.
Tatizo lao walishindwa kuchanga karata zao vyema na sasa mbongo zao zimesimama kufikiria maendeleo ya nchi.
Zitto na Julius Mtatiro ni wasomi wanasiasa wazuri kutoka UDSM na walikuwa na fursa ya kuchagua upande sahihi kisiasa ili waweze kufikia hatua nzuri za kiuongozi badala yake uzwazwa au majivuni viliwatawala katika maamuzi yao.
Naamini iko siku watajifunza na kuelewa ni maamuzi yapi ya kisiasa ni sahihi kwayo.
Wako vijana wengi nyuma yao ambao walichanga karata zao vyema na sasa wamewazidi katika vyeo vya kisiasa.
Naamini bado hawajachelewa na watajirekebisha na hatimaye kuhamia chama kubwa la Ukombozi barani Afrika.
Hatuhitaji mizigo kwenye chama chetu!Nawasikitikia sana hawa vijana kwa kushindwa kuchanga karata zao vyema kwani wangeweza kwa umri walionao kuwa sehemu ya baraza la mawaziri.
Tatizo lao walishindwa kuchanga karata zao vyema na sasa mbongo zao zimesimama kufikiria maendeleo ya nchi.
Zitto na Julius Mtatiro ni wasomi wanasiasa wazuri kutoka UDSM na walikuwa na fursa ya kuchagua upande sahihi kisiasa ili waweze kufikia hatua nzuri za kiuongozi badala yake uzwazwa au majivuni viliwatawala katika maamuzi yao.
Naamini iko siku watajifunza na kuelewa ni maamuzi yapi ya kisiasa ni sahihi kwayo.
Wako vijana wengi nyuma yao ambao walichanga karata zao vyema na sasa wamewazidi katika vyeo vya kisiasa.
Naamini bado hawajachelewa na watajirekebisha na hatimaye kuhamia chama kubwa la Ukombozi barani Afrika.
We na wewe utakua mjinga kama yeye hamna tofauti umeona kabisa hii ndo mana yake ya Kumuunga mkono kabisa?Japo mi sio mpenzi wa mada zako nyingi,lakini kwenye hili nakubaliana na wewe mkuu.
AsanteUnajionyesha tu, sasa kuna nini kaandika hapo? Kama sio uganga na utabili usio na tija kichwani. Eti na wewe ndio umeona point hapo!! Ndio nina wasiwasi na IQ yako!!
AsanteWe na wewe utakua mjinga kama yeye hamna tofauti umeona kabisa hii ndo mana yake ya Kumuunga mkono kabisa?
Nawasikitikia sana hawa vijana kwa kushindwa kuchanga karata zao vyema kwani wangeweza kwa umri walionao kuwa sehemu ya baraza la mawaziri.
Tatizo lao walishindwa kuchanga karata zao vyema na sasa mbongo zao zimesimama kufikiria maendeleo ya nchi.
Zitto na Julius Mtatiro ni wasomi wanasiasa wazuri kutoka UDSM na walikuwa na fursa ya kuchagua upande sahihi kisiasa ili waweze kufikia hatua nzuri za kiuongozi badala yake uzwazwa au majivuni viliwatawala katika maamuzi yao.
Naamini iko siku watajifunza na kuelewa ni maamuzi yapi ya kisiasa ni sahihi kwayo.
Wako vijana wengi nyuma yao ambao walichanga karata zao vyema na sasa wamewazidi katika vyeo vya kisiasa.
Naamini bado hawajachelewa na watajirekebisha na hatimaye kuhamia chama kubwa la Ukombozi barani Afrika.
Mawazo ya kijinga kutoka kwa mjinga. Haishangazi mnatoa michango ya hovyo hovyo humu-kumbe akili zenu ziko kwenye teuzi tu. Unataka watu wajiunge na timu bunduki/ timu washamba kwa sababu tu ya teuzi? Hovyoo kabisa.....Nawasikitikia sana hawa vijana kwa kushindwa kuchanga karata zao vyema kwani wangeweza kwa umri walionao kuwa sehemu ya baraza la mawaziri.
Tatizo lao walishindwa kuchanga karata zao vyema na sasa mbongo zao zimesimama kufikiria maendeleo ya nchi.
Zitto na Julius Mtatiro ni wasomi wanasiasa wazuri kutoka UDSM na walikuwa na fursa ya kuchagua upande sahihi kisiasa ili waweze kufikia hatua nzuri za kiuongozi badala yake uzwazwa au majivuni viliwatawala katika maamuzi yao.
Naamini iko siku watajifunza na kuelewa ni maamuzi yapi ya kisiasa ni sahihi kwayo.
Wako vijana wengi nyuma yao ambao walichanga karata zao vyema na sasa wamewazidi katika vyeo vya kisiasa.
Naamini bado hawajachelewa na watajirekebisha na hatimaye kuhamia chama kubwa la Ukombozi barani Afrika.