Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Toa na wewe background yako tuijue, mbona unaongea undercover? mmbea wa kiume lol. Siku hizi wanaume ni wambea kuliko wanawake, tutakupa tuzo kwa umbea dada/kaka na tutakuvisha kanga.
Na shanga za kiunoni hehehehehe
Hao wanaotaka background za wenzao zijadiliwe hapa JF hao hao ukiwapa background za mathalan Dr W. P Slaa watakutolea mimacho hao mpaka thread utaiona chungu hawataki kusikia eti Mhe aliwahi kuwa CCM, na mengineo mengi hawajui mtu akiingia kwenye siasa anakuwa kama coin anatizamwa pande zote mbili tail and head. Ngoja niishie hapa nisije nikakimbia bure