Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
mtafute SHIGONGO kipaji unacho mkuu naona unavyomwaga data za udaku..
Najua utakuwa umekasirika MTATIRO..... hebu tuatie wewe zile amabazo sio za udaku utuwekee hapa kabla hatujakuona wewe ni mdaku.
Moja ya hoja alioto muhusika unaemuita mdaku ni "mtatiro kuongea tu kabla ya kufikiri" sasa kama wewe unazo hoja za kufikiri ningeomba UJENGE HOJA KUPINGA HOJA ZA MWENZIO hiki sio kijiwe cha kufundishana taarabu kama raisi wenu alivyojisifia bungeni