Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Akiongea kwa hasira na kupanic, ameshangaa tamko la chadema eti haiwezi kuungana na CUF bara kwa sababu CUF visiwani wameungana na CCM. Hata hivyo aliahidi kwamba CUF bara itaendea kushirikiana na vyama vingine vya upinzani ili kutekeleza majukumu yake.
Source Channel ten taarifa ya habari saa moja usiku
Source Channel ten taarifa ya habari saa moja usiku