Jamaa muongo kama upepo si kweli.
aaaaaaahhh kasema ukweli na ukweli ni marufuku ndani ya ccm
I can't buy this shit
Leo mkutano wa ccm kidogo uingie dosari baada ya Juliana Shonza kutamka jukwaani kuwa hakuna chama chenye mafisadi wengi kama ccm. Ilibidi ashushwe jukwaani haraka sana!
Inawezekana ulimi uliteleza au alikusudia.
Ukweli hukaa moyoni siku zote lakini lazima utaropoka
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
they cant sell this shit!
I can't buy this shit
Leo mkutano wa ccm kidogo uingie dosari baada ya Juliana Shonza kutamka jukwaani kuwa hakuna chama chenye mafisadi wengi kama ccm. Ilibidi ashushwe jukwaani haraka sana!
Inawezekana ulimi uliteleza au alikusudia.
Ukweli hukaa moyoni siku zote lakini lazima utaropoka
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Ajabu! Au ndio mambo ya MUUMBA kutumia kinywa cha punda given the circumstancesMkutano ulikuwa kaloleni mtaa wa kituo cha mabasi ya kampala coach!
Alipopanda jukwaani alianza kwa salamu za chama na kusema kuwa ndugu zangu hakuna chama Tanzania chenye mafisadi wengi kama ccm.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Nape, Mwigulu, Juliana na Mwampamba ndio wanaokidhalilisha na kuitia aibu CCM
hii niliisema awali kuwa CCM wanajidai wana TISS kubwa lakini CHADEMA ni kiboko yao. hamuoni kuwa tangu waingie CCM mambo mengi yao yako njenje na nguvu za CCM zinapungua siku hadi siku,ninyi subirini na mtaona matokeo mda si mrefu.Wafanye kazi ya kuiimarisha CHADEMA,sisi wenye maono tunafahamu kazi wanayoifanya,wanafanya kazi nzuri hata usalama wa Taifa hawafui dafu..ccm itagundua while too late to catch the moving train. Juliana awe mwangalifu..ccm watasituka mapema. Naipongeza chadema, it's a good tactic and will come with beautiful results...JULIANA AND MWAMPAMBA...do the mission pse!...