Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Hajui historia huyo Zuma wa South Africa hana hata darasa la saba lakini anajua kuongoza na watu wanamheshimu JK na Phd ya ofa kuna nini jema toka kwake?
 
Kwani katiba ya nchi inaseemaje kuhusu elimu ya waziri mkuu? Nani kamwambia Chadema ikishinda Mbowe atakuwa waziri Mkuu, basi kama anajua atambie baraza zima la mawaziri, pia atwambie elimu ya Lukuvi.

Sidhani kama ni suala la katiba, ukweli utawale, haiwezekani jamani kuwa na waziri mkuu form four. Inaweza kumsababishia asitekeleze majukumu yake vyema kama PM kwa kujishuku.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Hili linatatuaje tatizo la wanafunzi zaidi ya nusu kufeli mitihani ya kidato cha nne?
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!


SHukuru Kawambwa ana Phd, lakini inatusaidia nini?
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Wadau naomba mnikumbushe kwani Marehemu Edward Moringe Sokoine alikuwa Waziri Mkuu akiwa na elimu gani vile! Maana kuna kipindi aliuacha uwaziri mkuu na akaenda kusoma....Si huyo pekee kwani Mzee wetu Marehemu Rashid Mfaume Kawawa aliwahi pia kuwa waziri mkuu, hivi na yeye alikuwa na digrii? Hivi Shonza anajua historia ya nchi hii kweli! Wako wapi wenye 'doktreti' na wamefikisha wapi vyama wanavyoviongoza!
Israel waliwahi kuwa na waziri mkuu ambaye alikwa ni fundi cherehani...Afrika Kusini inaongozwa na rais ambaye hakuwahi kupitia shule (formal education). Dah! Haka kabinti na kadirii kake kamoja basi imekuwa tabu sijui kana mzuzua eeeh na by de way, hivi kalimaliza au bado kanaendelea!
 
Kama huyo malaya wa kisiasa kwa maagizo ya NAPE na Ridhiwani anataka kututoa kwenye mada za serikali ya Kikwete kushindwa kabisa kulinda uhai na mali za wananchi hatutatoka ng"o tuna akili zetu timamu tunajua alivyopanda jukwaani mwaka 2005 aliingia kwa njia ya kudhalilisha utu wa wangombea wenzie na katika hilo watu kama akina Dr Salim,Sumaye hawatakaa wasahau kamwe na mtandao wa Kikwete

2010 aliingia kwa njia ya udini akaarika vikundi mashekh wa misikiti ya kariakoo,mwanza na iringa huko wao walikuwa wakihubiri udini kumpishia njia ya ushindi
yeye mwenye pale karimjee akikubali kuchaguliwa,na pale Dodoma akizindua bunge akasindilia hadithi ya udini
amerikoroga tupo naye mpaka nchi airudishe kwenye hadhi yake ya mapatano ujinga wa Shonza,Nape na Ridhiwani hatutaukubali
 
I do not care the education of an individual, what I care much is what that individual is bringing to community. So long Mbowe is for positive Change I will support him to destine.
 
220px-Ali_Hassan_Mwinyi_2.jpg

Na huyu mzee wetu ruksa, ametuongoza kwa miaka kumi. Elimu yake ikoje? Ndio maana nasema huyo binti hana adabu. Hatutafuti machangudoa hapa JF. Aende zake huko Kona baa, sinza.
 
Hajui historia huyo Zuma wa South Africa hana hata darasa la saba lakini anajua kuongoza na watu wanamheshimu JK na Phd ya ofa kuna nini jema toka kwake?

Zuma anaheshimiwa na watu wanaojiheshimu, aje awe Rais wa tanzania aone kama hatavuliwa nguo hata na mateja ambao hawajui milango ya madarasa ilipo. Mimi naamini dharau ya watanzania kwa viongozi wao siyo kuwa tatizo ni viongozi bali ni watu wenyewe ambao vichwa vyao vimeoza. Vichwa ambavyo vimekuwa vikiogeshwa hata vikiwa darasa la saba kwa kudhania kuwa ni watoto, vichwa ambavyo vimekuwa vinakula kuku wanaokuwa kwa siku saba. Vichwa vinavyoshinda kwenye mitandao ya kijamii kuangalia picha za utupu, starehe na udaku wakati huo vikishindwa hata kutafuta neno moja kwenye google kwa ajili kujiongezea elimu kichwani.
 
Sidhani kama ni suala la katiba, ukweli utawale, haiwezekani jamani kuwa na waziri mkuu form four. Inaweza kumsababishia asitekeleze majukumu yake vyema kama PM kwa kujishuku.
Ushabiki mwingine hauna maana yoyote mpaka mnaishia kujiaibisha tu. Haya msomi wa Ph D. Shukuru Kawambwa ameiinuaje Elimu katika nchi hii?
 
I do not care the education of an individual, what I care much is what that individual is bringing to community. So long Mbowe is for positive Change I will support him to destine.

Unajua utajiri wa MBOWE umetokana na nini au unamsifia bure? Kazi kwenu wazee wa kila kitu yes kama MJUSI KAFIRI.
 
Sijaona kibinti kimeo kama hicho. CCM watamtumia kama kondomu na kumtupa kwenye jaa!
 
Tanzania Nchi ya Vyeti, Walio ibadilisha USA wote hawakuenda shue, huku Bongo kila kukicha ni kujadii vyeti,

Na mimi napongeza sana baadhi ya NGO, ambazo zimeanza kuajili bia kuabgalia vyeti bali uwezo wa mtu binafisi
 
Kwa wakati ule elimu ya mzee kawawa ilitosha sio sasa wakati wa digitali ndugu yangu.
Mbowe kinachomfanya awe kiongozi wa chadema ni hela za urithi tu. Sio self made na makamanda wanamuweka pale kwa sababu wana njaa

Wakati anawaongoza as mwenyekiti wenu wakati mko chadema hyo elimu yake hamkuiona? Baba yako wewe ana elimu gani? Shukuru juhudi zako kaka acha kudandia hoja za kijinga,Kama ccm ingekuwa na nia nzuri na wananchi bs ingetoa elimu bora kwa wote sio leo mnaanza kutusi watu,Tunakusubr uje iringa ili ujue siasa si hasa
 
Duh!! hata kama propaganda sasa hii balaa, ndo tatizo la watoto wanaokubali kutongozeka na kila mwanaCCM!
 
Hahaha! Binti anajazba baada ya kutimuliwa CDM kama mbwa mwizi.
Nashukuru Mungu mmesadiki kuwa Dr. Slaa ndiyo rais ajaye.

NB:
CONDOM moja ni kwa kila tendo moja tu, sasa baada ya tendo hili matumizi yenu yatakuwa yameisha na tutawamis sana wasaliti.
....dah!hiyo NB, imenichekesha
 
Back
Top Bottom