Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

Mkuu Ng'wamapalala naona umeamua kujivika upofu mchana wa jua kali. Huo mfano wa Rajoelina ni kukuonyesha tu kwamba hata DJ anaweza kushika the top most position.
Pressure kutoka international community zipo hata kwa maraisi walioingia ikulu kwa kura. Na rajoelina hagombei tena uraisi kama ilivyo kwa Ravalomanana kama peace agreement.

Suala la delivery ni kitu kingine kwakuwa haitegemei umeingiaje ikulu. Raisi Kikwete ameshindwa kuiongoza nchi tunashuhudia mauaji ya kirejareja. Kikwete hata hajui hata sababu ya umasikini wa nchi hii na alipigiwa kura za kishindo na watanzania mwaka 2005.
Leadership is all about function, it's all about delivery not school certificates! Kama certificates ndo kila kitu basi tusingeshuhudia huu ujinga unaofanywa na serikali ya ccm iliyojaa maprofesa.
 
Last edited by a moderator:
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

yeye mwenye ELIMU kubwa mbona amekuwa malaya wa kisiasa!!
 
soma maandishi ya kijani hapo juu. aliitumia mwaka 94-95 akiwa waziri wa fedha. ndugu yangu nakuomba utumie ubongo wako. usidhani humu ndani hatuna akili

Kwa hiyo mtu ana graduate with a PASS kunako 1975 na anakuja kuitumia hiyo degree 1994 ndio unaona matumizi mazuri ya ubongo sio?.....twenty years!....goodness me...
 
Safi sana dada yetu shupavu endelea kuwalipua hao wanyonyaji bora uligundua kuwa ulikuwa gizani

Hapo kwenye blue,
Hakugundua kitu chochote, alifukuzwa uanachama wa Chadema.
Baadaye akasema anataka kugumbea u-enyekiti wa Bavicha wakati amefukuzwa !!
Ritz anamfahamu kwa undani zaidi.
 
Huyu dada, bora angetulia, hakika angeonekana ana busara machon pa wengi! Lakini kwa haya matamshi yake kila wakati yanadhihirisha ujinga sana. Watanzania tunaelewa na tunajua tufanyalo! Juliana hana uwezo wa kutubadilisha, wala hana jeuri ya kuwachafua viongozi waliomlea na kumfikisha hapo alipo. Kwa masikitiko makubwa sana, huu naona utakuwa mwisho wa huyu Dada kwenye siasa. Kadiri anavyozidi kuja na maneno yake yakutafuta ubaya wa wenzake ndivyo anavyozidi kupotea.

Wadau tujiulize hili swali, "hii tabia ya wanasiasa kuwapaka wenzao matope baada ya kuhamia upande wa pili ni kukomaa kisiasa au ni kupotoka"??
Siasa ya Tanzania haina ethics kabisa.
 
After all the hullabaloo, I thought that she will be wiser to learn.She has now became a bait.. CHADEMA should weigh carefully its response lest it be used against it later on. Her handlers can afford to be ruthless.. something she least expect and comprehend..
 
asante sana juliana shonza kwa kutudharau sisi watanzania wenye elimu ndogo
wito wangu kwa watanzania tuliokosa elimu naomba tusiwachague viongozi kama hawa wakina juliana shonza wanaotudharau kwa elimu zetu ndogo na kutuona kuwa hatufai kuongoza katika taifa ili

wana fikra fupi eti wanaamini uongozi unapimwa kwa kiwango cha elimu mbona tuna maprofesa wengi lakini utendaji ziro mfano yule wa elimu prof kawa-mbwa
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Kawaida yao hawa, makamu wa Rais stdvii, hivi huyo atakuwa anajua kweli hata kushika kipanya cha kompyuta? kazi kweli kweli.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Hivi naye shonza anajiweka kwenye kundi la wasomi ? maajabu haya
 
Ng'ong'a ng'ong'a vuvuzela!haya mbona tushayasikia?mtasema mengi,tumeziba masikio!the system must step down no matter who's going to take over!ongea uwezavyo dada!
 
asante sana juliana shonza kwa kutudharau sisi watanzania wenye elimu ndogo
wito wangu kwa watanzania tuliokosa elimu naomba tusiwachague viongozi kama hawa wakina juliana shonza wanaotudharau kwa elimu zetu ndogo na kutuona kuwa hatufai kuongoza katika taifa ili

wana fikra fupi eti wanaamini uongozi unapimwa kwa kiwango cha elimu mbona tuna maprofesa wengi lakini utendaji ziro mfano yule wa elimu prof kawa-mbwa

Ana dharau lakini ya Dr. SLAA imezidi, juzi kawananga wake zake waliotangulia (Rose kamili na Cecilia Paresso) kuwa hawana hadhi ya kuwa wake zake. Hii ndiyo dharau kubwa kuwahi kusikia ikisemwa na kiongozi wa juu kabisa wa chama kama SLAA.
 
Ng'ong'a ng'ong'a vuvuzela!haya mbona tushayasikia?mtasema mengi,tumeziba masikio!the system must step down no matter who's going to take over!ongea uwezavyo dada!

Ndo umemjibu shonza hivyo? kweli kawashika pabaya.
 
Kwani katiba ya nchi inaseemaje kuhusu elimu ya waziri mkuu? Nani kamwambia Chadema ikishinda Mbowe atakuwa waziri Mkuu, basi kama anajua atambie baraza zima la mawaziri, pia atwambie elimu ya Lukuvi.
 
Hii air time hapa JF itamuishia muda si mrefu atakapopptezewa mazima huko alikohamia. M
Ajifunze kwa wenzie! La sivyo asubiri uzoefu umfunze
 
asante sana juliana shonza kwa kutudharau sisi watanzania tusiokuwa na elimu
wito wangu kwa watanzania ni kuwa tusiwachague viongozi kama wakina shonza maana wanatudharau sisi watanzania wenye elimu ndogo na kuwa hatufai kushika uongozi kwenye hili taifa
eti wanapima uongozi bora kwa kiwango cha elimu

mbona kuna maprofesa wengi wasomi lakini uongozi wao ziro mfano yule professa wa elimu kawa-mbwa pima elimu yake na kufeli kwa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka 2012
 
Kwa hiyo mtu ana graduate with a PASS kunako 1975 na anakuja kuitumia hiyo degree 1994 ndio unaona matumizi mazuri ya ubongo sio?.....twenty years!....goodness me...

wewe unaweza kubishana hata na redio. haya umeshinda! hongera! ubishi wa kijiweni siuwezi
 
Hivi Afrika ya Kusini haipo SADC? Zuma hajawahi ingia darasani wewe mtoto, but is the president of the most successful and strongest african state in Africa. Hivi shule mmesoma watu nyie magamba. Nini SADC, nenda Ulaya utapata the same story, kuongoza sio hizo degree za c..pi wewe... ni talanta na uwelewa unaotokana na exposure...
 
Back
Top Bottom