Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

Hakuna pointi hapo,kwani kuwa na elimu ya F4,kuna tatizo gani katika siasa?mbona kuna wabunge ni darasa la saba??,ingekuwa kigezo ni elimu basi president alitakiwa kuwa PROFESA.Kasome civics upya.









h
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
 
Ni bora tusiwe na waziri mkuu kuliko kuwa na waziri mkuu kilazaaa,,,
 

Wadau naomba mnikumbushe kwani Marehemu Edward Moringe Sokoine alikuwa Waziri Mkuu akiwa na elimu gani vile! Maana kuna kipindi aliuacha uwaziri mkuu na akaenda kusoma....Si huyo pekee kwani Mzee wetu Marehemu Rashid Mfaume Kawawa aliwahi pia kuwa waziri mkuu, hivi na yeye alikuwa na digrii? Hivi Shonza anajua historia ya nchi hii kweli! Wako wapi wenye 'doktreti' na wamefikisha wapi vyama wanavyoviongoza!
Israel waliwahi kuwa na waziri mkuu ambaye alikwa ni fundi cherehani...Afrika Kusini inaongozwa na rais ambaye hakuwahi kupitia shule (formal education). Dah! Haka kabinti na kadirii kake kamoja basi imekuwa tabu sijui kana mzuzua eeeh na by de way, hivi kalimaliza au bado kanaendelea!


ondoa ujinga wako hapa. usiturudishe enzi zile. huu ni ulimwengu mwengine. acha ushabiki wa kijinga
 
wasiwasi wa nin serikal ingekuwa hiv:
RAIS- PADRE SILAA
WAZIR MKUU: FREMN MBWE,elim form four
WAZIRI WA ELIM:ARF.elim std seven(7)
WAZIR WA MICHEZO: MR.SUGU(rapa) ,elim form four
WAZIR WA VWANDA NA BIASHARA.JHN MNYKA.elim form six

hizo Phd holder na maprofessors walioko ccm wanautofauti gani na darasa la saba? maana elimu sio tu kuitwa bali uitukie ifanye kazi sasa unapoongelea prof. Maghembe, Mwakyusa, Msola, Mwadosya na wale Dr. kigwangalah, kawambwa na wengine si afadhari hata walio wape wange wavua ilikuwanusuru na aibu wanayoipata ya ndio mzee kwa kuwa bunge kuliangamiza taifa zaidi
 
Sidhani kama ni suala la katiba, ukweli utawale, haiwezekani jamani kuwa na waziri mkuu form four. Inaweza kumsababishia asitekeleze majukumu yake vyema kama PM kwa kujishuku.
......aliyekwambia mbowe atakuwa waziri mkuu nani?
...tunaomba utujuze pia elim ya lukuvi
 
mbona chenge ni msomi tena amesoma harvad lakini amesaidia nn taifa letu.?!..zaid ya kutuingza kwenye mikataba ya kitumwa....
 
Nafuu kuwa form four lakini ukawa mzalendo kwa Taifa na hasa kwa Watanzania wanaohitaji mabadiliko kuliko kuwa na shahada lakini ukawa msaliti na Malaya wa siasa za vyama. Juliana Shonza unatia aibu, mwanamke huna haya umewasaliti vijana wa Tanzania na Watanzania waliokusomesha kwa kodi zao huku wakiishi kwa kula majani kama walivyoagizwa na Basil Mramba waziri wa fedha wakati ule ili ndege ya rais inunuliwe na wewe usome. Leo unawapuuza Watanzania ambao hawajapata elimu ya juu? Je ikiwa unawadharau wenye elimu ya form four kiasi hicho, itakuwaje kwa wale wa drs la 7 na ambao hawana hata darasa 1? Umehubiri udini na sasa watumishi wa Mungu wanauawa kwa ulimi wako na sasa umeanza kuweka matabaka ya elimu. Wewe kachaguliwe na wasomi wenzako tuache Watanzania tuwachague Viongozi wenye busara na siyo wasomi na wasaliti wa wanyonge kama wewe. Hata mchumba / mume wako utamsaliti, labda akiwa mjanja awe wa kwanza kukuacha.
 
wasiwasi wa nin serikal ingekuwa hiv:
RAIS- PADRE SILAA
WAZIR MKUU: FREMN MBWE,elim form four
WAZIRI WA ELIM:ARF.elim std seven(7)
WAZIR WA MICHEZO: MR.SUGU(rapa) ,elim form four
WAZIR WA VWANDA NA BIASHARA.JHN MNYKA.elim form six

Pamoja na elimu zao kuwa za chini sana, lakini tatizo kubwa ninaloliona kwa hawa jamaa ni kukosa busara(Hawajatulia). Mtu kama ZITTO bwana hata arguments zake unaona kabisa ni mtu anaweza kufanya kitu. These guys, akina NASSARI, NYERERE, MNYIKA, MSIGWA na wengine wenye mapepe kama hao I don't believe, they can think logically and give the precise decissions. Ni hatari sana kwa nation.
 
hii ni hatari. taarifa za elimu za viongozi wangu zimefanya mwili wangu uishe nguvu kabisa! mmmhhhhh! Mungu ibariki Tanzania
Juliana ana degree ya chupi......

529809_568977183114101_1177227346_n.jpg
 
Baba yangu ni retired civil engineer na alikuwa serikalini.
Mimi nimesoma mpaka form four na nimejiinua mwenyewe mpaka nilipo na ninaajiri wasomi kama wewe
Akili kubwa daima haiwezi kuongozwa na akili ndogo..,kaka chilisosi u were too big for their league. Bora ulivyoachana nao. waache wenye akili kama zao za form four leaver waendelee kuburuzwa.
 
Huyo Juliana vipi? Wakati mimi na Mbowe tunasoma darasa moja tukiwa Kidato cha Tano na Sita (HGE) 1979 - 1981 sidhani kama yeye alikuwa amezaliwa. Mbona hana adabu huyo mtoto? Pambaf sana!
 
th


kuna mdau ameniuliza slaa ana shahada ya kwanza ya chuo kikuu? nikakosa jibu
akaniuliza tena: slaa ana masters? nikakosa jibu
akaniuliza: mtu anaweza kupata phd (isiyo honorary) bila ya kuwa na masters degree? nikakaa kimya
akaniuliza: cheo cha udokta amekipata wapi slaa hadi aitwe dr slaa? nikaguna
akaniuliza: unajua kuwa slaa phd yake ni ya kidini (canon law) nikamuambia kuwa mi nilidhani ni ya masomo mengine. kumbe ni ya kidini!?


"ka nchi haka kananuka" j.k. nyerere


akanirushia hizi data na mimi nimeona bora mnisaidieni kujibu hayo maswali hapo juu!




EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960
hatari...,hatari...,hatari...,weka mbali kama uamsho...!
 
CCM wawafunde hawa vibaka wao.
Kweli kabisa. Nashangaa kwa nini CCM inashindwa kujionyesha kuwa ni Chama Tawala. Kwa siasa kama hizi wala isijisumbue kutafuta mchawi kutokana na mambo yatayotokea siku zijazo
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Pamoja na elimu zao kuwa za chini sana, lakini tatizo kubwa ninaloliona kwa hawa jamaa ni kukosa busara(Hawajatulia). Mtu kama ZITTO bwana hata arguments zake unaona kabisa ni mtu anaweza kufanya kitu. These guys, akina NASSARI, NYERERE, MNYIKA, MSIGWA na wengine wenye mapepe kama hao I don't believe, they can think logically and give the precise decissions. Ni hatari sana kwa nation.

njaa ikizidi huweza hata kubishana na yaonacho macho yako
 
Na Phinias Bashaya
Ihungo.Shule iliyoongoza Jumuiya ya Madola


SEKONDARI ya Ihungo ni moja ya shule kongwe nchini ambayo imetoa mchangomkubwa katika maendeleo ya elimu kwa kipindi cha miaka hamsini iliyopita.


Sifa za sekondari hiyo iliyopo nje kidogo ya Manispaa ya Bukoba,zilivumabaada ya kuwa chimbuko la wataalamu na viongozi mbalimbali wanaotumikia katikafani tofauti ndani na nje ya nchi.


Historia ya shule inawataja Askofu wa Jimbo Kathoriki la Bukoba NestoryTimanywa,Mwenyekiti wa Chamacha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)Freeman Mbowe na aliyewahi kuwaWaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk Diodorus Kamala.


Pia Waziri wa Nishati na Madini William Ngereja,mhadhili wa chuo Kikuu chaDar es salaam Ally Bashiru na mamia ya wengine katika nyanja tofauti nimiongoni mwa matunda ya sekondari ya Ihungo tangu mwaka 1929.


Sifa pekee inayoitofautisha na shule nyingine kongwe hapa nchini nimafanikio ya mwaka 1968 wanafunzi wake walipoongoza katika matokeo ya mitihanimiongoni mwa shule za Jumuiya ya Madola.


Kama alivyoeleza Jonston Mujungu mwalimu wa historia shuleni hapo,matokeohayo yalileta sifa na heshima kwa taifa, na ilipigiwa mfano kwa kuwa nawanafunzi walioonyesha uwezo mkubwa kitaaluma.


Pia ni miongoni mwa shule ambayo utawaona walimu waliopata elimu katikashule hii na baadaye kurudi kufundisha kama Tumwesige Philemon mwalimu wamasomo ya Fizikia na Biolojia.

Hali ilivyo sasa

Mgeni katika sekondari ya Ihungo atakaribishwa na majengo chakavu yasiyojuahata harufu ya rangi ,yakitafsili historia ya elimu na mafanikio ndani yachangamoto baada ya miaka hamsini ya Uhuru.


Kuanzia nyumba za walimu majengo ya shule na mabweni havijawahi kufanyiwaukarabati mkubwa tangu kuanzishwa kwake pamoja na ongezeko kubwa la wanafunzi.


Mathalani maabara ya kemia enzi hizo ilijenga kwa ajili ya matumizi yawanafunzi 18,lakini hivi sasa inatakiwa kutumiwa na wanafunzi 176 na hivyokusababisha changamoto kubwa kwa walimu na wanafunzi.



"Maabara ya kemia ina uwezo wa kutumiwa na wanafunzi 18 hii ni changamotokubwa inayosababisha utendaji kuwa mdogo"anafafanua mwalimu wa somo hiloTumwesige Philemon


Hali ya kusahaulika kwa shule ya Sekondari Ihungo inajionyesha katika jengola maktaba ambalo halitumiki tena kutokana na uchakavu huku shule hiyo ikiwa nawanafunzi zaidi ya mia saba kidato cha tano na sita wanaotumia mabweni sitayaliyojengwa kwa kuzingatia mahitaji ya zamani.

Kiongozi wa wanafunzi katika shule hii Boneface Majura analalamikia ubovuwa vyoo vinavyohatarisha maisha ya jamii ya shule hiyo,uhaba wa walimu navitabu.


"Maktaba imebaki jengo vitabu hakuna hata vilivyopo ni vile vya zamani hayamazingira yanaweza kuchangia wanafunzi tusifanye vizuri darasani"anasema Majurakiongozi wa wanafunzi.

Ugumu wa kudhibiti nidhamu ya wanafunzi
Mahitaji ya walimu katika shule hii ni 38 ingawa wapo 16 huku kwa uchachewao wakilazimika kutimiza wajibu wao nje na ndani ya darasa na kilio kikubwaikiwa ni ugumu wa kudhibiti nidhamu ya wanafunzi.

Baadhi ya walimu wanasema sheria zilizopo juu ya kudhibiti maadili yawanafunzi haziendani na mazingira ya sasa na matokeo yake walimu wanajikutawanadharauliwa na wanafunzi.

Wanasema wakati sheria ikisema mwanafunzi anayemiliki simu shuleni afukuzwehali ni tofauti kwani baadhi ya wanafunzi hupeleka malalamiko yao kwa viongoziwa elimu ngazi ya mkoa na kuruhusiwa kurudi shuleni bila kuwasiliana kwanza nawalimu.

"Umiliki wa simu sheria inasema mwanafunzi afukuzwe,uwezekano wakuitekeleza ni mdogo kwani haiendani na mazingira halisi na wanafunzi hupelekamalalamiko kwa REO (Ofisa elimu wa Mkoa)na kuwaruhusu warudi shuleni"anasemammoja wa walimu.

Pia wanasema moja ya changamoto wanayokabiliana nayo ni kucheleweshwa kwamalipo ya watoa huduma mbalimbali ambapo wanafunzi hutafsiri kuwa walimu hawanaupendo kwao na hivyo kuleta uwezekano wa kuwepo kwa migomo.

Wanasema migomo mingi huanzia kwenye suala la chakula huku shule ikitakiwakujiendesha kutegemea makusanyo ya ada ambayo sio wote wanaolipa kwani baadhihufika na barua za kuwatambulisha kutoka mazingira magumu.

Pamoja na changamoto hizo Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Philip Bonaventuraanasemawanajitahidi kukabiliana nazo na kuwa pamoja na uchache wa walimu bado kiwangocha kufaulu kinaridhisha.
Waomba kupandishwa madaraja

Baadhi ya wafanyakazi katika shule ya sekondari Ihungo wameomba kupatiwanafasi za mafunzo na kupandishwa madaraja baada ya kusahaulika kwa muda mrefu.


Mmoja wa wafanyakazi hao ni Claudia Mweozi ambaye pamoja na kufanya kazi yampiga chapa kwa muda mrefu mara ya mwisho kupanda daraja ni mwaka 1983 na kuwaanalazimika kuridhika na hicho kidogo anachopata akisubiri zamu yake yakustaafu.

Pia Joseph Rwegoshora ambaye ni mtunza kumbukumbu anasema watumishi wasiowalimu wamesahauliwa na kuwa idadi yao haiongezwi lakini nao waliopo hawajawahikupandishwa madaraja na vyeo na kupelekwa mafunzoni.

"Sisi ndiyo mashina ya shule kati ya walimu na wanafunzi tunaridhika nahiki kidogo tunachokipata lakini tunafanya kazi kubwa na wengine wasingekuwawalimu kama sio kutunza kumbukumbu zao"analalamika Rwegoshora mfanyakazi katikashule hii tangu 1973.

Pamoja na kuwa walimu hawakati tamaa kulingana na changamoto walizonazo nimuhimu pia kuitupia jicho shule ya sekondari Ihungo kama njia ya kuenzimafanikio yaliyopita na kutafuta mengine mapya.
Mwisho
Mbona Mbowe alisoma Ihungo Sekondari na kumaliza kidato cha sita? Na Hull Univeristy je aliendaje? I doubt ukweli wa huyu dada lakini muhimu si elimu ila uwezo. Hivi Jacob Zuma alimaliza darasa la ngapi? How many of Tanzanian politicians can match him? Aibu kwa wanasiasa wa chama tawala ku capitalize kwenye personal attacks!
 
th


kuna mdau ameniuliza slaa ana shahada ya kwanza ya chuo kikuu? nikakosa jibu
akaniuliza tena: slaa ana masters? nikakosa jibu
akaniuliza: mtu anaweza kupata phd (isiyo honorary) bila ya kuwa na masters degree? nikakaa kimya
akaniuliza: cheo cha udokta amekipata wapi slaa hadi aitwe dr slaa? nikaguna
akaniuliza: unajua kuwa slaa phd yake ni ya kidini (canon law) nikamuambia kuwa mi nilidhani ni ya masomo mengine. kumbe ni ya kidini!?


"ka nchi haka kananuka" j.k. nyerere


akanirushia hizi data na mimi nimeona bora mnisaidieni kujibu hayo maswali hapo juu!




EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960


Sijui una umri gani mpendwa wangu. Kwa sisi wa miaka mingi kidogo tunajua hili: kwamba Elimu ya zamani ina sifa nyingi sana zenye ubora kuliko shule zenu za siku hizi. Darasa la Nane mtu alikuwa napewa uwezo mkubwa sana wa kutafakari mambo ya kuyasimulia kwa wengine.

Huyu ambaye alivuka darasa la nane ndo usimseme kabisa; ana akili saaaaana huyu nakuapia. Wewe mwenye master ya leo unaweza ukute hutamshinda kwenye debate. Ukitaka kujua mjaribu uone moto. Siku hizi mnapewa makaratasi ya kutishia watu na vichwani kumejaa fikra za uongo, ngono, ufisadi, rushwa na pombe tu. Zamani watu walikuwa wanapewa elimu kichwani.

Na kwa taarifa ya ziada ni kwamba mtu waalimu wakishakubaliana kuwa kana akili sana katoto ulikuwa unarushwa madara na hakuna kinachoaribika. Utakuta katoto ka darasa la Pili kesho kapo la nne. Wapo waliotoka Form Foo anapelekwa Versity na kule anapeta hashikiki.

Kaangalie rekodi zake za msingi uone kama alikuwa anapata ngapi kwa ngapi ndo uje hapa. Atakuwa alirushwa madarasa huyu kutokana na kuwa na akili nyingi. Em fanya utafiti uje hapa kusema alikuwa anakuwa wa ngapi darasani miaka hiyo ya 1960.

Weee.... Wilibrod Slaa? Mseme mwingine; ana akili sana unajua? bishana naye uone kama utamuweza. Watakuwa walimrusha madarasa huyu!
 
Kama anataka kudumu katika siasa angejifunza maneno yapi ya kuongea chumbani na yapi ya kuongea mbele ya umma,sitaki kuamini huyu binti bado anasumbuliwa na utoto labda kama wanamtumia,bora angetumia mda huu kujitafakari,amekosea wapi na afanye nini? Kufukuzwa kwenye chama ni suala la kawaida sana ukionekana ni puppet na wala haijaanzia kwake na haitaishia kwake,jaribu kujenga hoja yenye mashiko utakapoishia kushambulia kiwango cha elimu ya mtu hakuna kingine cha maana ni kujitoa kwenye siasa na kuanza chuki binafsi.
 
Back
Top Bottom