Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,443
hili ndilo swali linalonisumbua na mimi mkuuHuyu aliwezaje kuwa makamu wa mwenyekiti wa BAVICHA?
hili ndilo swali linalonisumbua na mimi mkuuHuyu aliwezaje kuwa makamu wa mwenyekiti wa BAVICHA?
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
WARNING!!!!!!!!!!!!!
Wana JF tafadhalini sana thread kama hizi muwe mnaulizia na source ya information.Nahisi kuna watu wana fabricate story ili kujua reaction ya watu.Binti huyu kayazungumzia wapi haya,kuna sound clip?
Nahisi kuna kitengo maalumu kimeanzishwa kuwapandisha wanachama na wapenzi wa CDM pressure.KUWENI MAKINI!!!!!!!!
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Huyo binti ni mwehu.Kwa nini asihoji elimu ya JACOB ZUMA Rais wa South Africa.Uongozi si lazima usome sana kama kusoma ndio kuongoza basi wangechaguliwa PHD holders kuwa marais wa nchiKatika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Being knowledgeable doesn't mean being intelligent my friend. Don't read one post in isolation.........try again to re-read arguments of JULIANA and my many contributions here!
Tutolee mawazo ya takataka hiyo ,,,twamjua ni mnafiki msaliti mkubwa ananunuliwa na nape pamoja na mwigulu muulize lukuvi ana elimu gani??????
Nape nauye aweke elimu yake twamjua kote alikosoma india alienda kufanya nini ??? Form four na six alipata ngapi??????lukuvi alimaliza la saba shule gani???? Na dr feki nchimbi ?????kawawa alikuwa na elimu hipi?????????
I have nothing to do with your lost in translation contributions. You can spin whatever you like but do home work before post polarising comment. Ni angalizo tu. I'm out.
Toka lini maswali yakaenda shule? Hebu niambie hiyo BA(Pass) kaitumia wapi hapa?.......:yo::yo:
Born on 7th October 1950 at Msoga, Bagamoyo District, Coast Region, sixth born in the family of nine children. He is married to Mama Salma Kikwete and blessed with eight children
CAREER BACKGROUND
1995-2005Minister for Foreign Affairs and International Cooperation
1995-2005Member of Parliament for Chalinze Constituency
1994-1995 Minister for Finance
1990-1995 Member of Parliament for Bagamoyo Constituency
1990-1994 Minister for Energy, Minerals and Water Development
1988-1990Deputy Minister for Energy and Minerals
1986-1988 Nachingwea and Masasi Districts (CCM) Secretary General
1983-1986 Political Tutor at the Tanzania Military Academy in Monduli
1981-1983 Tabora CCM Regional Secretary
1980-1981Administrative officer CCM Headquarters
1977-1980 Deputy Secretary of CCM, Zanzibar
1976-1977Singida Regional Secretary of TANU
1975-1976Deputy Regional Secretary of Tanganyika African National Union (TANU) in Singida
EDUCATION
Feb. 2010 Honorary Doctoral Degree in International Relations from the University of Fatih, Istanbul, TurkeyDec.
2008 Honorary Doctoral Degree in Humane Letters from the University of Kenyatta, Nairobi, KenyaSep.
2006 Honorary Doctoral Degree in Law from St. Thomas University of Minneapolis, Minesotta, USA
(sijui education hii aliipata saa ngapi)
1983-1984Military Leadership Training(WHERE?)
1976-1977 Military Training at Tanzania Military Academy (TMA) at Monduli
1972-1975 B.A (Economics) University of Dar es Salaam
1970-1971 Tanga Secondary School
1966-1969 Kibaha Secondary School
1962-1965 Lugoba Middle School
1958-1961 Msoga Primary School
OTHER DISTINGUISHED POSTS HELD
July 2010Chairman of the African Leaders Malaria Alliance (ALMA) for 2010-2011
Jan 2010 Chairman of the East African Community (EAC)
2008Chairman of the African Union (AU)
2004 Co-Chair of the Helsinki Process on Globalisation and Democracy
2004 Chairman of the Council of Ministers of the Southern African Development Community (SADC) 1997Chairman of the Council of Ministers of the Organisation of African Unity (OAU)
1997 Chairman of the Council of Ministers of the East African Community (EAC).
1997Chairman of the Group of 77(What?...KINGS or PRESIDENTS)
1995Chairman of the Board of Governors of the East African Development Bank (EADB )
SOURCE: Jakaya Mrisho kikwete
huyu binti hana hadabu.kabisa hivi kweli kama siuongozi makini katika chadema.naiyo anayosema fom4 yeye leo hapo halipo ni jitiada za mbowe.kumpa nafasi katika uongozi.je chama chake cha sasa hao maprofesa wa nini.mafisadi wakubwa.siafazali mbowe wa fom4.na kazi yake inaonekana leo hata katoto kanacho zaliwa kana piga.pipozzzzzzzzzzzzzzzz.ccmm mngepata wakina mbowe2.nchiingekua na maendeleo.Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!