Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Kha! huyu mtoto mbona hatumii akili hata kidogo anapo toa matamko yake......
Siasa haitaki phd hata maji marefu ni std 7 lakini ni mbunge kupitia CCM!Kwa hiyo si tatizo mbona vihiyo wengi CCM??Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Wewe ndio usiyejuwa namna ya kutumia ubongo.......huyu binti anataka kutuaminisha kuwa mtu wa FORM FOUR hawezi kuwa Rais wala Waziri Mkuu na mimi ninawapa mifano ya walio weza kuwa hivyo. Sasa hoja yako ipi na ni vipi ulinganishe na kuuwa? Kuongoza nchi kunaweza kulingana na kuuwa?.....plastic brains you got there!
Mzee Kawawa alisoma darasa la 8 la zamani mmoja wa claas mate wake alikuwa the late Proffesor Swed Mwankemwa. Na pia Mzee kawawa alikuw a actorMzee Kawawa alikuwa na elimu gani wakati wa utawala wake? Au Shonza alikuwa bado hajazaliwa!
mnapotoa mifano kama hii na kutaka kuwalinganisha viongozi wa siasa ili ku-counter argument wakati mwingine hamuwatendei haki viongozi wenu bila kufahamu. Una maana gani unapomlinganisha Mh. Mbowe na Kiongozi aliyeshika madaraka kwa kuipindua serikali iliyoko madarakani (Andry Nirina Rajoelina). Huu jamaa hakuchaguliwa na wananchi kama unavyotaka kutuaminisha na kwa sasa uongozi umemshinda na ameamua kuachia ngazi kwa pressure za wananchi.
kwa maono yako, kama aliyekuwa DJ aliweza kutawala na Mh. Mbowe ataweza pia. Utasemaje nikisema, kama huyu jamaa ameshindwa kutawala kwa vigezo hivyo, na Mh. Mbowe naye kuna uwezekano akashindwa vilevile.
Fikiria kabla ya kutenda.
Huyu binti ni mtumbafu sana...ww Juliana kazi yako inajulikana ni kuwatandikia vitanda hao akina Nape muwapo ziarani...sasa tangu lini house girl akawa na kelele kuwazidi wenye mji..??? Tumbafu yako Juliana
Na amewahi kuitumia wapi?
ungemshauri mbowe akasome hapo ungekua umemsaidia. hata kama naipenda chdm lkn huwa sipendi kuunga mkono ujinga.
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Nashindwa kuelewa wealimtoa weapi! ,huyu hata huko sisiem sidhani kama atakaa muda mrefu,watamgundua ni kimeoHuyu Binti ni mwehu sana ..baada ya kutoka huko ndio ameyaona hayo ..mfa maji haishi kutapatapa
maswali yako mbona ya kijiweni! uliza maswali yaliyo kwenda shule
Mbona Mkwe.re tunasikia alitaka Kumpa Prof Maji Marefu uwaziri wa Afya na Ustawi wa Jamii sisi hatusemi....Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
mnapotoa mifano kama hii na kutaka kuwalinganisha viongozi wa siasa ili ku-counter argument wakati mwingine hamuwatendei haki viongozi wenu bila kufahamu. Una maana gani unapomlinganisha Mh. Mbowe na Kiongozi aliyeshika madaraka kwa kuipindua serikali iliyoko madarakani (Andry Nirina Rajoelina). Huu jamaa hakuchaguliwa na wananchi kama unavyotaka kutuaminisha na kwa sasa uongozi umemshinda na ameamua kuachia ngazi kwa pressure za wananchi.
kwa maono yako, kama aliyekuwa DJ aliweza kutawala na Mh. Mbowe ataweza pia. Utasemaje nikisema, kama huyu jamaa ameshindwa kutawala kwa vigezo hivyo, na Mh. Mbowe naye kuna uwezekano akashindwa vilevile.
Fikiria kabla ya kutenda. Ni angalizo tu.
Soma hii article:
Madagascar leader Andry Rajoelina opts out of presidential race
By RIVONALA RAZAFISON in Antananarivo | Wednesday, January 16 2013 at 09:12
RIVONALA RAZAFISON | NATION MEDIA GROUP
Madagascar's President Andry Rajoelina has finally caved in to huge international pressure and announced that he would not participate in presidential elections to be held in May this year, in an attempt to end the country's political crisis.
Mr Rajoelina, 36, who seized power in a March 2009 coup with the help of the army, made the announcement on Tuesday night in the capital Antananarivo.
"I will not be a candidate at the elections, I will sacrifice myself for the sake of the 20 million Malagasy," he said in a prime-time television address to the nation.
"I will manage the transition until the end and I am ready to make a democratic transition. I wish all the best to whoever will replace me," he said.
He has been facing both international and regional pressure from the Southern African Development Community (SADC), a 15-nation regional bloc that has been mediating the crisis to find a solution to the stalemate.
Donors cut off aid after he abandoned a power-sharing deal made in November.
Sanctions imposed by the African Union and the slowing of foreign investment have worsened the country's problems.
In December, French Foreign Affairs minister Laurent Fabius advised Mr Rajoelina to shelve his 2013 political bid and make a comeback in 2018.
Former president Marc Ravalomanana, who was ousted in the 2009 coup, also heeded calls by SADC not to run in the elections. He remains in South African exile.
The moves by Mr Rajoelina and Mr Ravalomanana to quit mean the May polls will open a new chapter in Madagascar's political landscape as the two have dominated the political scene for the last decade, their rivalry defining the island nation's politics.
Madagascar's President Andry Rajoelina inspecting a guard of honour in Tanzania last Friday. He finally bowed to pressure and announced that he will not participate in elections to be held in May this year.
Mzee Kawawa alikuwa na elimu gani wakati wa utawala wake? Au Shonza alikuwa bado hajazaliwa!
WARNING!!!!!!!!!!!!!Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!