Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Huyu Juliana naona yuko mwezini......CCM mpaka sasa hawajampa hela ya pedi naona kaamua kuropoka haonekane apewe hela ya pedi...Mama imekula kwako na suburi miezi ijayo utakoma
ina maana mtu akikuambia fulani kaua. na wewe unamuambia mbona fulani naye aliwahi kuua. kwanza thibitisha au kanusha madai ya kwamba fulani kaua. kaua kweli? siyo kutoa mfano kuwa mbona flani nae aliua juzi. tutumie ubongo kuliko kufuata matakwa ya nafsi zetu
Kwa wakati ule elimu ya mzee kawawa ilitosha sio sasa wakati wa digitali ndugu yangu.Mzee Kawawa alikuwa na elimu gani wakati wa utawala wake? Au Shonza alikuwa bado hajazaliwa!
rais kikwete ana shahada ya uchumi kutoka chuo kikuu cha dsm
Kawawa amesoma makelele huwezi mpanga na dj
Hahaha! Binti anajazba baada ya kutimuliwa CDM kama mbwa mwizi.
Nashukuru Mungu mmesadiki kuwa Dr. Slaa ndiyo rais ajaye.
NB:
CONDOM moja ni kwa kila tendo moja tu, sasa baada ya tendo hili matumizi yenu yatakuwa yameisha na tutawamis sana wasaliti.
Makelele kwa mfuga mbwa?Wherever that is?
Mkuu wewe una elimu gani?Kwa wakati ule elimu ya mzee kawawa ilitosha sio sasa wakati wa digitali ndugu yangu.
Mbowe kinachomfanya awe kiongozi wa chadema ni hela za urithi tu. Sio self made na makamanda wanamuweka pale kwa sababu wana njaa
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
JK ana elimu ya udaktari? Udaktari gani huo? Wa falsafa (PhD)? Wa utabibu (MD) au wa tunguri? Ninajua alisoma bachelor ya uchumi pale UDSM akatoka na pass!Na Elimu ya Kikwete ya Udaktari ina faida gani kwa Tanzania?....au kuchomeka kwa makanisa ndiyo ufanisi?
Andry Nirina Rajoelina born 30 May 1974, is the President of the High Transitional Authority of Madagascar. He became president on 21 March 2009 during a political crisis, having held the office of Mayor of Antananarivo for one year prior. Before entering the political arena, Rajoelina launched several successful enterprises, most notably including a printing and advertising company called Injet in 1999 and the Viva radio and television networks in 2007. He began his career as an entrepreneur in his teenage years, first as a DJ at local clubs and parties, and later by organizing and promoting musical events in the capital.