Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,005
Uzuri ni kwamba mmeanza kumkiri wenyewe kwamba Dr. Slaa ndiye rais ajae. Mtasema yote lakini hayatawahepusha na kaburi mnalolichungulia. Ameshaona dalili maana kila chaguzi kwasasa mpaka za vijijini huko, CDM anazoa vyote bila huruma. Mtakoma kujidai mwaka huu. Kama anaamini ukubwa wa elimu ndio kigezo cha kuwa kiongozi, tunataka Juliana Shen.zi atamke hadharani kwamba uchaguzi wa 2015 atampigia kura Profesa Lipumba.