Je shoga atapata nafasi?
Mbona kuna utata?Nimekuwa nikisoma topic za watu hapa nikiwa kama guest kwa muda kidogo. Nafurahi nami leo kupata fursa ya kutoa ombi langu la kupata mchumba au mwenzi. Mimi ni mwanamke wa makamo(miaka 42). Naongea Kiswahili na Kiingereza. Nipo tayari kuanza uhusiano na mwanaume mwenye uhitaji wa mwenzi aliye makini na anayempenda Mungu. Jitokeze uniPM tuongee zaidi japo wafuatao wasijisumbue:
-wale wanaohitaji kuzaa watoto
-wale wanaohitaji ngono tu au nyumba ndogo.
-wale wenye papara na haraka
-wasiojiheshimu
-wasio na shughuli imara za kiuchumi.
-wenye elimu pungufu ya shahada ya chuo kikuu
-wenye mke/wake
Mambo mengine naamini yanaongeleka.
Sina mzaha,maswali yatajibiwa yote ilimradi yasiwe ya kejeli.
Mpenzi wako yuko wapi ?
Mimi nia 28yrs vp hapo?
Uandishi wako umenikuna,inaonyesha kichwa yako imetulia sana mama,japo najiuliza why utafute mchumba mtandaoni. Nionavyo mimi hapa wamejaa jokers,ni very rare kukutana na na real person kwenye platform kama hii. Nakutakia Kila Raheli.
niko 55 unaonaje juu ya hapo, urefu 174cm , at 42 unene wako ukoje
naona katika reply zako nyingi unasisitiza malengo kwani wewe una malengo gani? Njoo kwangu basi kwa kampani tu!nimekuwa nikisoma topic za watu hapa nikiwa kama guest kwa muda kidogo. Nafurahi nami leo kupata fursa ya kutoa ombi langu la kupata mchumba au mwenzi. Mimi ni mwanamke wa makamo(miaka 42). Naongea kiswahili na kiingereza. Nipo tayari kuanza uhusiano na mwanaume mwenye uhitaji wa mwenzi aliye makini na anayempenda mungu. Jitokeze unipm tuongee zaidi japo wafuatao wasijisumbue:
-wale wanaohitaji kuzaa watoto
-wale wanaohitaji ngono tu au nyumba ndogo.
-wale wenye papara na haraka
-wasiojiheshimu
-wasio na shughuli imara za kiuchumi.
-wenye elimu pungufu ya shahada ya chuo kikuu
-wenye mke/wake
mambo mengine naamini yanaongeleka.
Sina mzaha,maswali yatajibiwa yote ilimradi yasiwe ya kejeli.
Asprin HUNA NAFASI TENA HAPO...Nimekuwa nikisoma topic za watu hapa nikiwa kama guest kwa muda kidogo. Nafurahi nami leo kupata fursa ya kutoa ombi langu la kupata mchumba au mwenzi. Mimi ni mwanamke wa makamo(miaka 42). Naongea Kiswahili na Kiingereza. Nipo tayari kuanza uhusiano na mwanaume mwenye uhitaji wa mwenzi aliye makini na anayempenda Mungu. Jitokeze uniPM tuongee zaidi japo wafuatao wasijisumbue:
-wale wanaohitaji ngono tu au nyumba ndogo.
-wenye mke/wake
Sina mzaha,maswali yatajibiwa yote ilimradi yasiwe ya kejeli.
naona katika reply zako nyingi unasisitiza malengo kwani wewe una malengo gani? Njoo kwangu basi kwa kampani tu!
Pole lakini
Nahisi suala la elimu litawakosesha wanawake wengi wanaume am sorry