- Thread starter
- #61
Ujana wako ulikula na nani unatafuta wa kuzeeka naye..
Bila shaka kuna sababu. Na bila shaka ni sababu za msingi tu.
Ujana wako ulikula na nani unatafuta wa kuzeeka naye..
Bila shaka kuna sababu. Na bila shaka ni sababu za msingi tu.
Ulikuwa serious au unapima....
PM imegoma?
Ulikuwa serious au unapima upepo? No pm wala prime minister
Ulikuwa serious au unapima....
PM imegoma?
Haijagoma. Ipo hewani!
Niko serious. Ila tafadhali epuka kuleta matokeo ya PM hapa maana huko ni faraghani kama jina lenyewe linavyoelekeza. Kama una maswali zaidi yatume PM utajibiwa.
Mwanamke mwenye vigezo kama hv asijisumbue kutafuta mchumba maana atapata wa kumgegeda tu!
Ukweli unayokazi licha kusema utajibu maswali yote sidhani kwa kuwa waliojaa humu ni tineja na vermpires pole safari njema.
Nahisi wahusika wameshapata ujumbe. Wamebaki waleta vichekesho na watoa kejeli. Hivi mnaishi ulimwengu wa wapi? Life starts at 40!
where were you before 40s, i dout will you love and comfort me at this tenderly age?
Tupe feedback basi..unaendeleaje.?
Pole kwa kujaziwa kejeli kwenye thread yako!