Jukwaa zuri hili..!

Jukwaa zuri hili..!

Upo sahihi mkuu. Wenye familia i.e. Mke au partiner wa kudumu siwahitaji(ni moja ya vigezo).Sitakata tamaa na tutakayeendana naamini hatojuta kamwe
Kwa vigezo vyako, utawapata wagane, waliotalikiwa, wenye masherti kama yako, wenye watoto, wenye umri above 45 years....etc ect
 
^^
Da, kila nikija huku kutazama wa kunifaa naambulia peupe, nakosa vigezo.
Haya jamani, wenye neema zenu, kila la kheri
^^
 
sure 42 your near to MENOPAUSE and its true kuwa too old
bado three year tukimaliza uchaguzi mkuu itakuwa bado mwaka mmoja
 
Nahisi wahusika wameshapata ujumbe. Wamebaki waleta vichekesho na watoa kejeli. Hivi mnaishi ulimwengu wa wapi? Life starts at 40!
 
Ujana wako ulikula na nani unatafuta wa kuzeeka naye..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom