wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Sasa mbona unanichanganya tena boss? Umesema jua limetoka kusini linakuja ikweta leo 21/3 na septemba linarudi tena ikweta. Sasa kama halitembei huko kote linatokaje sasa?Jua halizunguki Dunia.
Ila leo litakuwa Ikweta kutokana na Dunia kujizungusha katika mhimili wake,