Jua kesho tarehe 21 Machi litaingia Ikweta, Masika kuanza

Joto la usiku wa kuamkia leo jumatatu lilikuwa taabu tupuu

Meamka kunywa majii mara 2 wapii, nkabaki kuzunguka ndani adi asubuhii

Kwa msimu huu wa joto mnashauriwa mle vyakula vizivyokuwa na chumviii kabsaaaa
 
Kwema!

Joto la leo likanifanya niikumbuke Jiographia ya Kidato cha Kwanza.

Leo na kesho Tarehe 20 na 21 March Jua litakuwa Ikweta baada ya kuingia katika kizio cha Kusini(southern hemisphere) Tropical of Capricorn tangu mwaka Jana September lilipokuwa pia Ikweta.

Hivyo ni kusema jua limetoke Kusini na hivi leo na kesho litakuwa Ikweta likiigawanya Dunia katika mapande mawili yaloyolingana. Kumaanisha Usiku
Maisha haya, acha tu! Enzi hizo unakariri haswa. Sasa hivi hii elimu hata sijawahi kuitumia kwenye taaluma yangu ya kazi🤔
 
Kwema!

Joto la leo likanifanya niikumbuke Jiographia ya Kidato cha Kwanza.

Leo na kesho Tarehe 20 na 21 March Jua litakuwa Ikweta baada ya kuingia katika kizio cha Kusini(southern hemisphere) Tropical of Capricorn tangu mwaka Jana September lilipokuwa pia Ikweta.

Hivyo ni kusema jua limetoke Kusini na hivi leo na kesho litakuwa Ikweta likiigawanya Dunia katika mapande mawili yaloyolingana. Kumaanisha Usiku na mchana kutakuwa Sawa na hii wanajiografia wanaiita EQUINOX Yaani usiku na mchana kulingana.
Kumaanisha kuanzia tarehe 22 masika umeanza, mvua katika baadhi ya Maeneo zitaanza kunyesha hasa kwenye wiki ya mwandamo wa mwezi katika siku kumi mpaka kumi na tano zijazo.
Huku sisi tunaona Masika yanaisha isha....wewe unatwambia yanaanza... kweli kusoma sana huuchosha mwili
 
Mkuu uko vzr Sana Jana mkoan Lindi mvua kubwa Sana Imenyesha Asante Sana btw umenigusa kwenye field yangu..now tunakwenda kupima high flow mmbemkuru,lukuledi na RUVUMA so mkuu wa kitengo aandae dokezo watu twende site
 
Basi hizo terminology O level zinasumbua mno, asante leo nimezielewa kwa dakika chache tu


Karibu Sana Mkuu

Bado kuna kiistilahi kinaitwa solstice(tanka Solistesi)
Ambalo usiku unakuwa mrefu kuliko mchana nyakati za baridi(winter) na pia mchana unakuwa mrefu kuliko usiku nyakati za kiangazi(summer).

Hutokea mwezi Juni 20,21
Pia mwezi December 20,21
 
Mkuu uko vzr Sana Jana mkoan Lindi mvua kubwa Sana Imenyesha Asante Sana btw umenigusa kwenye field yangu..now tunakwenda kupima high flow mmbemkuru,lukuledi na RUVUMA so mkuu wa kitengo aandae dokezo watu twende site


Nashukuru Sana Mkuu. Hiyo ni Jiografia tuu.

Mvua za Vulia ambazo hutarajiwaga kuanza mwezi 10 katikati mpaka wa Kwanza huwaga chache mno ukilinganisha na mvua za masika.

Watu wanachangamka hasa Vijana wa siku hizi, Wazee WA zamani wanajua hili ndio maana walipanda mazao yasiyohitaji mvua nyingi nyakati za vuli
 
Maisha haya, acha tu! Enzi hizo unakariri haswa. Sasa hivi hii elimu hata sijawahi kuitumia kwenye taaluma yangu ya kazi🤔


Sasa hivi ndio nimeelezea kifupi uitumie kwenye mizunguko yako.
Jiografia ni maisha halisi.
Ukitazama anga, Hali ya hewa na tabia ya nchi, miundo mbinu, mavazi uvaayo, Nyumba zilivyojengwa yote ni application ya jiografia Mkuu
 
Back
Top Bottom