JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Ukweli unaonekana.kuna watu wa hovyo sana.Ina maana hauoni hali iliyopo? Watanzania wengi ni wajinga sana
 
"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.

JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?

JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.

SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?

JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini

SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.

JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.

SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.

JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.

SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.

JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.

JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.

SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.

Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.

Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.

#Mtanikumbuka.

Alamsikhi.
Kwani Mbunge wa hapa yuko wapi??
 
Rais aliyekuwa hajui kazi yake
Eti kutembea nchi nzima na msafara wa magari 290 na helkopta akisikiliza kesi za wamama kunyang'anywa mali na mashemeji zao ..
Alieuwa Elimu Tanzania ndie alietufanya tuwe vikaragosi tusiojielewa.
Hivi unaposema waliwezeshwa wajasili mali,kwa kiwango kipi na kwa yapi?
 
Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Siasa mchezo mchafu sana.
 
Nchi zenye demokrasia, nyingi ndio zenye huduma Bora. Na mifano ya dhahiri ipo. Labda kama hujui unaongea nini.
Hizo chache zenye udikteta na huduma bora zililikuwepo ni pamoja na Tanzania chini ya JPM.
 
Cheti fake wewe,hata mawazo yako yanaendelea kuwa fake!

Mchango wako uko clear na machungu unayopitia!

Hizi ndio zilikuwa point za kipindi cha magufuli.

Ukiwa “against “ unaitwa cheti fake/mpiga dili/muuza unga. Hata kama unalengo zuri.
J
 
Kwa hiyo Makamba na hao praise RC's ndio huwa wasemaji wa SSH majukwaani ?

Kero alizotatua JPM mojawapo ni hii iliyokusababisha wewe uko kijiweni
Mama yako mwalimu fake yuko kijiweni.
Mkeo mikopo umiza huenda yuko jela hadi saa hii.
Endelea kukonda na kihoro.

Ila mama yenu kufeli ni jambo liko mabegani mwake na linazidi lumuelemea kadri siku zinavyosonga.

Ni bahati hatuoni nywele zake,lakini huenda zimechoka sana kwa mawazo.

Brother “ume-panic”
Kunywa maji.
 
"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.

JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?

JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.

SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?

JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini

SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.

JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.

SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.

JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.

SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.

JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.

JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.

SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.

Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.

Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.

#Mtanikumbuka.

Alamsikhi.
JIWE alikuwa anawadanganya wananchi Eti hakuna Corona
Tembo wamezaliana mara 3 zaidi
ATCL imepata faida
 
"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.

JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?

JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.

SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?

JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini

SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.

JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.

SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.

JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.

SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.

JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.

JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.

SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.

Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.

Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.

#Mtanikumbuka.

Alamsikhi.

najua kuna mazwazwa watakuja kukutukana na kukupinga hao machawa achana nao uliyoyasema ni ukweli mtupu sasa hivi tunaumia sana sana
 
Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Uone nini na wakati ni kipofu?
 
naona jamaa ana hoja hebu tumjibuni hoja zake na tuachane na kauli kama kazikwe nae na mambo ya kuamua ugomvi
 
umesahau case ya kijana wa MAKAMBAKO? ndiyo aliinua bango mbele ya magufuli magufuli akaamuru police wamshughulikie tu kwasababu ametoa maoni yasiyompendeza amgufuli? unajua kijana yule alifanywa nini na yupo wapi?
unakumbuka issue ya mabango kule tabora? magufuli aliwajibu nini wale kian mama?
Kwa taarifa yako tu
raisi haulizwi maswali wala kero za papo kwa papo na akazitatua... punguani wewe ukiona hivyo yalishapangwa
SAMIA NDIYO RAISI WA JMT KAMA UNAKERWA HAMA NCHI AU KALIFUFUE
Nonsense
 
Back
Top Bottom