JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

Cheti fake wewe,hata mawazo yako yanaendelea kuwa fake!

Mchango wako uko clear na machungu unayopitia!
USIPIGE HOJA VIRUNGU MJINGA WEWE CHETI FAKE UNAMJUAJE? WEWE UNA VYETI ULISOMA WAPI, UKAISHIA LA NGAPI NA KUFAULU VIPI? USITUKANE WATU
 
Hajitambui huyo jamaa Tindo
Ni ile ile aina ya watumbuliwa waliobaki na vijiba vyao moyoni mpaka siku wanaingia kaburini.
JIBU HOJA USILETE VIROJA.... UKITUMBULIWA HUNA HAKI YA KUTOA MAONI? JIBU HOJA USIZIBE MIDOMO KWA VYETI FEKI.... ISIJE IKAWA WEWE NDO UNAVYO WENZAKO TULIPITIA SHULE KWELI
 
Kwa hiyo Makamba na hao praise RC's ndio huwa wasemaji wa SSH majukwaani ?

Kero alizotatua JPM mojawapo ni hii iliyokusababisha wewe uko kijiweni
Mama yako mwalimu fake yuko kijiweni.
Mkeo mikopo umiza huenda yuko jela hadi saa hii.
Endelea kukonda na kihoro.

Ila mama yenu kufeli ni jambo liko mabegani mwake na linazidi lumuelemea kadri siku zinavyosonga.

Ni bahati hatuoni nywele zake,lakini huenda zimechoka sana kwa mawazo.
Mtu aliyechoka anaweza pata wapi pesa ya kushidna mtandaoni kwa masaa 8 Kwa siku?

Onyesha kero alizotatua yule muigizaji..

Rais akijadili vyoo DED,RC, Waziri wataongea nini? Msemaji wa Ikulu na Serikali wapo na Mawaziri wapo wanafanya Kazi zao

Zama za maigizo zimekwisha.Kero.zinatatuliwa kama hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221029-155436.png
    Screenshot_20221029-155436.png
    152.8 KB · Views: 4
umesahau case ya kijana wa MAKAMBAKO? ndiyo aliinua bango mbele ya magufuli magufuli akaamuru police wamshughulikie tu kwasababu ametoa maoni yasiyompendeza amgufuli? unajua kijana yule alifanywa nini na yupo wapi?
unakumbuka issue ya mabango kule tabora? magufuli aliwajibu nini wale kian mama?
Kwa taarifa yako tu
raisi haulizwi maswali wala kero za papo kwa papo na akazitatua... punguani wewe ukiona hivyo yalishapangwa
SAMIA NDIYO RAISI WA JMT KAMA UNAKERWA HAMA NCHI AU KALIFUFUE
Punguani ni wewe unayetumia lugha zisizo staha wala umuhimu kwenye platform kama hizi.

Pia nikukumbushe kuwa kina mwana CCM amefungwa 7 years in prison hivi majuzi huko Bariadi,pamoja na faini ya 15milioni,kwa kumkomoa SSH.

Kuna Mkuu wa mkoa aliwahi kutumbuliwa Mwanza kisa kuruhusu wananchi kwenda na mabango kwenye ziara ya SSH.

Kuna waziri wa ya nje alitumbuliwa hivi karibuni kwa kosa la kualikwa hafla ya chakula na Joe biden- USA huko.
Akaambiwa live kuwa amevuka mipaka!

Kuna vijana lukuki wametolewa majumbani live na Polisi hivi majuzi na kwenda kuuliwa.

Kuna vijana kwa makumi wametoweka hususan jijini Dsm na serikali hii ya SSH iko kimya mpaka sasa.

Kwa hiyo uwe unatunza kumbukumbu na sio kumbikumbi.
 
"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.

JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?

JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.

SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?

JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini

SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.

JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.

SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.

JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.

SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.

JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.

JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.

SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.

Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.

Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.

#Mtanikumbuka.

Alamsikhi.
hovyooooo
 
Hakuna Chawa aliyewahi kufanikiwa kwa kumuabudu Marehemu .

Wewe utakuwa wa kwanza .
Huo uchawa unaufanya wewe ambae huna kazi zaidi ya hiyo unayoifanya.

Ila tu unashindwa kujitambua sababu unawaza ndani ya box la wafipa.
 
Punguani ni wewe unayetumia lugha zisizo staha wala umuhimu kwenye platform kama hizi.

Pia nikukumbushe kuwa kina mwana CCM amefungwa 7 years in prison hivi majuzi huko Bariadi,pamoja na faini ya 15milioni,kwa kumkomoa SSH.

Kuna Mkuu wa mkoa aliwahi kutumbuliwa Mwanza kisa kuruhusu wananchi kwenda na mabango kwenye ziara ya SSH.

Kuna waziri wa ya nje alitumbuliwa hivi karibuni kwa kosa la kualikwa hafla ya chakula na Joe biden- USA huko.
Akaambiwa live kuwa amevuka mipaka!

Kuna vijana lukuki wametolewa majumbani live na Polisi hivi majuzi na kwenda kuuliwa.

Kuna vijana kwa makumi wametoweka hususan jijini Dsm na serikali hii ya SSH iko kimya mpaka sasa.

Kwa hiyo uwe unatunza kumbukumbu na sio kumbikumbi.
nakuonea huruma sana kwakuwa unasumbuliwa na ugonjwa wa ujinga wa kihalaiki? umesahau juzi ulimtukana mtu matusi ya nguoni hapa kisa aliongea usiyoyapenda?
kwahiyo kama kuna mtu amefungwa huko simiyu na faini ya ml 15 ndo ina maanisha ninin?
hovyo wewe kama kuna vijana walitolewa majumbani kwenda kuuwawa ndo inamanisha nini kwako hovyo kabisa?
kanma kuna mkuu wa mkoa alitolewa kisa mabango unaleta ujumbe gani kwetu hovyo kabisa
hakuna hoja yoyote zaidi ya ujinga tu kwamba kwasababu fulani aliua hata fulani akiua ni sawa tu?
noa bongo yako acha ujuha
 
Endelea kusota benchi,ila pole kwa yaliyokusibu.
HISTORIA huwa haifutiki.
bora usote benchi ila uwe na akili zako kuliko uwe BOT kwa kimemo kisha uwe na akili ndogo kama za kwako?
kusoma kwenyewe hujasoma ukaelewa unaishia kuwaita watu wenye vyeti feki kisa wanahoji ujuha wa juha mwenio shabaash
 
nakuonea huruma sana kwakuwa unasumbuliwa na ugonjwa wa ujinga wa kihalaiki? umesahau juzi ulimtukana mtu matusi ya nguoni hapa kisa aliongea usiyoyapenda?
kwahiyo kama kuna mtu amefungwa huko simiyu na faini ya ml 15 ndo ina maanisha ninin?
hovyo wewe kama kuna vijana walitolewa majumbani kwenda kuuwawa ndo inamanisha nini kwako hovyo kabisa?
kanma kuna mkuu wa mkoa alitolewa kisa mabango unaleta ujumbe gani kwetu hovyo kabisa
hakuna hoja yoyote zaidi ya ujinga tu kwamba kwasababu fulani aliua hata fulani akiua ni sawa tu?
noa bongo yako acha ujuha
Ni dhahiri kwamba huelewi kile unachokiandika,dakika tano unakuwa umekisahau!

Nimekuandikia hayo machache wewe taahira,ili uelewe kwamba mambo yale uliyoandika kumkosoa JPM.
Bado pia hata sasa yanatokea na yapo.

Tunza kumbukumbu tu!
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
bora usote benchi ila uwe na akili zako kuliko uwe BOT kwa kimemo kisha uwe na akili ndogo kama za kwako?
kusoma kwenyewe hujasoma ukaelewa unaishia kuwaita watu wenye vyeti feki kisa wanahoji ujuha wa juha mwenio shabaash
Ninarudia kukuonya,usije ukamuiga mama yenu na wewe kukopa.

Maana wewe utaishiwa zaidi na mwisho ukajinyonga.
Acha msongo wa mawazo na moyo wa visasi,unapunguza umri wa kuishi na kuhatarusha maisha yako pia.
 
Mfumo ule ndio sahihi kwa hapa Tanzania.
Sasa nini mantiki ya kujaza overheads kubwa kiasi hicho kwenye uongozi wa nchi?: Mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu wakuu, manaibu makatibu wakuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, maRAS, maDAS, wakurugenzi wa halmashauri, n.k. tena wenye mishahara na marupurupu kibao.

Halafu wabunge, madiwani, wenyeviti wa halmashauri na vijiji, n.k.

Hii ni ufisadi mwingine wa CCM.
 
Sasa nini mantiki ya kujaza overheads kubwa kiasi hicho kwenye uongozi wa nchi?: Mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu wakuu, manaibu makatibu wakuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, maRAS, maDAS, wakurugenzi wa halmashauri, n.k. tena wenye mishahara na marupurupu kibao.

Halafu wabunge, madiwani, wenyeviti wa halmashauri na vijiji, n.k.

Hii ni ufisadi mwingine wa CCM.
Nchi mbali mbali zina mifumo yake ya kiuongozi, unaweza ona sisi tuna matatizo kumbe tukawa afadhali zaidi.
 
Unasema JPM aliongea na watu live kutatua kero ila unasahau kejeli alizowapa wanakagera kuwa hakuchaguliwa kuleta tetemeko na kila mmoja abebe msalaba wake na hata pesa ya rambirambi haikujulikana ilikwenda wapi?
 
Alichokifanya JPM ni haramu na matumizi mabaya ya fedha za umma.
Alitumia kiasi kikubwa cha fedha kujipigia campaign ya ufalme wa milele.
Ashukuriwe , mawazo ya kipumbavu ya Magufuli aliyafuta haraka.
 
Ukisikiliza hotuba yake ya mwisho huyo JPM utahitimisha kuwa alikufa kifo cha mpumbavu.
Kama ndege anavyonaswa kwenye mtego
 
... Muda Si Mrefu huenda ukayatumia,ila kwa namna inhine tofauti....
Yes.

Ni sawa na jamaa zangu flani humu walikuwa wanashangilia sana sana kwa ile 'anaupiga mwingi' nowadays wanaanzisha mada na kuongelea issues tofauti na hata hawataki kusikia hiyo, anaupiga mwingi!.
 
Unasema JPM aliongea na watu live kutatua kero ila unasahau kejeli alizowapa wanakagera kuwa hakuchaguliwa kuleta tetemeko na kila mmoja abebe msalaba wake na hata pesa ya rambirambi haikujulikana ilikwenda wapi?
Pesa ya s rambirambi ndiyo iliyokarabati shule kongwe ya Rugambwa.
Na hata CAG wenu,kwenye hilo alishindwa pa kuichomekea hila chafu.

Kagera bila kuwapacukweli mchungu,wana asili ya kujibeba na kusahau majukumu yao rasmi na kuendekeza Majungu.

Ndio maana SSH amemrudisha Chalamila maalumu kwa kufanya kazi na wahaya wale.
 
Pesa ya s rambirambi ndiyo iliyokarabati shule kongwe ya Rugambwa.
Na hata CAG wenu,kwenye hilo alishindwa pa kuichomekea hila chafu.

Kagera bila kuwapacukweli mchungu,wana asili ya kujibeba na kusahau majukumu yao rasmi na kuendekeza Majungu.

Ndio maana SSH amemrudisha Chalamila maalumu kwa kufanya kazi na wahaya wale.
Hiyo sio kweli!

Kwa figures za pesa iliyotolewa unataka kusema zilikwenda kukarabati shule?

Vipi wale ambao nyumba zao zilibomoka na wakaambiwa " mwafaa".
 
Back
Top Bottom