Rais Samia tembelea Ujenzi wa Nyerere Hydroelectric Dam

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,884
Mh Rais wa JMT.

Jana wakati ukizindua na kukabidhi nyumba kwa wakazi wa Magomeni Quarters.

Ulikaririwa ukisema kwamba,watu huko mitaani wanaongea kwamba miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na JPM huenda haitakamilishwa.

Lakini ukautumia mradi ule wa Magomeni Quarters kama uthibitisho wa kauli yako, kwamba miradi yote itatekelezwa na kukamilika kwa sababu ni mojawapo ya ilani ya CCM na serikali yake.

Kisha ukasema "unawasamehe kwa sababu hawajitambuwi"

Sasa swali la wananchi wengi liko kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa ujenzi wa bwawa la umeme wa kutumia nguvu za maji huko mto Rufiji. Nyerere hydroelectric Dam.

Huu mradi ulikuwa umeanza kwa kasi kubwa chini ya serikali ya awamu ya Tano, ambapo wewe ulikuwa makamu wa Rais.

Haukuwa ukipita muda bila kuona kiongozi mwandamizi wa serikali akitembelea site ile ili kujiridhisha kwamba mambo yanakwenda kama yalivyopangwa. Pamoja na kuhimiza bidii ya kazi iendelee.

Ilifikia mahali tena ndani ya bunge, ambapo serikali kupitia waziri uliyemuondoa alitamka bungeni kwamba ujenzi ule ungekamilika kwa tarehe ambayo aliitaja na ilikwishapita.

Lakini tangu ulipoingia madarakani na kufanya mabadiliko ya serikali yako, ambapo umetuwekea waziri Makamba. Umeanza utaratibu wa porojo na ahadi ambazo hazieleweki.

Mara tumemsikia akisema kuhusu kukosekana winchi ya kunyanyulia milango ya maji ya bwawa husika. Akiahidi winchi hiyo kuletwa toka nje.

Baadae wabunge walimbana bungeni ili atowe majibu ya kueleweka lakini akaishia kuwajibu taarabu "kwamba kama shida ni uwaziri wake na urais wako Watasubiri sana"

Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.

Waziri husika anaendelea na Porojo zake tena kwa kejeli za hapa na pale.

Yeye kwa sasa amegeuka kuwa kama Marketing Minister wa wizara ya Nishati.

Kila uchao yeye ni kusaini mikataba mipya ya mabilioni ya walipa kodi za watanzania. Mikataba ambayo kwa ujumla wake ina utata mtupu, mara Software nk.

Hivi majuzi alikuwa Houston kule Marekani akitafuta soko la gesi yetu ya LPG. (Na huko pia ndio nyumbani kwa Richmond PLY).

Mheshimiwa katika hotuba zako pia hatukusikii ukiongelea lolote kuhusu hizi kero za Umeme.

Sasa basi...tunakuomba utembelee huo mradi ili uweze kusimamia kile ulichokiongea kwa watanzania hiyo jana pale Magomeni.
Rufiji ni karibu sana na Dar es salaam na ni suala la Day trip tu.

Badala ya kumuachia Makamba akitufunga kamba zake kila uchao.

Jambo hilo litawapa ahueni wananchi na kuwaondolea taharuki waliyonayo kuhusu kusuasua kwa mradi huo muhimu kwa uchumi wa Taifa letu.

Kero ya umeme ni kubwa kwa wananchi na inagusa sehemu kubwa ya uchumi wa wapiga kura wako.

Picha za hivi karibuni zilionyesha kama hakuna kikubwa kinachoendelea

Screenshot_20220319-165547_YouTube.jpg
Screenshot_20220319-165426_YouTube.jpg
Screenshot_20220319-165416_YouTube.jpg
Screenshot_20220319-165359_YouTube.jpg
Screenshot_20220319-165445_YouTube.jpg
 
Kila mradi mpaka aende? ina maana kazi ya Waziri, Katibu Mkuu na wataalamu wake ni nini?
Kama anapata muda kwenda kufungua maji Chalinze atakosaje muda kwenda kwenye mradi mkubwa tena wa kimkakati kama Ujenzi wa bwawa la umeme lenye kuleta faida kubwa ya Kiuchumi kitaifa.

Hao woote uliowataja ndio hao waleta porojo kama wewe.
Be serious!

commonmwananchi
10101
 
Unakaa wapi huko ambako kuna kero kubwa ya umeme? Mana tangu wamemaliza matengenezo umeme unawaka tu bila shida

Mradi huo unagharimu fedha nyingi usitegemee uishe harakaharaka kama upepo

Mama ameshasema miradi yote itakamilika.. sasa unataka miradi yote iishe ndani ya mwaka mmoja? Haiwezekani.. nchi hii ina majukumu mengi ya kufanya

Kuhusu kutembelea site mara kwa mara hilo ni jukumu la waziri siyo Rais
 
Kama anapata muda kwenda kufungua maji Chalinze atakosaje muda kwenda kwenye mradi mkubwa tena wa kimkakati kama Ujenzi wa bwawa la umeme lenye kuleta faida kubwa ya Kiuchumi kitaifa.

Hao woote uliowataja ndio hao waleta porojo kama wewe.
Be serious!

commonmwananchi
10101
Kwahiyo ataenda kusimamia kule au atapita dak 20 na kupewa blabla kisha chai na vinjwaji moto?
 
Mh Rais wa JMT.

Jana wakati ukizindua na kukabidhi nyumba kwa wakazi wa Magomeni Quarters.

Ulikaririwa ukisema kwamba,watu huko mitaani wanaongea kwamba miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na JPM huenda haitakamilishwa.

Lakini ukautumia mradi ule wa Magomeni Quarters kama uthibitisho wa kauli yako, kwamba miradi yote itatekelezwa na kukamilika kwa sababu ni mojawapo ya ilani ya CCM na serikali yake.

Kisha ukasema "unawasamehe kwa sababu hawajitambuwi"

Sasa swali la wananchi wengi liko kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa ujenzi wa bwawa la umeme wa kutumia nguvu za maji huko mto Rufiji. Nyerere hydroelectric Dam.

Huu mradi ulikuwa umeanza kwa kasi kubwa chini ya serikali ya awamu ya Tano, ambapo wewe ulikuwa makamu wa Rais.

Haukuwa ukipita muda bila kuona kiongozi mwandamizi wa serikali akitembelea site ile ili kujiridhisha kwamba mambo yanakwenda kama yalivyopangwa. Pamoja na kuhimiza bidii ya kazi iendelee.

Ilifikia mahali tena ndani ya bunge, ambapo serikali kupitia waziri uliyemuondoa alitamka bungeni kwamba ujenzi ule ungekamilika kwa tarehe ambayo aliitaja na ilikwishapita.

Lakini tangu ulipoingia madarakani na kufanya mabadiliko ya serikali yako, ambapo umetuwekea waziri Makamba. Umeanza utaratibu wa porojo na ahadi ambazo hazieleweki.

Mara tumemsikia akisema kuhusu kukosekana winchi ya kunyanyulia milango ya maji ya bwawa husika. Akiahidi winchi hiyo kuletwa toka nje.

Baadae wabunge walimbana bungeni ili atowe majibu ya kueleweka lakini akaishia kuwajibu taarabu "kwamba kama shida ni uwaziri wake na urais wako Watasubiri sana"

Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.

Waziri husika anaendelea na Porojo zake tena kwa kejeli za hapa na pale.

Yeye kwa sasa amegeuka kuwa kama Marketing Minister wa wizara ya Nishati.

Kila uchao yeye ni kusaini mikataba mipya ya mabilioni ya walipa kodi za watanzania. Mikataba ambayo kwa ujumla wake ina utata mtupu, mara Software nk.

Hivi majuzi alikuwa Houston kule Marekani akitafuta soko la gesi yetu ya LPG. (Na huko pia ndio nyumbani kwa Richmond PLY).

Mheshimiwa katika hotuba zako pia hatukusikii ukiongelea lolote kuhusu hizi kero za Umeme.

Sasa basi...tunakuomba utembelee huo mradi ili uweze kusimamia kile ulichokiongea kwa watanzania hiyo jana pale Magomeni.
Rufiji ni karibu sana na Dar es salaam na ni suala la Day trip tu.

Badala ya kumuachia Makamba akitufunga kamba zake kila uchao.

Jambo hilo litawapa ahueni wananchi na kuwaondolea taharuki waliyonayo kuhusu kusuasua kwa mradi huo muhimu kwa uchumi wa Taifa letu.

Kero ya umeme ni kubwa kwa wananchi na inagusa sehemu kubwa ya uchumi wa wapiga kura wako.

Picha za hivi karibuni zilionyesha kama hakuna kikubwa kinachoendelea

View attachment 2162472View attachment 2162473View attachment 2162474View attachment 2162475View attachment 2162476
Tofautisha kati ya Rais na mnyapara, ukijua tabia za Rais ni zipi na tabia za nyapara ni zipi huwezi kupata shida.

Rais anapewa daily briefing ya nchi mzima kila siku asubuhi, labda hulijui hili.

Rais kuzurura hovyo mabarabarani ni usumbufu mkubwa kwa raia na ni sababu ya kuuwa uchumi wa mtu mmoja mmoja.

Tatizo wengine mlizoea kuongozwa na washamba, sasa akiwa mtu mstaarabu madarakani vijambio vinaanza kuwapwita.
 
Nilileta Uzi humu kuhusu rais kufanya siara za kushtukiza kwenda kutembelea hat bwawa let

Niliishia kukozolewa vikali san
 
Mh Rais wa JMT.

Jana wakati ukizindua na kukabidhi nyumba kwa wakazi wa Magomeni Quarters.

Ulikaririwa ukisema kwamba,watu huko mitaani wanaongea kwamba miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na JPM huenda haitakamilishwa.

Lakini ukautumia mradi ule wa Magomeni Quarters kama uthibitisho wa kauli yako, kwamba miradi yote itatekelezwa na kukamilika kwa sababu ni mojawapo ya ilani ya CCM na serikali yake.

Kisha ukasema "unawasamehe kwa sababu hawajitambuwi"

Sasa swali la wananchi wengi liko kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa ujenzi wa bwawa la umeme wa kutumia nguvu za maji huko mto Rufiji. Nyerere hydroelectric Dam.

Huu mradi ulikuwa umeanza kwa kasi kubwa chini ya serikali ya awamu ya Tano, ambapo wewe ulikuwa makamu wa Rais.

Haukuwa ukipita muda bila kuona kiongozi mwandamizi wa serikali akitembelea site ile ili kujiridhisha kwamba mambo yanakwenda kama yalivyopangwa. Pamoja na kuhimiza bidii ya kazi iendelee.

Ilifikia mahali tena ndani ya bunge, ambapo serikali kupitia waziri uliyemuondoa alitamka bungeni kwamba ujenzi ule ungekamilika kwa tarehe ambayo aliitaja na ilikwishapita.

Lakini tangu ulipoingia madarakani na kufanya mabadiliko ya serikali yako, ambapo umetuwekea waziri Makamba. Umeanza utaratibu wa porojo na ahadi ambazo hazieleweki.

Mara tumemsikia akisema kuhusu kukosekana winchi ya kunyanyulia milango ya maji ya bwawa husika. Akiahidi winchi hiyo kuletwa toka nje.

Baadae wabunge walimbana bungeni ili atowe majibu ya kueleweka lakini akaishia kuwajibu taarabu "kwamba kama shida ni uwaziri wake na urais wako Watasubiri sana"

Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.

Waziri husika anaendelea na Porojo zake tena kwa kejeli za hapa na pale.

Yeye kwa sasa amegeuka kuwa kama Marketing Minister wa wizara ya Nishati.

Kila uchao yeye ni kusaini mikataba mipya ya mabilioni ya walipa kodi za watanzania. Mikataba ambayo kwa ujumla wake ina utata mtupu, mara Software nk.

Hivi majuzi alikuwa Houston kule Marekani akitafuta soko la gesi yetu ya LPG. (Na huko pia ndio nyumbani kwa Richmond PLY).

Mheshimiwa katika hotuba zako pia hatukusikii ukiongelea lolote kuhusu hizi kero za Umeme.

Sasa basi...tunakuomba utembelee huo mradi ili uweze kusimamia kile ulichokiongea kwa watanzania hiyo jana pale Magomeni.
Rufiji ni karibu sana na Dar es salaam na ni suala la Day trip tu.

Badala ya kumuachia Makamba akitufunga kamba zake kila uchao.

Jambo hilo litawapa ahueni wananchi na kuwaondolea taharuki waliyonayo kuhusu kusuasua kwa mradi huo muhimu kwa uchumi wa Taifa letu.

Kero ya umeme ni kubwa kwa wananchi na inagusa sehemu kubwa ya uchumi wa wapiga kura wako.

Picha za hivi karibuni zilionyesha kama hakuna kikubwa kinachoendelea

View attachment 2162472View attachment 2162473View attachment 2162474View attachment 2162475View attachment 2162476
Well said. Bravo!!
 
Kama anapata muda kwenda kufungua maji Chalinze atakosaje muda kwenda kwenye mradi mkubwa tena wa kimkakati kama Ujenzi wa bwawa la umeme lenye kuleta faida kubwa ya Kiuchumi kitaifa.

Hao woote uliowataja ndio hao waleta porojo kama wewe.
Be serious!

commonmwananchi
10101
Yeye (Raisi) akienda atafanya nini? Ana utaalamu wowote kuhusu uhandisi wa hilo bwawa? Au unataka afuate nyayo za shujaa kwamba akifika akiona hakuna kinachoendelea atumbue wasimamizi.?
 
Mh Rais wa JMT.

Jana wakati ukizindua na kukabidhi nyumba kwa wakazi wa Magomeni Quarters.

Ulikaririwa ukisema kwamba,watu huko mitaani wanaongea kwamba miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na JPM huenda haitakamilishwa.

Lakini ukautumia mradi ule wa Magomeni Quarters kama uthibitisho wa kauli yako, kwamba miradi yote itatekelezwa na kukamilika kwa sababu ni mojawapo ya ilani ya CCM na serikali yake.

Kisha ukasema "unawasamehe kwa sababu hawajitambuwi"

Sasa swali la wananchi wengi liko kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa ujenzi wa bwawa la umeme wa kutumia nguvu za maji huko mto Rufiji. Nyerere hydroelectric Dam.

Huu mradi ulikuwa umeanza kwa kasi kubwa chini ya serikali ya awamu ya Tano, ambapo wewe ulikuwa makamu wa Rais.

Haukuwa ukipita muda bila kuona kiongozi mwandamizi wa serikali akitembelea site ile ili kujiridhisha kwamba mambo yanakwenda kama yalivyopangwa. Pamoja na kuhimiza bidii ya kazi iendelee.

Ilifikia mahali tena ndani ya bunge, ambapo serikali kupitia waziri uliyemuondoa alitamka bungeni kwamba ujenzi ule ungekamilika kwa tarehe ambayo aliitaja na ilikwishapita.

Lakini tangu ulipoingia madarakani na kufanya mabadiliko ya serikali yako, ambapo umetuwekea waziri Makamba. Umeanza utaratibu wa porojo na ahadi ambazo hazieleweki.

Mara tumemsikia akisema kuhusu kukosekana winchi ya kunyanyulia milango ya maji ya bwawa husika. Akiahidi winchi hiyo kuletwa toka nje.

Baadae wabunge walimbana bungeni ili atowe majibu ya kueleweka lakini akaishia kuwajibu taarabu "kwamba kama shida ni uwaziri wake na urais wako Watasubiri sana"

Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.

Waziri husika anaendelea na Porojo zake tena kwa kejeli za hapa na pale.

Yeye kwa sasa amegeuka kuwa kama Marketing Minister wa wizara ya Nishati.

Kila uchao yeye ni kusaini mikataba mipya ya mabilioni ya walipa kodi za watanzania. Mikataba ambayo kwa ujumla wake ina utata mtupu, mara Software nk.

Hivi majuzi alikuwa Houston kule Marekani akitafuta soko la gesi yetu ya LPG. (Na huko pia ndio nyumbani kwa Richmond PLY).

Mheshimiwa katika hotuba zako pia hatukusikii ukiongelea lolote kuhusu hizi kero za Umeme.

Sasa basi...tunakuomba utembelee huo mradi ili uweze kusimamia kile ulichokiongea kwa watanzania hiyo jana pale Magomeni.
Rufiji ni karibu sana na Dar es salaam na ni suala la Day trip tu.

Badala ya kumuachia Makamba akitufunga kamba zake kila uchao.

Jambo hilo litawapa ahueni wananchi na kuwaondolea taharuki waliyonayo kuhusu kusuasua kwa mradi huo muhimu kwa uchumi wa Taifa letu.

Kero ya umeme ni kubwa kwa wananchi na inagusa sehemu kubwa ya uchumi wa wapiga kura wako.

Picha za hivi karibuni zilionyesha kama hakuna kikubwa kinachoendelea

View attachment 2162472View attachment 2162473View attachment 2162474View attachment 2162475View attachment 2162476

Kwanza huu mradi wa magomeni quater ulikuwa umekamilika kwa 98 kazi iliyokuwa imebaki ni kama kumakizai usafi tu sasa rahis kujigamba kuwa amemalizia huo ni uongo mwingine .. mfano daraja la wami lilikuwa linaenda kww kasi ya ajabu , lakini sasa ni amna kitu bara bara ya njia nane nayo ilikuw imekamilika kwa zaidi ya 92 lakini kwa sasa ni kama vile mradi unaanza upya
 
Kila mradi mpaka aende? ina maana kazi ya Waziri, Katibu Mkuu na wataalamu wake ni nini?
Siyo kila mradi. Bwawa hilo ni mradi mkubwa unaostahili hadhi hiyo. Kuisha kwa mradi huo kutanufaisha miradi mingine mingi. Kwa mfano kuna mradi wa SGR ambao ukiisha utategemea kwa asilimia kubwa sana huu mradi wa bwawa. Vivyo hivyo kuna vilio vingi kuhusu kukatikakatika kwa umeme ambako kunakwamisha miradi mingine mingi. Siyo sahihi kukosoa mtu anayetaka Rais aende huko kwa kusema 'kila mradi'. Mradi huu ni maalumu unaostahili hadhi hiyo, na siyo kulinganishwa na kufungua mradi wa maji Chalinze.
Aidha, awali mradi huo ulitajwa kukamilika (au kuanza kujaza maji) mwezi huu wa Machi. Sasa kama Waziri anasema hilo lengo halitafikiwa kutokana na maelezo yasiyoeleweka ya kukosekana winchi la kunyanyulia mlango, ipo haja ya Rais kwenda kujionea kulikoni.
 
Unakaa wapi huko ambako kuna kero kubwa ya umeme? Mana tangu wamemaliza matengenezo umeme unawaka tu bila shida

Mradi huo unagharimu fedha nyingi usitegemee uishe harakaharaka kama upepo

Mama ameshasema miradi yote itakamilika.. sasa unataka miradi yote iishe ndani ya mwaka mmoja? Haiwezekani.. nchi hii ina majukumu mengi ya kufanya

Kuhusu kutembelea site mara kwa mara hilo ni jukumu la waziri siyo Rais
Nipo Nyantakubwa huku, umeme unakatika kwa siku hata mara tano... Wewe unaishi wapi huko ambako umeme hausumbui?
 
Yeye (Raisi) akienda atafanya nini? Ana utaalamu wowote kuhusu uhandisi wa hilo bwawa? Au unataka afuate nyayo za shujaa kwamba akifika akiona hakuna kinachoendelea atumbue wasimamizi.?
Kama anafanya hivyo itakuwa bora kuliko kulalamika kila kukicha!
 
Unakaa wapi huko ambako kuna kero kubwa ya umeme? Mana tangu wamemaliza matengenezo umeme unawaka tu bila shida

Mradi huo unagharimu fedha nyingi usitegemee uishe harakaharaka kama upepo

Mama ameshasema miradi yote itakamilika.. sasa unataka miradi yote iishe ndani ya mwaka mmoja? Haiwezekani.. nchi hii ina majukumu mengi ya kufanya

Kuhusu kutembelea site mara kwa mara hilo ni jukumu la waziri siyo Rais
Waziri ni mpigaji na haaminiki kwa wananchi.

Kwani Chalinze kwenye kufungua Maji hatukuwa na waziri wa Maji?

Kule Magomeni Quarter's hatukuwa na waziri wa Ujenzi?

Sasa hivi kwenye uzinduzi wa Tanzanite Bridge,hatuna waziri wa Ujenzi?

Kipi chenye afya kati ya kukagua mradi na maendeleo yake au kuja kuzindua baada ya ujenzi?

commonmwananchi
10101
 
Kwahiyo ataenda kusimamia kule au atapita dak 20 na kupewa blabla kisha chai na vinjwaji moto?
Kutambelea Site kunahimiza watendaji kuongeza bidii ya kazi na pia kunazuia baadhi ya upigaji.

Kama ule tunaoambiwa na Makamba kwamba imekosekana winch ya kunyanyulia mlango wa bwawa.
commonmwananchi
10101
 
Siyo kila mradi. Bwawa hilo ni mradi mkubwa unaostahili hadhi hiyo. Kuisha kwa mradi huo kutanufaisha miradi mingine mingi. Kwa mfano kuna mradi wa SGR ambao ukiisha utategemea kwa asilimia kubwa sana huu mradi wa bwawa. Vivyo hivyo kuna vilio vingi kuhusu kukatikakatika kwa umeme ambako kunakwamisha miradi mingine mingi. Siyo sahihi kukosoa mtu anayetaka Rais aende huko kwa kusema 'kila mradi'. Mradi huu ni maalumu unaostahili hadhi hiyo, na siyo kulinganishwa na kufungua mradi wa maji Chalinze.
Aidha, awali mradi huo ulitajwa kukamilika (au kuanza kujaza maji) mwezi huu wa Machi. Sasa kama Waziri anasema hilo lengo halitafikiwa kutokana na maelezo yasiyoeleweka ya kukosekana winchi la kunyanyulia mlango, ipo haja ya Rais kwenda kujionea kulikoni.
Mkuu Ng'wanamalundi.

Baadhi ya wachangiaji humu ni watu wenye kutoelewa kauli zao.
Saa ingine na changamoto za umri mdogo pia.

Pia ninadhani baadhi wanasukumwa na mahaba binafsi au itikadi za uchama kuliko kuangalia maslahi mapana ya Miradi hii mikubwa ya kitaifa.

Kama Rais yuko serious na anachohubiri majukwaani basi asingetimiza mwaka mmoja bila kukanyaga kwenye ule mradi kuukagua na kuuhimiza ujenzi kwenda kwa kasi iliyopangwa awali.
commonmwananchi
10101
 
Back
Top Bottom