fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,821
- 2,894
Kwani kuna Rais
Hakuna tajiri chawaHuo uchawa unaufanya wewe ambae huna kazi zaidi ya hiyo unayoifanya.
Ila tu unashindwa kujitambua sababu unawaza ndani ya box la wafipa.
Kama hajaelewa rudia tenaNasema hivi, hakuwa na jipya lolote zaidi ya ulevi wa madaraka.
Alisema"wamenisukumizia tu" .......alivyonogewa tu tulikipataAkitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Aliulizwa kuhusu PhD yake watu wakapotea.Cheti fake wewe,hata mawazo yako yanaendelea kuwa fake!
Mchango wako uko clear na machungu unayopitia!
Hizo chache zenye udikteta na huduma bora zililikuwepo ni pamoja na Tanzania chini ya JPM.
woote wanaompinga makufuli ni wachaga na chadema wanajulikana
naona jamaa ana hoja hebu tumjibuni hoja zake na tuachane na kauli kama kazikwe nae na mambo ya kuamua ugomvi
Usimlinganishe JPM na vitu vya kijinga"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.
JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?
JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.
SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?
JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini
SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.
JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.
SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.
JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.
SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.
JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.
JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.
SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.
Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.
Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.
#Mtanikumbuka.
Alamsikhi.
"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.
JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?
JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.
SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?
JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini
SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.
JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.
SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.
JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.
SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.
JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.
JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.
SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.
Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.
Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.
#Mtanikumbuka.
Alamsikhi.
Mzee utapambana na maiti mpaka mwisho wako hapa duniani. The guy was exceptional, a human with errors but very exceptional na alieacha wafuasi chungu nzima na jinsi utawala huu unavozidi kuboronga ndivo anavozidi kuvuna wafuasi .Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Kwahiyo ni utawala upi ambao ulikuwa na ahueni kwako?Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Ushamba wa kitu gani?Nenda kamfufue kule Chato.
Magufoool alikuwa mshamba na limbukeni wa madaraka.
Kuna wakati huwa inasaidia muulize juma njwayoUimara wa kiongozi hauwezi pimwa kwa kuuliza maswali na kujibu papo hapo kwenye ziara bali kuweka mifumo imara itakayo tatua changamoto za wananchi kuliko kuwa na mfumo wa "one man show"
Hovyoo...Huo uchawa unaufanya wewe ambae huna kazi zaidi ya hiyo unayoifanya.
Ila tu unashindwa kujitambua sababu unawaza ndani ya box la wafipa.
Pumbavu wewe!woote wanaompinga makufuli ni wachaga na chadema wanajulikana
Ukimjibu hoja yake tofauti na mawazo ya atakwambia cheti feki km PhD ya ********naona jamaa ana hoja hebu tumjibuni hoja zake na tuachane na kauli kama kazikwe nae na mambo ya kuamua ugomvi
Na kweli he was exceptional.Mzee utapambana na maiti mpaka mwisho wako hapa duniani. The guy was exceptional, a human with errors but very exceptional na alieacha wafuasi chungu nzima na jinsi utawala huu unavozidi kuboronga ndivo anavozidi kuvuna wafuasi .
Endelea kutwanga maji kwenye kinu.