JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

Magufuli alikuwa na akili nyingi sana yule jamaa alikuwa anajua nini azungumze wakati na mahali gani
 
"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.

JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?

JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.

SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?

JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini

SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.

JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.

SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.

JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.

SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.

JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.

JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.

SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.

Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.

Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.

#Mtanikumbuka.

Alamsikhi.
Usimlinganishe JPM na vitu vya kijinga
 
Rais hapaswi kudeal na kesi za mtu mmoja mmoja ndio maana SSH akifika anamhoji mbunge au mkuu wa mkoa hawa ndio walioshika mahitaji ya sehemu zote.Shida za mmoja mmoja mwananchi inabidi asiwasilishe kwa viongozi wa ngazi ya chini.kama hajatimiliziwa mahitaji yake sasa hivi kuna media nyingi sana ni vyema kupeleka huko.
Mfano chukulia kwa yule mwanafunzi wa Chalinze alivyotumia media kuelezea shida zake na hatimae haki kupatikana.

Endapo rais atadeal na individual cases mwisho wake itapelekea kuamua hata kesi za kifamilia hiyo mtambebesha rais kazi kubw sana
 
Aliongea live ndio na ndo maana anatoka nje ya reli, anaongea mpaka yale hayastahili kwenye jamii zetu, zipo ajira / watu kumuandalia hotuba rais , SSH KWa hili namtetea
"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.

JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?

JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.

SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?

JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini

SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.

JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.

SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.

JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.

SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.

JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.

JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.

SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.

Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.

Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.

#Mtanikumbuka.

Alamsikhi.
 
Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Mzee utapambana na maiti mpaka mwisho wako hapa duniani. The guy was exceptional, a human with errors but very exceptional na alieacha wafuasi chungu nzima na jinsi utawala huu unavozidi kuboronga ndivo anavozidi kuvuna wafuasi .
Endelea kutwanga maji kwenye kinu.
 
Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Kwahiyo ni utawala upi ambao ulikuwa na ahueni kwako?
 
naona jamaa ana hoja hebu tumjibuni hoja zake na tuachane na kauli kama kazikwe nae na mambo ya kuamua ugomvi
Ukimjibu hoja yake tofauti na mawazo ya atakwambia cheti feki km PhD ya ********
 
Mzee utapambana na maiti mpaka mwisho wako hapa duniani. The guy was exceptional, a human with errors but very exceptional na alieacha wafuasi chungu nzima na jinsi utawala huu unavozidi kuboronga ndivo anavozidi kuvuna wafuasi .
Endelea kutwanga maji kwenye kinu.
Na kweli he was exceptional.
Jitu linalothubutu kupiga risasi wapinzani wake hadharani!

Jitu lilotunyima kupanda madaraja na mishahara for 6yrs!

Jitu linalokula mahindi hovyo barabarani!

Jitu lililochezea fedha zetu kwa kuchafua kabisa uchaguzi!

Yes, he was exceptional na kamwe wenye nchi hawatorudia kosa la kuruhusu mshenzi mwingine wa aina yake kututawala kisa tu eti 'he was exceptional'!!!
 
Back
Top Bottom