Joyce Banda alonga Al-jazeera

Joyce Banda alonga Al-jazeera

Wamalawi wana hati ya makabidhiano ya ziwa sisi bongolala tumelala hatuna hata document
Acheni kuropoka vitu msivyovijua,

Kama hatuna nyaraka za umiliki tusingeendelea kujadilina na malawi,

Kwa watz wasiojua ukweli wa umiliki wa Tanzia sehemu ya ziwa ni kuwa,

Mwaka jana pamoja na nyaraka tulizokuwa nazo kwenye hifadhi yetu, tz ilituma wataamu kwenda Breman Ujeruma kufuata baadhi ya nyaraka muhimu za mipaka kamili ya nchi yetu,

Hatu hii ilipelekea Tz kuchora ramani ya mipaka yake upya,


Hili limewafanya malawi waduwae, vuteni subira diplomasia za kimataifa zifanye kazi yake na ukweli na haki viwe huru,

Sister Banda atulize moyo tumuonyeshe uhalisi
 
Akihojiwa na Al-jazeera leo kuhusu mpaka wa ziwa nyasa na Tanzania,amesema kwa umri wake wa miaka 63 hajui kama Tanzania ina umiliki kwenye ziwa Nyasa.

Hata hivyo amesema legal institutions zitawatendea haki.


Kwa wakati huu watanzania hatuhitaji distraction kama hii, tuwatandike hawa mpaka Lilongwe, na agenda yetu iwe "regime change" ili kuondoa mzizi wa fitina kabisa once and for all; No wonder huyu mwanamke ameidhinisha gay marriages nchini mwake ili apate upendeleo wa development aid!!
 
Nimemsikia Mh.Membe akimwambia huyu mama asitumie vyombo vya habari na mataifa makubwa kushinikiza kupata uhalali wa umiliki wa ziwa. Pia mbona hata hiyo miaka yake 63 ni michache sana kulingana na mkataba wa umiliki uliokuwepo?
 
huyu banda ovyo. afrika haihitaji migogoro isiyo na kichwa wala miguu. ndo sampuli ya viongozi wa waafrika watumikao kuleta migogoro afrika. afrika yenye migogoro si salama wala haiwezi endelea. madai yake hayana logik.
 
Ahaaa, kumbe, ndo mana malori yetu yanaelea pande hizo mda huu.
Akihojiwa na Al-jazeera leo kuhusu mpaka wa ziwa nyasa na Tanzania,amesema kwa umri wake wa miaka 63 hajui kama Tanzania ina umiliki kwenye ziwa Nyasa.

Hata hivyo amesema legal institutions zitawatendea haki.
 
Aache ujinga....Amiri jeshi akilala vibaya na kuamka na maamuzi...ataijua Tanzania....
tunatokea Congo kwenye M23....
This is more than Schielfein plan...
TUMECHOKA NA KELELE ZAKE
anatafuta umaarufu wa mipaka wakati Lilongwe maisha magumu...blantyre wanaishi hovyo tu kama wako vyooni...komaa na maendeleo ya nchi yako mama...
Sipati picha huko congo wanajeshi wa tanzania na Malawi watakavyokuwa wanaangaliana.
 
Wanawake bwana! Christina nae haishi kubwatukiana na Cameron kuhusu visiwa vya Falkland. Ama kweli Joy msumbufu
 
Akihojiwa na Al-jazeera leo kuhusu mpaka wa ziwa nyasa na Tanzania,amesema kwa umri wake wa miaka 63 hajui kama Tanzania ina umiliki kwenye ziwa Nyasa.

Hata hivyo amesema legal institutions zitawatendea haki.

...Au labda ameongea haya akiwa yuko kwenye "P"!
 
Tulieni wana JF. Nitalimaliza hili suala muda si mrefu. Nina mpango wa kufunga naye ndoa hivyo atakuwa shemeji yenu na jina lake litakuwa Joyce Kidatu.
 
Ndo maana Joy aliachika kwenye ndoa ya kwanza. Nje tu hivi je ndani ya nyumba? Asitugombanishe na ndugu zetu wa Malawi.
 
Sio mwendawazimu nyie watz ndo wendawazimu..mnachukulia mambo mzaha mzaha sasa huyu atawanyoosha
Sasa huyu mama anaweza kuwaosha watz??kweli ngoja tutoke kuwarekebisha m23 tukirudi tunarudia mpaka buratare ndo mtatujua sisi tunafanya nini nyie ni wachumba tu!
 
Hebu mpeni urais Lowasa angalau kwa miezi6 asolve hili swala then atawarudishia Ikulu yenu baada ya kazi kukamilika.
 
Kwani,Mazungumzo yake ya faragha na rais wetu hayakusaidia?nadhani mheshimiwa amweke tena faragha.I think the dose was not enough.
 
Sio mwendawazimu nyie watz ndo wendawazimu..mnachukulia mambo mzaha mzaha sasa huyu atawanyoosha
ni kweli tunamchukulia poa,ila tumwacheni atetee nchi yake,sie twiga walitushinda hapa hadi leo hawajarudi,,,,,,
 
Back
Top Bottom