Joyce Banda alonga Al-jazeera

Joyce Banda alonga Al-jazeera

Kwa wakati huu watanzania hatuhitaji distraction kama hii, tuwatandike hawa mpaka Lilongwe, na agenda yetu iwe "regime change" ili kuondoa mzizi wa fitina kabisa once and for all; No wonder huyu mwanamke ameidhinisha gay marriages nchini mwake ili apate upendeleo wa development aid!!
Acha utoto wewe, jifunze kushirikisha Ubongo kabla haujaandika takataka zako hapa JF.

*Kwa nini unafikiria Mapambano(vita) na wala sio Majadiliano(Siasa), Mahakama(Sheria)?

*Mzozo wa Umiliki wa Ziwa Nyasa ni suala la nchi na nchi na sio la Mama Banda na Kikwete.
Lilikuwepo tangu enzi za Nyerere na Kamuzu Banda.

*Acha kuchanganya mambo, suala la 'Gay marriage' ni suala la kijamii tena ni mambo ya ndani ya nchi ya Malawi wala hatuna haja ya kulihusisha na mzozo huu, kama ilivyo kwa Tanzania kuwa na mambo yake ya ndani ya ajabu ajabu huenda kuliko nchi yoyote duniani.
 
Huyu mama anahitaji mume wa kumtuliza.vidume vya haja vizee vitamfaa sana vipo vingi bagamoyo
 
watu wakizeeka akili zao huzeeka.
kwa akili ya kawaida huwezi kuclaim ziwa lote ni lako wakati liko zaidi ya nchi 2
Mungu hakuwa mjinga alipoliweka ziwa hilo kati ya watu wa makabila tofauti.
ziwa ni letu sote na kila nchi inastahili umiliki wake kwa kiwango fulani
akileta za kuleta na kanchi kake kalivo kadogo tutakasambaratisha hata panya hawatabakia
Tumlitoa Idd Amini na jeshi lake kubwa sembuse huyu mama kikongwe?????
Mkuu unamaanisha nani anazeeka?

Ziwa limepakana na nchi tatu, Malawi wanasema ziwa lote ni la kwao kwa sababu mikataba tuliyorithi kwa wakoloni INATAMKA HIVYO.

Tanzania tunasema tunatakiwa tupate NUSU YA ZIWA LOTE(50%) kwa sababu tu tunapakana nalo!!
Swali la kimahesabu kwa Tanzania, inakuwaje Ziwa linalopakana na nchi tatu mnaweza kugawana wote watatu Fifty Fifty?
 
Uungwana ni kujibu swali badala ya kuuliza lingine......nasema hivi hao waingereza walitengeneza hilo ziwa? Kabla hawajaja watu walikuwa wanaishi vipi?
Mkuu nilitaka ujifunze kwanza 'Concept' ya Umiliki kabla hujauliza swali lako.

*Kabla ya kuja wakoloni bara zima la Africa halikuwa na mipaka rasmi, ni wakoloni ndio waliorasmisha MIPAKA katika bara la Africa na walipeana HATI za umiliki wa maeneo yote ya Bara la Africa.
Mara walipoondoka Africa walirithisha HATI za umiliki wa maeneo hayo kwa watawala wapya wazawa wa Africa.
HATI hizi za umilikishwaji ni MIKATABA RASMI YA KIHISTORIA NA KISHERIA INAYOTAMBULIKA KIMATAIFA.


*Ziwa Nyasa lilimikishwa kwa nchi ya Malawi na wakoloni wa Kiingereza kama ilivyo Nchi ya Tanganyika ilivyomilikishwa kwa watawala wapya wa Tanganyika chini ya uongozi wa Nyerere na chama cha TANU.

Hutaki unaacha!!!!
 
Huyu Amiri Jeshi wetu badala ya kupeleka jeshi kwenda kulinda mipaka ya nchi kule Malawi eti yeye anapenyeza Jeshi letu nchini Kenya wakati wa uchaguzi ule uliobolongwa kusudi KABILA mojawapo lipate kupigwa.

Kitendo cha Rais Kikwete kujiingiza katika SIASA ZA KIKABILA nchini Kenya hadi kufikia hatua ya kupeleka batallion nchini humo kisiri ni kasfa itakayoigharimu CCM kura za kanda ya Ziwa mote huko.


Angekuwa lowasa ndo amir jeshi mkuu hili suala lingekuwa limeisha siku nyingi
 
Mkuu nilitaka ujifunze kwanza 'Concept' ya Umiliki kabla hujauliza swali lako.

*Kabla ya kuja wakoloni bara zima la Africa halikuwa na mipaka rasmi, ni wakoloni ndio waliorasmisha MIPAKA katika bara la Africa na walipeana HATI za umiliki wa maeneo yote ya Bara la Africa.
Mara walipoondoka Africa walirithisha HATI za umiliki wa maeneo hayo kwa watawala wapya wazawa wa Africa.
HATI hizi za umilikishwaji ni MIKATABA RASMI YA KIHISTORIA NA KISHERIA INAYOTAMBULIKA KIMATAIFA.


*Ziwa Nyasa lilimikishwa kwa nchi ya Malawi na wakoloni wa Kiingereza kama ilivyo Nchi ya Tanganyika ilivyomilikishwa kwa watawala wapya wa Tanganyika chini ya uongozi wa Nyerere na chama cha TANU.

Hutaki unaacha!!!!

Sidhani kama ni suala la kutaka ama kutotaka...hiyo mikataba ya kihistoria na kisheria alisanini nani na nani?....anyway baki na unaloliamini
 
Mkuu nilitaka ujifunze kwanza 'Concept' ya Umiliki kabla hujauliza swali lako.

*Kabla ya kuja wakoloni bara zima la Africa halikuwa na mipaka rasmi, ni wakoloni ndio waliorasmisha MIPAKA katika bara la Africa na walipeana HATI za umiliki wa maeneo yote ya Bara la Africa.
Mara walipoondoka Africa walirithisha HATI za umiliki wa maeneo hayo kwa watawala wapya wazawa wa Africa.
HATI hizi za umilikishwaji ni MIKATABA RASMI YA KIHISTORIA NA KISHERIA INAYOTAMBULIKA KIMATAIFA.


*Ziwa Nyasa lilimikishwa kwa nchi ya Malawi na wakoloni wa Kiingereza kama ilivyo Nchi ya Tanganyika ilivyomilikishwa kwa watawala wapya wa Tanganyika chini ya uongozi wa Nyerere na chama cha TANU.

Hutaki unaacha!!!!
Na ile ya kushare water bodies unaiweka kando unaona Watz tutafaidi Kwa kuwa wewe mmalawi
 
Sidhani kama ni suala la kutaka ama kutotaka...hiyo mikataba ya kihistoria na kisheria alisanini nani na nani?....anyway baki na unaloliamini
Mikataba hii ilikuwa kati ya Wakoloni na wakoloni au Wakoloni na Watawala wazawa(Machifu).

Inaitwa Mikataba Rasmi ya Kihistoria na Kisheria ya Kimataifa ni kwa sababu
1/Mataifa karibu yote duniani yanaitambua na kuikubali sasa.

2/Nchi na Jumuiya mbalimbali za kimataifa ziliamua kuirithi kama ilivyo mara baada ya kipindi cha Ukoloni kupita.

3/Umoja wa Mataifa unaitambua na huitumia kama USHAHIDI MAMA katika utatuzi wa migogoro ya kimipaka kati ya nchi na nchi(Na ndio itakayotumika hata katika mzozo wa Tanzania na Malawi kuhusu ziwa Nyasa)
 
Na ile ya kushare water bodies unaiweka kando unaona Watz tutafaidi Kwa kuwa wewe mmalawi
*Mimi ni Mtanzania(Mtanganyika!) kwa rangi!!, asili na Uzalendo

*Mkuu nina uhakika haujui vizuri huo Mkataba wa UN wa 'kushare water Bodies', nakushauri jaribu ku-Google uosome vizuri.

*Lakini kwa kifupi sana, huo mkataba wa UN wa 'kushare Water bodies'', unatumika tu pale ambapo Hakuna Mkataba mwingine wowote Unaozungumzia mpaka wa kwenye maji kwa nchi zinazopakana na maji hayo.
Kwa hili la Ziwa Nyasa mkataba huu hauwezi kamwe kutumika kwani Mkataba wa Heligoland tayari unatoa umiliki wa Ziwa Nyasa lote kuwa mali ya Malawi.

Hutaki unaacha!!
 
Akihojiwa na Al-jazeera leo kuhusu mpaka wa ziwa nyasa na Tanzania,amesema kwa umri wake wa miaka 63 hajui kama Tanzania ina umiliki kwenye ziwa Nyasa.

Hata hivyo amesema legal institutions zitawatendea haki.

Huyu anatafuta umaarufu wa kisiasa. Kwanza hajachaguliwa kwa kura za wananchi wa Malawi. Hivyo anatafuta uhalali wa kuchaguliwa kwenye uchaguzi ujao.

WaTz tunaweza kumvurugia uchaguzi ujao, anasahau kwamba wengi tumeoa huko na ni asili yetu huko Nia,sababu na uwezo tunao kwa sasa asituone wajinga.
 
Back
Top Bottom