lonewolf ranger
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 476
- 149
hapa something fishy,kuna mkono wa magharibi bila shaka.!
Ufisadi wa chama cha magamba umewafanya wadanganyika wasiwe na uzalendo, na nakuhahakikishia kuwa huyu mama Banda ni very strategic kwani amegundua kuwa morale ya wadanaganyika iko chini kiasi kwamba hawana imani na baba mwanaAsha na serikali yake hivyo wakijaribu kuanzisha vita wajue kuwa huyo mama atawaadabisha na watajuta kuzaliwa kwani Vasco hana support kama aliyokuwa nayo Mwalimu wakati wa vita ya Kagera!! Itakuwa vita ya wakwereeeeeee.........peke yao!!
..........kaka kazana kula samaki uongeze uwezo wako wa kufikiri.........Mkuu acha kuropoka mambo usiyoyajua, jifunze kwanza ndio uandike. *Mpaka sasa sijaona Fact yoyote tulionayo watanzania kuhusu umiliki wa ziwa Nyasa. Sio Membe wala Mkwele walioweza kuleta hadharani Facts za msingi. *Kifupi ni kwamba Legal documents zote muhimu Malawi wanazo toka miaka ya 1960s na zinawaFavour sana wao, wakati sisi Tanzania tunaporojo tupu. *Katika hili Watanzania tuanze kuhesabu maumivu makali mapema, tungoje tu kunyolewa kavu kavu na Malawi kupitia Mahakama ya Kimataifa.
acha utoto wewe, jifunze kushirikisha ubongo kabla haujaandika takataka zako hapa jf.
*kwa nini unafikiria mapambano(vita) na wala sio majadiliano(siasa), mahakama(sheria)?
*mzozo wa umiliki wa ziwa nyasa ni suala la nchi na nchi na sio la mama banda na kikwete.
Lilikuwepo tangu enzi za nyerere na kamuzu banda.
*acha kuchanganya mambo, suala la 'gay marriage' ni suala la kijamii tena ni mambo ya ndani ya nchi ya malawi wala hatuna haja ya kulihusisha na mzozo huu, kama ilivyo kwa tanzania kuwa na mambo yake ya ndani ya ajabu ajabu huenda kuliko nchi yoyote duniani.
Mkuu acha kuropoka mambo usiyoyajua, jifunze kwanza ndio uandike.
*Mpaka sasa sijaona Fact yokyote tulionayo watanzania kuhusu umiliki wa ziwa Nyasa.
Sio Membe wala Mkwele walioweza kuleta hadharani Facts za msingi.
*Kifupi ni kwamba Legal documents zote muhimu Malawi wanazo toka miaka ya 1960s na zinawaFavour sana wao, wakati sisi Tanzania tunaporojo tupu.
*Katika hili Watanzania tuanze kuhesabu maumivu makali mapema, tungoje tu kunyolewa kavu kavu na Malawi kupitia Mahakama ya Kimataifa.
Angekuwa lowasa ndo amir jeshi mkuu hili suala lingekuwa limeisha siku nyingi
Kasome case ya Lake Chad halafu ndiyo uje ulete makalio yako humu.Mkuu nilitaka ujifunze kwanza 'Concept' ya Umiliki kabla hujauliza swali lako.
*Kabla ya kuja wakoloni bara zima la Africa halikuwa na mipaka rasmi, ni wakoloni ndio waliorasmisha MIPAKA katika bara la Africa na walipeana HATI za umiliki wa maeneo yote ya Bara la Africa.
Mara walipoondoka Africa walirithisha HATI za umiliki wa maeneo hayo kwa watawala wapya wazawa wa Africa.
HATI hizi za umilikishwaji ni MIKATABA RASMI YA KIHISTORIA NA KISHERIA INAYOTAMBULIKA KIMATAIFA.
*Ziwa Nyasa lilimikishwa kwa nchi ya Malawi na wakoloni wa Kiingereza kama ilivyo Nchi ya Tanganyika ilivyomilikishwa kwa watawala wapya wa Tanganyika chini ya uongozi wa Nyerere na chama cha TANU.
Hutaki unaacha!!!!
Wamalawi wana hati ya makabidhiano ya ziwa sisi bongolala tumelala hatuna hata document
Mkuu unamaanisha nani anazeeka?
Ziwa limepakana na nchi tatu, Malawi wanasema ziwa lote ni la kwao kwa sababu mikataba tuliyorithi kwa wakoloni INATAMKA HIVYO.
Tanzania tunasema tunatakiwa tupate NUSU YA ZIWA LOTE(50%) kwa sababu tu tunapakana nalo!!
Swali la kimahesabu kwa Tanzania, inakuwaje Ziwa linalopakana na nchi tatu mnaweza kugawana wote watatu Fifty Fifty?