Joto kali sana mjini

Joto kali sana mjini

Bonjour

Hili joto la dar es salaam, aisee sio poa, jua Kali joto kali

Muda wote una sweat jasho, maji unakunywa kila muda kama chura, Yani hogopaaaa ni hatari

Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu

Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar ,
kweli kbs ccm imelifumbia macho hili swala cjui kwann wakati walituahid kupunguza joto ndan ya jiji letu
 
Bonjour

Hili joto la dar es salaam, aisee sio poa, jua Kali joto kali

Muda wote una sweat jasho, maji unakunywa kila muda kama chura, Yani hogopaaaa ni hatari

Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu

Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar ,
Umasikini mbaya!
 
a556ca58a24845028668fbd67e5744dd.jpg
 
Bonjour

Hili joto la dar es salaam, aisee sio poa, jua Kali joto kali

Muda wote una sweat jasho, maji unakunywa kila muda kama chura, Yani hogopaaaa ni hatari

Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu

Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar ,
Sasa mkuu Kama unalalamika joto la Dar VP Znz ??? Utaishi wewe mbona kama Zanzibar joto Kali kuliko Dar
 
CCM omelets joto KWASABABU Kuna mkulu Fulani ameingiza feni mbovu toka china.
 
Joto hili mafundi AC za majumbani nk ndio muda wa kupiga pesa, wauza maji, wauza soda na juisi.
 
Back
Top Bottom