The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 543
- 1,163
Bonjour
Hili joto la dar es salaam, aisee sio poa, jua Kali joto kali
Muda wote una sweat jasho, maji unakunywa kila muda kama chura, Yani hogopaaaa ni hatari
Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu
Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar ,
Hili joto la dar es salaam, aisee sio poa, jua Kali joto kali
Muda wote una sweat jasho, maji unakunywa kila muda kama chura, Yani hogopaaaa ni hatari
Nipo na shem wenu hapa, tunazagamuana, Aisee tumeloa jasho chapa chapa kama tumepigwa na mvua za bondeni, Yani feni speed ya mwisho lakini wapi, mashuka yameloa mpka kichefu chefu
Tunaiomba serikali ya ccm iweze kupunguza hili jua na joto Kwa hapa dar ,