Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Nimetonywa kuwa wachekeshaji maarufu Bongo; Joti na Mpoki, wanashikiliwa na kituo kimoja cha polisi jijini Dar na kulazwa rumande kwa takribani saa 24 sasa.
Bado haipo wazi wana kesi gani. Nachelea kusema itakuwa inatokana na kazi zao.
Kama kuna mwenye taarifa zaidi aitoe ili tuujuze umma. Polisi sio kuzuri kule.
Bado haipo wazi wana kesi gani. Nachelea kusema itakuwa inatokana na kazi zao.
Kama kuna mwenye taarifa zaidi aitoe ili tuujuze umma. Polisi sio kuzuri kule.