Joshua Nassari apata ajali ya chopa

Joshua Nassari apata ajali ya chopa

TCAA imefika wakati waziangalie hizi Chopa used ubora wake wa kuruka na kubeba abiria.

Pole sana Nassari kwa ajali.

hii ni ile LEMA aliyopiga nayo picha alipokuwa London ?!
 
Hii ndiyo dhambi za kutoa ahadi bila kutekeleza aliahidi akishinda ubunge atamupa Halima Mdee kisha kamtelekeza je ahadi alizotoa wakati ea kampeni ataweza??
 
Yani mbunge anafanya ziara jimboni kwake kwa chopa???? Ajali ya kujitakia
 
Ila inaonekana ya zamani sana,,,..enzi za mwa...
 
Pole yake ila CHADEMA washauri wenu wanatia shaka sana. . . . . . .
 
Mkuu wanatia shaka kwa lipi?

Hebu nipe sababu za Josh kutumia chopa??!!
Jimbo lina ukubwa gani? ?!!
Miundo mbinu ikoje??!!
Kulikuwa na uharaka gani wa zoezi hili??!!!
Taarifa za hali ya hewa zilikuwaje siku ya tukio???!

Bado namuombea apone haraka ila bado pia naona shaka sana juu ya washauri. . . . .
 
Hivi nyie Chadema mna matatizo gani? Mbona mnakuwa na tamaa kama za kobe? Kwani hiyo mizunguko yenu hamuweizi kutumia magari mpaka muwe na tamaa za kutaka muonekane mna pesa kwa kukodi Chopa hizo? Haya oneni sasa jamaa yenu kaporomoka juu ya mti akiwa na Chopa, sio kama nafurahia ajali lkn hizi mbwembwe nyingine sikubaliani nazo.

Mnawaiga CCM hahahaha. Duh acheni tamaa, na bado mwaka huu wa Uchaguzi tutashuhudia mengi kweli.

image.jpg
 
CHADEMA wanawaiga ccm kuruka na chopa? Hujui mambo ya nchi hii ww
 
Maisha ya Mwanadamu ni ya muhimu sana ktk hii dunia.
MUNGU AMTIE NGUVU na wepesi ktk matibabu yake.
Roho ya mtu ni ya thamani sana kubwa apone upesi
 
Back
Top Bottom