Mr. Nice Guy
Senior Member
- Jul 3, 2015
- 190
- 27
Sasa hiyo chopa kama haifanyiwi services unategemea nin ,hii chopa kuna kada MMOJA WA CCM aliikodisha na akadai ni mbovu ,na ILITAKA KUMUUA ndesa akaja juu akitishia kuumpeleka MAHAKAMANI kwa kumuharibia biashara ,sasa hadi itakapo waua ndio wataamini kuwa ni mbvu
Ndesamburo ni mchagga yule anapenda sana pesa, Alitaka Chopa ipate ajali iharibike ili alipwe na bima chopa nyingine mpya