Mwenyezi Mungu awaponye majeruhi warudi katika majukumu yao.
kumbe sometimes unakuwa mwungwana
Mwenyezi Mungu awaponye majeruhi warudi katika majukumu yao.
Pole Nasari.
Ila kuna umuhimu gani wa kutumia helcopter ndani ya jimbo?
kuna umuhimu gani Wa kutumia chopa kuzunguka jimbo.
Ni kweli chopa ziwe zinakaguliwa na precaution zote zinaangaliwa. Zitakuja kuondoka na kiongozi mkubwa tu kusipokuwepo uangalifu.