MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
CHADEMA anadaeni maandamano ya kupinga NASSARY kupata ajali.
Sidhani kama una akili timamu na kwa kutotokea ulichokitarajia nafikiri kimesababisha upate kichaa NGURUWE MKUBWA WEEE!!CHADEMA anadaeni maandamano ya kupinga NASSARY kupata ajali.
Suala hapo ni kwamba akome kutumia hizo chopa maana sio size zake kila kukicha tunasikia yuko na chopa mara huku mara kule sasa kwanini asiachane nazo tu maana zitakuja kumuua bure!
CHADEMA anadaeni maandamano ya kupinga NASSARY kupata ajali.
Sidhani kama una akili timamu na kwa kutotokea ulichokitarajia nafikiri kimesababisha upate kichaa NGURUWE MKUBWA WEEE!!
Nasari kwa nn anatumia chopa kipindi hiki?
may day may day choper down!hizi habari ni za ukweli kamanda nassari amepata ajali ya helkopita leo wakati akitoka kwenye kampeni za kuhamasisha watu kujiandikisha taarifa ambazo hajithibitishwa nassari ameumia ambulance ipo njiani ndo inampeleka katika hospital selian arusha
nataka kujua historia fupi ya huyo rubani......wanabodi nawasalimu sana.
Nimepewa taarifa muda huu kuwa mbunge wa arumeru mashariki, ndugu joshua nassari, amepata ajali muda huu akiwa maeneo ya leguruki.
Mosi, inasemekana amenusurika na amepata majeraha madogo lakini mmoja wa abiria wake kavunjika mguu.
Nitazidi kuwajuza kadri nitakavyopokea taarifa.
Nawasilisha.
******** updates *********
mbunge amekimbizwa katika hospitali ya selian na kwa mujibu wa katibu wa mbunge hajaumia sana, ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa bawacha jimboni kaumia mbavu na mwingine kavunjika mguu.
Tupo jimboni na tunawatoa hofu wananchi wote waliopata taharuki jimboni kuwa mbunge ni mzima amepatwa na majeraha kidogo!!
Tunamshukuru mungu kwa rehema zake.
View attachment 266469
bila ujuzi wa GIS ingekuwa balaa hongera rubani hali ya hewa Arusha kwa sasa angani inahitaji ujasiri. yote hayo ni kwasababu kuhakikisha kila Mtanzania anapata mlo maratatu kwa siku.
mafisadi yalaaniwe
We boya kweli! kwani wameitungua hiyo chopa mbovu!?
duuuu...harufu ya uchawi ipo hapa...poleni makamanda.