Kinambeu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 906
- 454
Hapo na siasa imeingizwa, eti uchawi! 'nilipokea cm toka kwa mchungaji mmoja' mbona hamtaji jina?! siasa siasa siasa! credit to oct 25! ni maoni yangu tu!
Yaani shida hawa jamaa zetu Kwa Kweli baada Ya kushukuru kwa Muumba Upo salama Ati uchawi kweli? Karne hii unaamini uchawi wakati pilot kasema hali ya hewa.....